Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Screenshot_20220822-091240.jpg
 
Daaaaah..nashukuru sana braza kwa kuleta udhi huu..binafsi nimekuwa mtu ninaefuatiia mambo makubwa sana hata yale ambayo sina uwezo nayo.. Kitu kikubwa kinachonisukuma ni kutaka kujua kwanin hawa illuminant na freemasonry wanavolitumia jicgo la tatu katk kuona mbali.

Kiukweli wale jamaa wana uwezo wa kusense kitu kitakachotokea hata miaka mia moja ijayo kwa kutumia taswira angavu yenye uwezo ya kuyajua mawazo yako hata kabla hujaamua jambo..

Ndio maana walio wengi walio katika mtandao wa freemasonry na illuminat wanapogundua kuwa wapo katika njia mbovu yenye laana kubwa badae wakitaka kutoka kundini wanakufa mapema hata kabla ya kutimiza ndoto zao za kujikomboa katika ukanda wa satarnic worship ....

Nitawaeleza kwanini hii inatokea;

Kwanza kabisa ikumbukwe kuwa mwanadamu unapozaliwa, hekima yako, ufahamu na maarifa yako yote yapo controlled under pineal gland located near the base of pituitary gland... This is the mainly gland the control circadian rythm with respect to body morphology under specific objectives to bring the body at any deviated conditions....

Hii tezi(pineal gland) ndiyo inayotoa vichochezi maalumu vinavoamsha hali ya meditation in relation to will power to do something....lakin rate ya utoaji wa hormens hizi hupungua kadri umri unavozid kwenda... Nikimanisha kuwa mtoto mdogo anareceive high input on neuro awerenes kuliko mtu mzima simply bcoz your pineal gland stimulation is minimumly to decline....

Yaani upeo wa jicho angavu la 3 hupungua zaid kuliko hali yake na kadri pineal gland inavotoa stimulation za kutosha ndipo neurofunction inakuwa kubwa sana in relation to mind and will power.... Yaani inasemekana mtoto mdogo ana upeo mkubwa wa kusense hata mapepo kuliko mtu mzima kwan neuroinput ni kubwa kwake kuliko mtu mzima.

Ndo mana kuna wakati mwingine mtoto anaweza lia usiku wa manane kuashiria danger cituation lakin kwa kuwa mtu mzima unareceive low pineal gland input ndo manaa will power inakuwa ndogo katika kujua nyakati na majira mazuri na mabaya....

Katika utafiti huo uliofanywa na illuminant katka kuicontrol dunia(watu) ni pamoja na kuzuia au kutokomeza kabisa uwezo wa kuamsha hisia za uwezo wa jicho la tatu la mwanadamu linalomuwezesha kujua nyakati na majira yaliyokatika nuru na giza ..

Wamekuja na mpango wa kutokomeza uwezo wa kusisimua uwezo wa pineal gland kutoa vichocheo vinavyoliwezesha jicho la tatu kuona mbali.. Ndio maana illuminant wanalitegemea kama taa imulikayo mbali katika kufanya maamuzi yao....

Wamebuni ni sumu gani watakayompandikizia mwanadamu ili iweze kupunguza uwezo wa kuamsha hisia za jicho la tatu?

1.) Wamegundua kuwa sumu iliyopekee kuwa na uwezo wa kushambulia kwa kasi pineal gland ni FLOURIN and CHLORINE FREE RADICALS ambazo ndio sumu hatari sana katka kutokomeza hali hiyo.. Free radicals ni sumu ambazo huzuia hormones au utendaji kazi mzuri wa pineal gland mwilini hivyo bas vikiwa vinaingizwa mwilini kila siku vitaharakisha kuzuia au kukata kabsa the release of SEROTONIN HORMONES ambazo ndio kiini cha usingizi na MEDITATION KATIKA MAISHA YA MWANADAMU...

Kama mtu atakosa vichocheo hivyo hakika hataweza pata usingizi utakaopelekea kuamsha hisia za uwezo wa jicho la tatu.... Ndio mana kadri unavozidi kuwa na umri mkubwa ndipo muda wa kulala unapungua zaidi (unachelewa kulala lakini pia unawahi kuamka) ni tofaut na watoto wadogo...

So FLOURIN na CHLORIN FREE RADICALS zimewekwa katika dawa za meno ambazo kila mwanadamu anatumia kila siku.. Ndio maana kizazi cha sasa hivi uwezo wa kufikiri unapungua simply bcoz of free radicals flourin and chlorin... Ndio maana wataalamu wanasema unapopiga mswaki usimeze dawa ile.. Wana maana yake japo its so sectet to rescure few people..

2.) Wanatumia mionzi ya simu, x rayz na mionzi mingine kupiga katka pineal gland ili kuharibu serotonin production ambayo ndio msingi mkubwa wa kuamsha jicho la tatu ambalo ndio KIINI CHA KUJUA SIRI ZOTE ZA TECHNOLOGY YOTE NA HATA UWEZO WA KUJUA MAMBO YOTE YALIYO KATIKA NURU NA GIZA.. Upungufu wa utendaji kazi wa pineal gland unamfanya mwanadam awe na uwezo mdogo sana wa kufikiri mambo makubwa... Ukitaka kuaminin jaribu kujiuliza hivi ni kwanini kadri siku zinavozidi kwenda uwezo wa kufikiri wa mwanadamu unapungua lakini discoveries zinaongezeka??

Technology inakuwa kwa kasi simply becouse operators wanatumia jicho la tatu under ALLIENS TECHNOLOGY IMPLANT inayotumia jicho la tatu.. Mwanadamu anafanya kazi ya kuasemble vifaaaa tu na sio kutengeneza....

