Operation Chaos: Lowassa, Chenge, Rostam et al; Don't Quit CCM!

Kama wamekubali kujiuzulu au wamepewa barua ya kuondolewa sis hapa tutajuaje, yaani ni matokeo gani tutayaona? Watatoka ubunge kwa vile hawana chama? kama ndivyo ni safi kwa vile wanachi wote watafahamu, na dhamira ya sisiemu imekuwa wazi nasi tutarudisha imani yetu.

Sina shaka kuwa RACHEL wana uwezo wakungangania, they have the backbone for that.

Drama iendelee na mchezo unazidi kuwa mtamu. Je kutatokea nini wasipotoka au wakibow?
 
Hawa jamaa wanaotuhumiwa kwa uchafu (ufisadi) hawang'oki sisiemu wala nini, na wana jeuri ya kufanya hivyo. Kuna ufunguo mmoja nyeti wameshikilia, ukimwaga mboga wanamwaga ugali. Kumbuka kwamba RA alimsainisha risiti ya mshiko Mchungaji (mwanasiasa pia) Mtikila, Mtikila alipobisha hadharani kwamba hakuchukua chochote toka kwa RA ikabidi RA aoneshe risiti kwa waandishi wa habari, Mtikila kawa kimya mpaka leo. Wakimfukuza RA au EL katika chama, jamaa wataanika risiti zote za kuchukulia pesa walizosaini wakubwa wengine, ambazo ni zao la Kagoda na Richmond. Sipendi itokee hiyo, kwa sababu madhara yake yanajulikana. Kelele zitaendelea kupigwa mikutanoni lakini jamaa hawaondoki wala nini!

You guys are joking lets see kama hili boti la mafisadi litapona ama litazama. Sihitaji kubashiri najua kuwa lazima wazame na yeyote aliyeshiriki huo uovu lazima naye azame regardless of position or status. I told you the powerhand is changed; remember hii siyo vita iliyopangwa kimchezo mchezo iko so articulated kiasi kwamba hata wasiojua wako vitani wameshika silaha na kila mmoja ameungana na mwingine bila kuelewa. Niliweka mfano hapo wa solitons functioning yake japo ni consistent haiko linear na component zake siyo kwamba ziko strong lakini zile weak ambazo kwa nature zinajikuta wakati mwingine zina associate na wakati mwingine zina pishana kiasi kwamba ziko stable in causing distruction in such a manner kwanza huwezi kuzi predict na pia zina oscilate with frequency of different strength na hapo hapo zikiweza kusafiri in a consistent manner. Ni function pekee ambayo mathematic models zimeshindwa kuzi model ndiyo maana occurance yake haiko easly predicted ili watu waweze jihami. Its my song now and amplitude of this song is becoming more and more strong kuwa hakuna fisadi atakaye katiza hii ngoma ni kubwa sana kwa wao kucheza. The only way ni kuomba mercy un-merited favour kwa mtu mwenye makosa ambayo kwa sasa ni kama mtu aliyekuwa marehemu kuomba toba wakati yuko kaburini. Its writen once for a man to die na inabaki hukumu iliyo ya haki.
 
So far there is no evidence whatsoever put forth by the ruling party that you are the most corrupt members of the part. No one has accused you publicly or has even claimed that there is enough evidence to warrant your removal from the party. At least the Mwakyembe's report had some resemblance of credible allegations especially againt EL and RA but not this so called "skin shedding".

For this reason, I believe you will do your part and your supporters a huge favor and justice by not resigning from any party position and as a matter of fact any measure that will be taken against you should be met with a forceful and precise response.

They have failed to even name you in their public report of the party, they failed to level any credible allegation beside saying "these people have been named by a number of citizen and media that they are involved in corruption".

If you agree to resign you will infact prove without any doubt that you are the most corrupt CCM members ever! By resigning or quitting the party the allegations that have been on your tails for sometimes now will need no further proof. You will go down in history as the most corrupt public officials ever to have hold power.

Are you? Well CCM believes that you are to warrant the resignation of both the Central Committee and the Secretariat. If you resign or quit within the 90 days the answer will be in the affirmative.

