Mwaka mpya
JF-Expert Member
- Jun 12, 2016
- 213
- 221
Aa mshana Jr katika uwanja wako kwa CR 7
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Ni kitu kile kile kwa mtazamo tofauti zote mbili ni kuamsha nguvu za asili zilizolala ni sawa na kwenye martial arts kuna kung-fu karate tai-chi nkMshana naomba unifahamishe kuhusu THIRD EYE CHAKRA na binaural meditation maana niliviona youtube lakini sikuweza kuvielewa.
Kwenye high level si hivyo tuu bali viumbe vyote visivyoonekana kwa macho ya kawaida na unaweza kufanya mengi ambayo binadamu wa kawaida hawezi fanyani kweli ukiactivate (ukiROOT ubongo) third eye unaweza kuwaona majini na wachawi?
Kwenye high level si hivyo tuu bali viumbe vyote visivyoonekana kwa macho ya kawaida na unaweza kufanya mengi ambayo binadamu wa kawaida hawezi fanya
Sawasawa...nimekuelewa kwakweli.Ni kitu kile kile kwa mtazamo tofauti zote mbili ni kuamsha nguvu za asili zilizolala ni sawa na kwenye martial arts kuna kung-fu karate tai-chi nk
Freemason ni mafundisho ya kiimani WW II ni nyenzoKuna uhusiano upi na freemanson na WW II?
Mkuu, niliwahi kujaribu hii kitu mwaka juzi baada ya kusoma post za watu humu. Nilijaribu kama kwa siku mbili tatu hv nakumbuka hiyo siku kichwa kiliniuma sana pia natetemeka kila saa, nilikuwa na machale hv yaani nilikuwa kwenye hali flani ambayo nashindwa kuiandika. Mfano niliweza kugundua kuna mtu yuko nje ya mlango wangu kasimama, ilihali alikuja kimya. Kuna vitu vingine sivikumbuki, niliogopa na nikaacha ku- meditate. Mkuu mshana, nilipatwa na kitu ganiNaamini tuna wanafunzi wengi wa Buddhism humu ndani hasa kwenye kipengele cha spiritual awakening.
Unaposoma hiyo topic na ukaja kulinganisha na huu mchoro unapata mtiririko wenye kuleta uhalisia wa ajabu kabisa.
Lakini pia kuna baadhi ya mimea hutumika kiimani kama stimuli/stimulas ya jicho la kiroho... Ni kama shortcut ya meditation au ya kuingia mlango wa sita kupitia moshi.
Ndio maana mijadala haiishi kuhusiana na mmea... Shida moja ya mmea ni kwamba huamsha pande mojawapo kati ya zile mbili za mawasiliano ya kiroho ndani ya nafsi upande wa hasi na upande wa chanya... Inategemea kichocheo kipi kitawahi.
Kuna hii kitu mtu akifanya mambo yasiyoeleweka anaambiwa ni madhara ya bhangi za kuvutia chooni, ni kama mzaha vile lakini chooni panajulika kama mlango wa kuzimu na makazi ya roho wachafu...
Sasa bhangi inaamsha mlango wa sita kupitia jicho la tatu halafu unalivutia chooni, hapa unachanganya hasi na chanya. Matokeo yake lazima kichwa kipate moto.
Duu kwanini ukaacha? Ulikuwa unaenda vizuri sanaMkuu, niliwahi kujaribu hii kitu mwaka juzi baada ya kusoma post za watu humu. Nilijaribu kama kwa siku mbili tatu hv nakumbuka hiyo siku kichwa kiliniuma sana pia natetemeka kila saa, nilikuwa na machale hv yaani nilikuwa kwenye hali flani ambayo nashindwa kuiandika. Mfano niliweza kugundua kuna mtu yuko nje ya mlango wangu kasimama, ilihali alikuja kimya. Kuna vitu vingine sivikumbuki, niliogopa na nikaacha ku- meditate. Mkuu mshana, nilipatwa na kitu gani
Hahahaha! ndugu alianza kuona kama anafatwa na vampire kumbe ndo u TB Joshua unamnyemelea akaogopaDuu kwanini ukaacha? Ulikuwa unaenda vizuri sana
Mkuu Mshana mbon ile link nimefata inaonyesha hakuna kitu? Niilienda pia Google engine search nikasearch sioni pia. Nataka link itakayonipeleka nisome jinsi ya kumeditate ambayo umeandika wewe.
Mkuu mbn kule whatsApp umepotea online kitambo sana vpIpo nimekutag
Kuna uhusiano gani wa subconscious mind na third eye?
Kuna uhusiano gani wa subconscious mind na third eye?