That is the big secret kwa wachache lakini ila tulio wengi hatujui how technology inversion inavokuwa....

So my dear brothers and sisterz kuna umuhimu mkubwa sana wa kujua kulitumia jicho la tatu yan ukiweza thibit upotezo wa nguvu za kuliamsha jicho hilo hakika unaweza ukajihisi kuwa wew ni nabiii kumbe ni namna ulivoweza thibit impacts of free radicalson your pineal gland.....

ZIJUE NYAKATI NA MAJIRA KATIKA KUUTAMBUA ULIMWENGU LAKINI HAKIKA HAUTAWEZA MPAKA UJUE NAMNA JICHO LA TATU LILIVYOKUWA NA UWEZO WA KUKUPA UWEZO HUO..

..AMINAAAA
Ilitakiwa utoe na namna tunaweza kutumia njia mbadala na kuacha kutumia hzo dawa za meno.tutumie nn na je nn kifanyike kuongeza uwezo wa pinel grand
 
Kuna kitu nimeanza kukielewa hapo hasa nilivyosoma hicho kitabu cha KUTOKA 13:16 kwenye Biblia.

Ngoja tuanze sasa kufukunyua nondo za huu uzi taratibu.

Ipi ni athari ya kulala chali, na kwa nini watawala wengi wa zamani walikuwa hawalali kifudi fudi??

Ukiangaliakumbu kumbu za mafarao wa misri walikuwa wanawekewa kabisa mto wa kulaliaambao ulikuwa hauwaruhusu kugeuza vichwa wakati wa kulala, na wote walikuwa wanalala chali.

Kuna siri gani hapa.??
Nafikiri walikua wanakwepa kuliwa jicho
 
Kiukweli napenda sana meditation ambayo ilinipelekea kufanya vitu vingi sana kwa wakati mchache ila sasa nimeacha nifanyaje nizoee kufanya meditation mana nilikuwa maranta kipindi cha usiku kuanzia saa sita hivi
 
Naamini tuna wanafunzi wengi wa Buddhism humu ndani hasa kwenye kipengele cha spiritual awakening.

dc556203657c470dbe63ccbc7d5602a4.jpg


Unaposoma hiyo topic na ukaja kulinganisha na huu mchoro unapata mtiririko wenye kuleta uhalisia wa ajabu kabisa.

c19a91f68d318dd66366655ef11060a7.jpg


Lakini pia kuna baadhi ya mimea hutumika kiimani kama stimuli/stimulas ya jicho la kiroho... Ni kama shortcut ya meditation au ya kuingia mlango wa sita kupitia moshi.

f0ae1602a46f2fb9ece65cbd9be7812f.jpg


Ndio maana mijadala haiishi kuhusiana na mmea... Shida moja ya mmea ni kwamba huamsha pande mojawapo kati ya zile mbili za mawasiliano ya kiroho ndani ya nafsi upande wa hasi na upande wa chanya... Inategemea kichocheo kipi kitawahi.

Kuna hii kitu mtu akifanya mambo yasiyoeleweka anaambiwa ni madhara ya bhangi za kuvutia chooni, ni kama mzaha vile lakini chooni panajulika kama mlango wa kuzimu na makazi ya roho wachafu...

Sasa bhangi inaamsha mlango wa sita kupitia jicho la tatu halafu unalivutia chooni, hapa unachanganya hasi na chanya. Matokeo yake lazima kichwa kipate moto.
Ok dawa no Julia kitu madhabahuni sio?
 
Hahahah kumbe ndo mana tukiamka asubui tunaosha uso kwanza na maji yanaanzia kwenye paji la uso

Halafu na hawa jinsia ya ke hua wanafanya makeup usoni zaid kuliko sehemu zingine za miili yao,

Najaribu kuwaza tu
Maana yake kuwa ili watu waweze kukutafsiri vyema au vibaya wanaanzia kukutazama usoni kwanza ,coz uso ndio utambulisho wako
 
Kiufupi bila kumung'unya maneno jicho la tatu maanake ni kumfungulia rasmi shetani mlango katika maisha yako.

Baada ya kumfungulia huo mlango shetani anakuongezea uwezo katika kutafakari na kupambanua mambo ikiwa ni pamoja na ugunduzi wa vitu mbali, kufanikiwa katika biashara, siasa,uwezo wa akili kuongezeka, nzota yako kung'aa zaidi ya wengine na mengineyo.

Maana naona watu hawaelewi huu mchezo wa jicho tatu.
Ndugu zangu hamna zaidi ya ushetani, ni shetani kazini.

Kwa hiyo fungua ila ufahamu unakaribisha nini katika mwili wako.
Ni kweli katika mtizamo wa kidunia unamanufaa ila kiroho unakuwa tayari uko motoni.

Pia zingatia shetani ndio baba wa uongo watukuja hapa kipindisha ukweli ni waendelee kukunasa.

Now kama unataka ufanikiwe hapa duniani lakini kwa upande mwingine uko motoni, wewe fungua hilo jicho la tatu maana changuo ni lako, hata Adamu ana Eve waliopewa uchaguzi ila baada ya kuongeza hilo la tatu wote tunajua kilichofuata.
Wewe ndugu una ufahamu sana
 
I liked it jinsi nilivyokuwa na meditate baada ya kula ganja,it was such an awesome moment. nilikuwa naweza kuyapanga na kuyapangua mambo yangu na yakaenda fresh kabisa...badae ikawa Kila nikivuta najuta sanaaa,yani hata kosa la mwaka 2000 nalikumbuka looote af najuta sanaaa, basi nkaiacha. Ila ntairudia after 4 years if God wishes.

Nakufuatilia mkuu @ mshana jr.
Vipi usharudia kuvuta MJANI mkuu?
 
Back
Top Bottom