I know for sure one thing after 90 days CCM will not do anything against you and still remain credible. They can't fire you, they can't just take your party membership without due quasi judicial course within the part as outlined in the CCM's own constitution or the Principles of Ethics guideline.

So.. stay put, enjoy your position, work like ever before and don't mind the new CCM leadership. They can't do a damn thing.

Mzee Mwanakijiji

Your thread is a bit confusing!

Do you really mean that you are now supporting the so called 'TRIPLETS' ??? That is EL,RA and AC.
Your statements above highlighted with REDDISH mark raises an eyebrow! Everybody knows that EL, RA and AC are the ringleaders of corruption in CCM and its government.There is no doubt about that.

The MEDIA and CITIZENS of URT have said/wrote,analysed and proved beyond reasonable doubt that EL,RA and AC are corrupt officials to the core!Their wealth is questionable! Hope you know that the Comittee of Principles of Ethics guideline is just as toothless as any comittee in this country. The comittee knows each and everything about the wealthness of these Triplelets! The comittee also knows about(wealthness)of Kiwete,Mkapa,Sumaye,Mkono,Malecela,Magufuli,Ridhiwan ........+ the other included in the 11+ LIST OF SHAME!But the committee stays dumb!

Probably now that,the new CCM going with a slogan of ''SKIN SHEDDING'' can accept and give evidences(they have them already) and bring the 3 FISADIs before the Court of Law.

I am looking for that day.
 
.......EL atatoa siri ya kujiuzulu kwake uwaziri mkuu na kubainisha wazi ni kumkingia kifua JK who had a cut kwenye Richmond. RA atatoa siri ya fictitious names kwenye umiliki wa Dowans na matumizi ya El Adawi, kumbe mmoja wa wamiliki ni mwanafamilia wa magogoni!.....

Pasco,
Utakuwa ulidandia mazungumzo ya simu kati ya El na Mkulu hivi karibuni. Haiwezekani ukawa sahihi kiasi hiki!
 
Wakitoka wanathibitisha kweli wao ni vinara wa mafisadi - yaani kwenye kundi la mafisadi wao ndio wafalme wao!
Wakibakia CCM wanaendeleza kile ambacho tayari watu wanakijua - CCM inakumbatia mafisadi.

Upande mwingine:

CCM ikiwaondoa bila kufuata taratibu za Chama kama zilivyokwenye Katiba yao na kwenye Maadili ya Uongozi Toleo la 2010 wataonekana wamewaonea na kuwa chama kimeamua gia ya kutokea tu bila sababu yoyote ya msingi. Huwezi kwenda na kusema "wanaandikwa sana kwenye magazeti kuwa ni mafisadi" ndio ikawa sababu ya kuwaondoa watu waliokitumia chama kwa muda mrefu na kwa nafasi nzito kama hawa.

CCM ikiwaacha itaoonekana kuwa CCM imeshindwa "kuwang'oa mafisadi"...

Na kama ni kuwatimua hatua hizo inabidi zichukuliwe na ngazi za CCM matawi na sio CCM Taifa , Mkoa au Wilaya. Kwa kuzingatia idadi ya kura walizopata na red carpet walizokuwa wakipata walipotoka serikalini hapo ngoma ndio inazidi kunoga.
 
Wakitoka wanathibitisha kweli wao ni vinara wa mafisadi - yaani kwenye kundi la mafisadi wao ndio wafalme wao!
Wakibakia CCM wanaendeleza kile ambacho tayari watu wanakijua - CCM inakumbatia mafisadi.

Upande mwingine:

CCM ikiwaondoa bila kufuata taratibu za Chama kama zilivyokwenye Katiba yao na kwenye Maadili ya Uongozi Toleo la 2010 wataonekana wamewaonea na kuwa chama kimeamua gia ya kutokea tu bila sababu yoyote ya msingi. Huwezi kwenda na kusema "wanaandikwa sana kwenye magazeti kuwa ni mafisadi" ndio ikawa sababu ya kuwaondoa watu waliokitumia chama kwa muda mrefu na kwa nafasi nzito kama hawa.

