Kama wamekubali kujiuzulu au wamepewa barua ya kuondolewa sis hapa tutajuaje, yaani ni matokeo gani tutayaona? Watatoka ubunge kwa vile hawana chama? kama ndivyo ni safi kwa vile wanachi wote watafahamu, na dhamira ya sisiemu imekuwa wazi nasi tutarudisha imani yetu.
Sina shaka kuwa RACHEL wana uwezo wakungangania, they have the backbone for that.
Drama iendelee na mchezo unazidi kuwa mtamu. Je kutatokea nini wasipotoka au wakibow?
Sina shaka kuwa RACHEL wana uwezo wakungangania, they have the backbone for that.
Drama iendelee na mchezo unazidi kuwa mtamu. Je kutatokea nini wasipotoka au wakibow?