Paji la uso na siri ya jicho la tatu

mr mshana few years ago nikupe historia kidogo nikiwa primary nilikua nikinuia kujua kitu flani basi hata kama sio kwa asilimia zote japo 60%-80% lazima nitafunuliwa tu,ila kama najifunza kitu flani hapa kwanza kuna aina flani ya vyakula nilikua sili na pia nilikua siwezi kuchanganyika na watu hata kwa dk 10,ckufichi mr nilikua na uwezo wa ajabu sana.
Nakubaliana nawe kabisa vyakula vina nguvu yake na kujitenga na watu unaokoa energy nyingi sana..nitakuja na ufafanuzi kwenye next topic
 
nakumbuka siku mbili au tatu kabla yakuingia kwenye pepa ya darasa la saba nilipitiwa na usingizi mchana muda wa masaa matatu,nilivyokuja kustuka mtihani wote nilikua nao kichwani,sikudharau kwasababu nilishaota hapo awali nikadharau alafu kwenye pepa nikakuta kama nilivyoota,huwezi amini nilichana pepa nikapangwa GALANOS SECONDARY SCHOOL,yani kule ndio kuna siku nilitoa mpya nililala usingizi kuanzia saa kumi za jion mpaka kesho yake asubuhi kiongozi wa bweni aliripot kesi mpaka basi sijawahi kuhudhuria prepo nikamaliza nusu saa lakini chakustaajabu sasa pepa ikija sio chini ya 95%,kwa wanaomkumbuka mwalimu flani hivi kwasasa yupo wizarani sikosei,huyo jamaa akikwambia hupati B usimbishie maana wengi walishaumbuka sana,ila nilivunja historia yake kwakupata A ya 96 hakuamin na alinipa elfu kumi,huyo mwalimu anaitwa mbunda ni shida sana.
Una miliki supernatural powers ambazo wengi huzitafuta kwa njia ngumu na gharama kubwa
 
naomba nitoe ufafanuzi hapa kwenye kuwafahamu wachawi kupitia jicho la tatu,inawezekana na kaa ukijua mwili wako ni mfumo hivyo,kama vile unavyotegemea kumpiga adui yako kwa mkono mzito,kaa ukijua jicho la tatu linaona isipoa kuna chakra zingine ambazo kazi yake ni kupambana na hizo nguvu za kichawi hivyo lazima kuna sehemu ndani ya mwili wako lazima utapewa ambayo itakua inakusaidia kupambana nao baada ya jicho la tatu kuona,mfano mimi siku moja alinija mzee flani nikiwa usingizin nilikua nimelala chali basi nikamgusa paji la uso kwakutumia kidole changu chakulia akaanguka nakupotea,na sio mtu mmoja ni wengi sana walishanitokea nafanya hivyo hivyo.
 
kuna jamaa yangu anapiga bodaboda sasa ghafla akapigiwa simu na mtu ambae niwa karibu tu kwake yani best yake,yule jamaa akmwambia anahitaji pikipik kwa siku nzima na atatoa 15000,huwezi amini hisia za ajabu sana zilinijia ghafla nikamwambia jamaa yangu hiyo simu uliyopokea sio nzuri kama ni abiria usiende kumchukua akanikatalia,kumbuka hata maongezi yao sikuyasikia,sasa ikabidi tutumie ujanja kumzuia jamaa asiende baada ya kitu kama siku mbili tunapata habari jamaa amesepa na pikipik ya mshikaj mwengine na hajulikan alipo,mpaka sasa hajapatkana.
 
rangi nazo sijui zinamchango gani hapa maana najikuta napenda sana rangi ya zambarau kupita maelezo tena tangu nikiwa mtoto yani ckufichi kuanzia viatu,t-shirt,surual,cultures nk lazima zambarau iwepo
 
