Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,904
- Thread starter
- #321
Nakubaliana nawe kabisa vyakula vina nguvu yake na kujitenga na watu unaokoa energy nyingi sana..nitakuja na ufafanuzi kwenye next topicmr mshana few years ago nikupe historia kidogo nikiwa primary nilikua nikinuia kujua kitu flani basi hata kama sio kwa asilimia zote japo 60%-80% lazima nitafunuliwa tu,ila kama najifunza kitu flani hapa kwanza kuna aina flani ya vyakula nilikua sili na pia nilikua siwezi kuchanganyika na watu hata kwa dk 10,ckufichi mr nilikua na uwezo wa ajabu sana.