sawa mkuu ila inaonekana ni wachache
Na hata weusi sio wote wana hiyo alama kwenye paji la uso na watu swala tano na sunna za usiku na mchanasawa mkuu ila inaonekana ni wachache
sawaNa hata weusi sio wote wana hiyo alama kwenye paji la uso na watu swala tano na sunna za usiku na mchana
hapo sawaKutokea kwa sijda ni maumbile (ngozi ya mtu) haijalishi uarabu wala uswahili wake.
Kuna watu ngozi zao ni rahisi kutokea alama hata akiswali siku 2 tu na kuna watu wanaswali miaka na miaka lakini hawatokwi na alama yeyote.
Sijda sio kipimo cha ucha Mungu ama uislam safi.
Ndugu yangu Sigda za waafrica zile ni shida hakuna mazuria na mikeka standard ya kuswalia kwenye misikiti yetu hii..uarabuni ndio uislamu ulipoanzia na waislamu ni wengi, swali langu ni kwa nini waarabu wao hawana SIGDA ile alama yeusi kwenye paji la uso?kama wa huku kwetu afrika inamaana wao hawaswali sana au
Hawahitaji kujiweka alama ili watambulike kama hawa watumwa wao wa kwetu wanaosugua mapaji yao waonekana wana imani wakati wengi ni wadhambi watupu hasa kwenye zinaa. Hata hivyo, wapo waarabu wenye sijda. Hata hivyo, wanaosifika kujichubua uso na kuweka sijda ni wasomali tena wengi majambazi yanayojificha kwenye uislamuarabuni ndio uislamu ulipoanzia na waislamu ni wengi, swali langu ni kwa nini waarabu wao hawana SIGDA ile alama yeusi kwenye paji la uso?kama wa huku kwetu afrika inamaana wao hawaswali sana au
Hawaitaji show off Kwa kuwa dini ilianzia kwao...mwafrika anataka sifa na kujikomba Kwa waarabu Ili akubalikeuarabuni ndio uislamu ulipoanzia na waislamu ni wengi, swali langu ni kwa nini waarabu wao hawana SIGDA ile alama yeusi kwenye paji la uso?kama wa huku kwetu afrika inamaana wao hawaswali sana au
ile ni sugu ya paji la uso sababu ya ukosefu wa mikeka na madhuria standard ya kuswalia..Ukubwa wa sigda inatokea kulingana na tone ya Ngozi yako Watu wenye Ngozi nyeupe mara nyingi hawatoki sigda hao ambao zinatoka either wanaswali Sana au wanakamiza.
Tofauti na Sisi wenye Ngozi nyeusi sigda inatokea Kwa urahisi Sana na Kama ni mtu wa kuswali Sana ndio inakua kubwa zaidi .
Wengine wanajisugua kwa makusudi,wanaamini siku ya mwisho hiyo sigda eti itakuwa ndo tochi ya kumulika kuanzia kaburini hadi akhera,ile ni sugu ya paji la uso sababu ya ukosefu wa mikeka na madhuria standard ya kuswalia..
Tuna uhakika wengine ni ya kutengeneza!🤣😂😅. Kama Waarabu wenye dini yao hawana sembuse mbantu?!😅😂🤣uarabuni ndio uislamu ulipoanzia na waislamu ni wengi, swali langu ni kwa nini waarabu wao hawana SIGDA ile alama yeusi kwenye paji la uso?kama wa huku kwetu afrika inamaana wao hawaswali sana au
Acha isee dunia inamaangaiko hiii..Wengine wanajisugua kwa makusudi,wanaamini siku ya mwisho hiyo sigda eti itakuwa ndo tochi ya kumulika kuanzia kaburini hadi akhera,
Naskia tu