kuna jamaa yangu anapiga bodaboda sasa ghafla akapigiwa simu na mtu ambae niwa karibu tu kwake yani best yake,yule jamaa akmwambia anahitaji pikipik kwa siku nzima na atatoa 15000,huwezi amini hisia za ajabu sana zilinijia ghafla nikamwambia jamaa yangu hiyo simu uliyopokea sio nzuri kama ni abiria usiende kumchukua akanikatalia,kumbuka hata maongezi yao sikuyasikia,sasa ikabidi tutumie ujanja kumzuia jamaa asiende baada ya kitu kama siku mbili tunapata habari jamaa amesepa na pikipik ya mshikaj mwengine na hajulikan alipo,mpaka sasa hajapatkana.
1472629197896.jpg
Kuna kitu kinaitwa the awakening of the third eye! Ni practice almost kama uchawi kamili wewe unayo
 
rangi nazo sijui zinamchango gani hapa maana najikuta napenda sana rangi ya zambarau kupita maelezo tena tangu nikiwa mtoto yani ckufichi kuanzia viatu,t-shirt,surual,cultures nk lazima zambarau iwepo
Jibu hili hapa
1472629492473.jpg
 
brother mshana hongera kwa uzi mzuri,swali langu ni hivi kuna ukweli wowote juu ya ganja kuwa ni kinga dhidi ya uchawi?
 
Daaaaah..nashukuru sana braza kwa kuleta udhi huu..binafsi nimekuwa mtu ninaefuatiia mambo makubwa sana hata yale ambayo sina uwezo nayo..kitu kikubwa kinachonisukuma ni kutaka kujua kwanin hawa illuminant na freemasonry wanavolitumia jicgo la tatu katk kuona mbali...kiukweli wale jamaa wanauwezo wa kusense kitu kitakachotokea hata miaka mia moja ijayo kwa kutumia taswira angavu yenye uwezo ya kuyajua mawazo yako hata kabla hujaamua jambo..ndio maan waliowengi waliokatka mtandao wa freemasonry na illuminat wanapogundua kuwa wapo katika njia mbovu yenye laana kubwa badae wakitaka kutoka kundini wanakufa mapema hata kabla ya kutimiza ndoto zao za kujikomboa katika ukanda wa satarnic worship ....nitawaeleza kwanini hii inatokea....kwanza kabisa ikumbukwe kuwa mwanadamu unapozaliwa ,hekia yako,ufahamu na maalifa yako yote yapo controlled under pineal gland located near the base of pituitary gland...this is the mainly gland the control circadian rythm withrespect to body morphology under specific objectives to bring the body at any deviated conditions....hii tezi(pineal gland) ndiyo inayoatoa vichochezi maalumu vinavoamsha hali ya meditation in relation to will power to do something....lakin rate ya utoaji wa hormens hizi hupunga kadri umri unavozid kwenda...nikimanisha kuwa mtoto mdogo anareceive high input on neuroawerenes kuliko mtu mzima simply bcoz your pineal gland stimulation is minimumly to decline....yan upeo wa jicho angavu la 3 hupungua zaid kuliko hali yake na kadri pineal gland inavotoa stimulation za kutosha ndipo neurofunction inkuwa kubwa sana in relation to mind and will power....yan inasemekana mtoto ndgo anaupeo mkubwa wa kusense hata mapepo kuliko mtu mzima kwan neuroinput ni kubwa kwake kuliko mtu mzima.

Ndo mana kuna wakatimwingine mtoto anaweza lia usiku wa manane kuashiria danger cituation lakin kwa kuwa mtu mzima unareceive low pineal gland input ndo manaa will powee inakuwa ndogo katika kjua nyakati na majira mazuri na mabaya....

Katika utafiti huo uliofanywa na illuminant katka kuicontrol dunia(watu) ni pamoja na kuzuia au kutokomeza kabisa uwezo wa kuamsha hisia za uwezo wa jicho la tatu la mwanadamu linalomuwezesha kujua nyakati na majira yaliyokatika nuru na giza ..
Wamekuja na mpango wa kutokomeza uwezo wa kusisimua uwezo wa pineal gland kutoa vichocheo vinavyoliwezesha jicho la tatu kuona mbali..ndo mana illuminant wanalitegemea kama taaa imulikayo mbali katika kufanya maamuzi yao....

Wamebuni ni sumu gani watakayompandikizia mwanadamu ili iweze kupunguza uwezo wa kuamsha hisia za jicho la tatu...??