CCM ikiwaacha itaoonekana kuwa CCM imeshindwa "kuwang'oa mafisadi"...
Hapo CCM wamekalia kuti kavu only one option waliyonayo wawaombe wajiuzuru kwa hiari yao wakikataa kujiuzuru kwa hiari hilo zigo wanalo wameshachemsha
 
There is no way the RACHEL will cause Mkulu end his tenure in our white house. no way. but Mkulu can easily buruza them in court of law. the allegation that we ate with Mkulu will not be a defence but admission of your wrong doing and since you are the one charged there, then you will be convicted. Tanzanians will andamana in big numbers praising the government for fight against big fish of corruption and all the propaganda that will follow. after all we are very good in forgiving wakubwa wetu and wish to start afresh. so it is not in their best interests for the trio to resign and quit ccm. actually it is suicidal. so as said by Mwanakijiji, dont quit, dont resign. remain in the party and see what the party will do....nothing! a new story will have to be invented after the infamous 90 days period and umma will be led to concetrate on the new story and ...alas 2015 arrives and the bloody fools start parading for erecting (sorry electing) their satired leaders! Thats Tz. that's why it is God's most blessed country! Just become its leader and you will now why its most blessed country!
 
Vita ile inamgeuka Nape hivi karibuni tu. Hana nguvu ya Mwenyekiti wake wala Katibu Mkuu wake. CCM ya akina RACHEL+ MAKAMBA ina nguvu sana tu.
 
walipokuwa NEC na CC ya CCM tulisema CCM chafu
sasa wameondoshwa NEC na CC tunawaonea huruma

kesho watahamia CDM wataonekana wapiganaji
hakuna mtu anyewaonea huruma. Leo hajatoka mtu mikutano ya kujisifu kila kona; je watakapotoka hao watatu tu na kuacha ufisadi ukitalamakai kila pemebe ya nchi hii huku CCm waliitisha mikutano na maandamnao ya kujisifu. Tunataka vinara wa ufisadi yaani maraisi nao wangokekwani kilichoibiwa ni cha watanzania wote.
 
Mkuu;

Uchonganishi huo . . . LOL

What is going behind the Curtains now is believed kuwa Mkuu wa Kaya anawabembeleza jamaa yaishe.

Inasemekana jamaa "Pembe tatu pacha" aka RACHEL wana kete muhimu sana za kummaliza Mkulu.

Kama ni kweli, it remains to be seen. Time will tell. Time. timex.

Respect.
Nadhani Superman mkulu hana wasi wasi maana hapotezi chochote, ila hawa jamaa wanazo siri kubwa kubwa wakichokonolewa saana wataropoka!!!!!!!!! Huo ndio woga wa wakubwa, kila kitu walifanya wote pamoja kujivua gamba kiaina hiyo ya kutosana sio rahisi, KAGODA si ipo??????????
 
There is no way the RACHEL will cause Mkulu end his tenure in our white house. no way. but Mkulu can easily buruza them in court of law. the allegation that we ate with Mkulu will not be a defence but admission of your wrong doing and since you are the one charged there, then you will be convicted. Tanzanians will andamana in big numbers praising the government for fight against big fish of corruption and all the propaganda that will follow. after all we are very good in forgiving wakubwa wetu and wish to start afresh. so it is not in their best interests for the trio to resign and quit ccm. actually it is suicidal. so as said by Mwanakijiji, dont quit, dont resign. remain in the party and see what the party will do....nothing! a new story will have to be invented after the infamous 90 days period and umma will be led to concetrate on the new story and ...alas 2015 arrives and the bloody fools start parading for erecting (sorry electing) their satired leaders! Thats Tz. that's why it is God's most blessed country! Just become its leader and you will now why its most blessed country!
In addition Mkuu Manumbu CDM is trying to amplify the senerio of corruption,if Mukulu was strategicaly planing to send them to court, people will need to know why not his son???????????? Can he really brave to send the son to prison????????? Wait and see time will tell, you die or drop dead!!!!!!!!
 
