CCM:SHEIN >179809 =50.1%
CUF:SEIF >176338 =49.1%
407658 NDO WALIJIANDIKISHA NA 89%yake NDO WALIPIGA KURA
Majimbo jumla 50 Unguja na Pemba na wagombea wa uraisi walikuwa Saba
Yametangazwa Mbele ya SheiN na Seif kwa kutumia sheria ya 1984 ya uchaguzi
UNDP wameshukuruliwa kwa mchango wao pamoja na JWTZ NA POLICE kwa ulinzi
Source:Tume ya uchaguzi Zanzibar via TBC
Mhhhhhh. Hapa mi naona Seif kala deal tu yaishe awe waziri kiongozi. Kwa tofauti ya kura 3500 hisingekuwa rahisi kukubali matokeo so simple. Hapa deal imefanyika.
Mbona wanakuwa wagumu kutangaza wabunge wenye tofauti ya zaidi ya kura 500
Tuombe mungu jamani vurugu zisitokee tena, tumuombe mungu na majibu yoyote yatakayotangazwa tuyakubali,