1.) Wamegundua kuwa sumu iliyopekee kuwa na uwezo wa kushambulia kwa kasi pineal gland ni FLOURIN and CHLORINE FREE RADICALS..ambazo ndio sumu hatari sana katka kutokomeza hali hiyo..free radicals ni sumu ambazo huzuia hormones au utendaji kazi mzuri wa pineal gland mwilini hivyo bas vikiwa vinaingizwa mwilini kila siku vitaharakisha kuzuia au kukata kabsa the release of SEROTONIN HORMONES ambazo ndio kiini cha usingizi na MEDITATION KATIKA MAISHA YA MWANADAMU...kama mtu atakosa vichocheo hivyo hakika hataweza pata usingizi utakaopelekea kuamsha hisia za uwezo wa jicho la tatu....ndo mana kadri unavozidi kuwa na umri mkubwa ndipo mudawa kulala unapungua zaidi( unachelewa kulala lakini pia unawahi kuamka) ni tofaut na watoto wadogo...so FLOURIN na CHLORIN FREE RADICALS zimewekwa katika dawa za meno ambazo kila mwanadamu anakla kila siku..ndo mana kizazi cha sasa hivi uwezo wa kufikiri unapungua simply bcoz of free radicals flourin and chlorin...ndo mana watalamu wanasema unapopiga mswaki usimze dawa ile..wana maana yake japo its so sectet to rescure few people..

2.) Wanatumia mionzi ya simu,x rayz na mionzi mingine kupiga katka pineal gland ili kuharibu serotonin production ambayo ndio msing mkubwa wa kuamsha jicho la tatu ambalo ndio KIINI CHA KUJUA SIRI ZOTE ZA TECHNOLOGY YOTE NA HATA UWEZO WA KUJUA MAMBO YOTE YALIYO KATIKA NURU NA GIZA..upungufu wa utendaji kazi wa pineal gland unamfanya mwanadam awe na uwezo mdogo sana wa kufikiri mambo makubwa...ukitaka kuaminin jaribu kujiuliza hivi ni kwanini kadri siku zinavozidi kwenda uwezo wa kufikiri wa mwanadamu unapungua lakini discoveries zinaongezeka..??

Technology inakuwa kwa kasi simply becouse operators wanatumia jicho la tatu under ALLIENS TECHNOLOGY IMPLANT inayotumia jicho la tatu..mwanadamu anafanya kazi ya kuasemble vifaaaa tu na sio kutengeneza....

That is the big secret kwa wachache lakini ila tuliowengi hatujui how technology inversion inavokuwa....

So my dear brothers and sisterz kuna umuhimu mkubwa sana wa kujua kulitumia jicho la tatu yan ukiweza thibit upotezo wa nguvu za kuliamsha jicho hilo hakika unaweza ukajihisi kuwa wew ni nabiii kumbe ni namna ulivoweza thibit impacts of free radicalson your pineal gland.....

ZIJUE NYAKATI NA MAJIRA KATIKA KUUTAMBUA ULIMWENGU LAKINI HAKIKA HAUTAWEZA MPAKA UJUE NAMNA JICHO LA TATU LILIVYOKUWA NA UWEZO WA KUKUPA UWEZO HUO..

..AMINAAAA
So scary
 
duhhhh!!!!!!!!!jamaaaaaa wewe you are so dangerous unajua umeniamsha akili i was getting lost cjui nianze wapi,na mke wangu pia ni hivyo hivyo
Wewe na shem mmekutana wote ni psych power owners na hii sio coincidence bali ni law of attraction imefanya kazi
 
brother mshana hongera kwa uzi mzuri,swali langu ni hivi kuna ukweli wowote juu ya ganja kuwa ni kinga dhidi ya uchawi?
Ni kwa hizi petty wizardry ishu za wanga na kulogana logana lakini ule uchawi concord nguvu ya ganja sio kivile
 
NA HII IPOJE HII YANI MKE WANGU HATA ALALE KWA TUMBO YAAN KIFUDIFUD LAZIMA ATAJIKUTA AMELAZWA CHALI YANI LAZIMA,YANI KWA MAELEZO YA MAMA MKWE TANGU AKIWA MDOGO ALIKUA HIVYO WAKIMLAZA KIUBAVU AU KIFUDIFUDI WANAKUJA KUMKUTA AMELAZWA CHALI,NISAIDIE HAPA
 