Mzee Mwanakijiji, niliwahi kusema mahali kwenye post fulani kuwa JK ni kiongozi dhaifu, he is weak at character and coward in making serious decisions. Niliposema haya, kuna members humu walinishukia kuwa natumia lugha isiyo ya kistaarabu ku address rais. Mimi nilisisitiza weakness is a state and a fact, ukishutumiwa kuwa dhaifu, unaweza kuprove wrong kwa kuonyesha makali in acting the otherwise kwa kufanya maamuzi magumu na kuwa mkali. Mimi nilimuelezea JK ni dhaifu na nikasisitiza udhaifu wake ni mpaka 'upstairs'!.

Kitendo cha CCM kujivua gamba, its just a game, Mukama, Chiligati na Nape, wanapiga tarumbeta. Jana nimemsikia Mukama akisema eti watawapa barua wajitoe wenyewe, wasipo jitoa, basi CCM itawafukuza!. Yoye haya yanatokea kwasababu top leader wao ni weak, simply dhaifu!.

Kwa vile hao ni watu wake, ametoka nao mbali, wamensaidia kufika hapo alipofika, anakunywa nao chai na wote ni wapenzi na washirika kwenye kale kamchezo ! (totos), kama angekuwa imara with strength of character, alitakiwa waite siku nyingi, awaambie, Rafiki zangu, mmenyooshewa vidole, japo hakuna uthibitisho wowote kuhusu tuhuma zenu, kitendo tuu cha kunyooshewa vidole, kinatosha. Nawaombeni tubaki marafiki, lakini kwenye uongozi wa chama, nawaombeni sana mnipishe, ili boti yetu isizame.

Kitendo cha kushindwa kufanya hivyo on time, kumeicost CCM kwenye uchaguzi uliopita, kwa kuogopa boti yao isizame kabisa 2015, sasa ndio wameibuka na hii falsafa ya kuvua gamba. Kama Mwenyekiti, alitakiwa kule kule ndani ya CC, awaulize Chenge na Rostam wawajibike kwa kunyooshewa tuu kidole, hivyo kukichavua chama, ameshindwa humo ndani ya vikao halali, anamsukumia Mukama, Chiligati na Nape ili kuonyesha yeye bado ni rafiki, ila mambo ya chama ni ya chama. Hayo alitakiwa afanya yeye kuwaambia marafiki zake.

Kwa vile NEC haikuweka bayani wanataka nini haswa kifanywe na viongozi wake wanaotuhumiwa kwa ufisadi, wajiondoe kwenye uongozi, au wajiondoe ndani ya chama. Kjiondoa ndani ya uongozi wa chama, hili linawezekana kwa sababu wote waretain viti vyao vya ubunge na EL atawaendesha sana kupitia kofia yake ya M/K ya Mambo ya nje Ulinzi na Usalama, Mzee wa Vijisenti atamuendesha puta AG kilaza aione kazi yake ngumu, na RA ataendeleza ule ule utaratibu wake wa kupenyeza rupia kwa kuwatumia wabunge wanaondekeza njaa na wale walamba viatu, kuipa serikali wakati mgumu bungeni mpaka ijute kwa nini iliwaondoa kwenye uongozi wa chama.

Kama lengo ni kuwaondoa kabisa ndani ya chama, inamaana watapoteza ubunge wao na majimbo yao yatafanya uchaguzi mdogo. Kwa vile kwenye siasa, hakuna perment friends na permenent enemies, hawa jamaa watajinga Chadema na Chadema watawapokea kwa mikoni miwili na kuwasafisha, na hapa ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wa CCM. Chadema wasipowapokea watajiunga hata TLP au vywama vyovyote vidogo. Kele kwao hawa ni muingu watu, wanapendwa kuliko, hata wakijiunga chama mfu, wote watayarejesha majimbo yao tena kwa ushindi wa kishindo.

EL atatoa siri ya kujiuzulu kwake uwaziri mkuu na kubainisha wazi ni kumkingia kifua JK who had a cut kwenye Richmond. RA atatoa siri ya fictitious names kwenye umiliki wa Dowans na matumizi ya El Adawi, kumbe mmoja wa wamiliki ni mwanafamilia wa magogoni!. Chenge ndie pekee hatatoa siri ya Rada maana SFO wanaweza kumshukia tena, kwani master mind ni marehemu (Balali) na among benefisharies ni watu wa magogoni wa wawakati ule.

Kusema ukweli hii ni sinema nzuri inayotaka kuanza, ndio maana nikashauri, Chadema, wajikalia tuu pembeni na pop corn zao, waki watch hii vita vya panzi, na baada ya hapo, ndipo waje na hiyo listi ya ziada ili CCM waendelee ku dance Chadema tune!.

Kwanza wote watapewa sala ya toba na kutoa ushuhuda role yao ilikuwa ni nini, pili wataiboa CCM up, down, left, right and centre

Mkuu natafuta panadol niile maana kichwa kinauma kwa hasira duh!!!!
 
Its pathetic that most of you do not realize that CCM will come out of this as a much stronger UNIT!!

Trust me most of you haters will be surprised and CCM will survive this transformation. Just wait and see...
 
Although I don't give damn about ccm I feel I need to add something here. Lowassa, Rostam and Chenge are you really corrupt more than Kikwete, Malecela, Makamba, Mkapa and Pinda? JK is looking for a away to clear his image and protect himself from Tanzanians. Kikwete's poor tactics are known everywhere, as usual things are falling and he wants to force you guys out to save who? Stay put so we know everyone is going down. Take ultimatum to JK and ccm, take down the party with you.

"There is no ccm if there no Rostam"​


I have nothing to add. It is like you were reading my mind.
RACHEL should
stick there guns and shouldn't resign.
 
Its pathetic that most of you do not realize that CCM will come out of this as a much stronger UNIT!!

Trust me most of you haters will be surprised and CCM will survive this transformation. Just wait and see...

Wimbo huu tumeshauzoea.
 
Ulichosema ni kweli kwa kuwa mfumo wote ndio corrupt maana huwezi kufanya mambo haya pekee yao hivyo kuna ulazima wa kuona kuwa wote ndio wahusika wakuu hivyo walishindwa nini kuwatoa kwenye party kipindi kile na iweje sasa
 
Lowassa,Change,Rostam na Magamba yatakayotolewa kafara kuinusuru CCM.Wakikubali kufanya hivyo ili kukilinda chama {Ufisadi}Ni kosa kubwa kuliko UFISADIwenyewe.Kwani watakubukwa daima kwa kujitoa muhanga kulinda ufisadi na watasutwa popotea watakapoenda katika kipindi chote cha maisha yao yaliyobaki.Lakini wakiwatosa mafisadi wote na kueleza ukweli wote wa machafu ya CCM bila kijali ni nani na ana nafasi gani serikali na kisha kutubu makosa yao,wananafasi ya kujisafisha na kurudisha imani kwao.Vinginevyo wakiamu kujitwika zigo hilo la UFISADI la CCM.Ni hatari kwa maisha na mali zao kwani ghadhabu na chuki zote za walalahoi wataziamishia kwao kutoka CCM huo ni ushauri wa bule.BADO MNA NAFASI YA KUSAIDI KUTOKOMEZA FISADI MLIO SHIRIKI KUUANZISHA.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Ogopa chama kinachoitwa ccm,ni chama chenye mbinu nyingi sana nyingine ni za kuuhadaa umma.Hawa mapacha watatu watajiuzuru lakini watakaa kimya na hakuna kingine kitakachoendelea,wataendelea kutumia mali walizo fisadi.Pacha RA ameshachuma vyakutosha,akisumbuliwa sana atarudi kwao iran huku akiacha kampuni zake zikiendelea na hakuna wa kumfanya lolote kwani JK anafahamu fika RA ni nani kwake.Akina AC na EL wao watabaki humuhumu bongo wakivinjari bila kubughudhiwa kwani ccm watakuwa wameshahakikishiwa kuwa hawatabughudhiwa baada ya kuvuliwa gamba.Watu watapiga mayowe lakin wapi
 
Back
Top Bottom