Jamani mimi nimejiunga JF kwaajiri ya kueleza vitu kama hivi maana nimegundua kuna nguvu fulani ambazo nimejaaliwa na mungu ambazo sijui ilikuaje.Katika mada hii naongezea ni kwamba jicho la tatu ni jicho la roho ambalo hutumika zaidi wakati mtu akiwa amelala ndio maana kuna wakati mtu hua anaota anatizama kitu fulani.Macho haya mawili tunayotumia tukiwa macho ni kwaajiri ya mwili unapokua na fahamu tu,lakini jicho la tatu utaendelea kulitumia zaidi baada ya kifo
 
Jamani mimi nimejiunga JF kwaajiri ya kueleza vitu kama hivi maana nimegundua kuna nguvu fulani ambazo nimejaaliwa na mungu ambazo sijui ilikuaje.Katika mada hii naongezea ni kwamba jicho la tatu ni jicho la roho ambalo hutumika zaidi wakati mtu akiwa amelala ndio maana kuna wakati mtu hua anaota anatizama kitu fulani.Macho haya mawili tunayotumia tukiwa macho ni kwaajiri ya mwili unapokua na fahamu tu,lakini jicho la tatu utaendelea kulitumia zaidi baada ya kifo
hata sasahivi mbona linatumika kwa wale ambao linafanya kazi mkuu,mfano mke wangu yani cjui nisimulie vp jamani
 
me nawaambia nimesoma chuo advance nimefika chuo yani nipo pcb ukweli watu walikua wananishangaa sana kwasababu sikua mpiga msuli hata kidogo ila ila mambo sio mabaya hata kidogo mpaka chuo ni hivyohivyo nimejizolea marafiki wengi sana kwasababu hii
 
Jicho la tatu (third eye) ni imani ya madhehebu ya hindu na budha kama ilivyo kwa Kristo na imani yao kwa ujio wa Yesu Kristu. Hivyo, jicho la tatu huhusishwa na kutafakari (medidate).

Ukilala chali unauwezesha ubongo kutulia tuli, kama maji mtungini, hapo ndipo unazamia kwenye dimbwi la mawazo pasipo bughudha, mfano wa mtu anaye "medidate". "Medidation" hufanyika kwenye eneo lilotulivu kabisa.

Mawazo ya Mshana Jr (asante kwa bandiko lako) ni kueneza 'dhana ya kiroho'. Harakati za kiroho zina njia ndefu kueleweka kabla haijatulia. Bado kuna wanadamu wengi ambao hawajakomaa kifikra kuweza kuunganisha uelewa wa msingi wa dhana ya kiroho. Kwa hiyo ni rahisi kujitumbukiza kwenye dhana hiyo kama tunavyowashabikia wanasiasa.

Asante Mshana Jr japo nawe hukulirahisisha bandiko lako wala kuliweka wazi kwamba ni la kiimani zaidi kuliko sayansi.
 
Wewe binafsi ulishawahi kupractice na hilo jicho likafunguka..?

To some extent yeah...! Hata sasa nayaona mambo mengi tofauti na wengine waonavyo kuna wakati huwa najistukia na kukaa kimya nikiogopa kuonekana tofauti

Pamoja na mafunzo ya muda mrefu kuamsha "jicho la tatu", ulalapo chali fumba macho na acha ubongo ufanye kwa kukumbuka yale macho mawili yaliona jana, juzi au kale na kuyaelekeza kwa kesho, keshokutwa, mtondogoo au siku zijazo. Yaani unauruhusu ubongo uoanishe yaliyopita (Mabaya/Mazuri uliyokumbana nao macho yakaona, ubongo ukahifadhi) na yajayo (suluhisho/jawabu/pendekezo).
 
jicho la tatu linafanya kazi jamani ila ndio hivyo ni kwa wachache sana.ukweli siwafichi it is something real kabisa ambacho even at this point naongea hapa nimetoka kumsimulia mtu maisha yake ya mahusiono yakimapenzi tangu alivyoanza kujihusisha nayo mpaka sasa na simfahamu wala nn yeye wa mwanza mim wa dsm tulikutana tu chuo,nikaonyeshwa usiku yani full tamthilia ndugu zangu.
 
Back
Top Bottom