Elections 2010 OFFICIAL: Dr. Shein, Rais mpya wa Zanzibar 2010-2015

Inakuwaje Seif anakubali kirahisi hiviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Deal imefanyika jamani.
Na seif iwe ndo mwisho asirudi tena 2015 wampe mwingine ajaribu

Watu wengine bwana, sasa wewe ulitaka akatae ili yatokee machafuko? Kuna raha gani kwa Seif pale wazanzibar watakapouana? Jamani mimi napendekeza hata Slaa asithubutu kukataa matokeo, maana kufanya hivyo kutagharimu maisha ya watanzania. Lakini kama akikubali naamini wapo watakaokasirika lakini bado wataukubali ukweli, kuliko akikataa. Hatuataki ya Kenya au Zimbabwe yatokee hapa.
 
We ulitaka am2kane? Seif ni mkomavu kisiasa. Serikali ijayo ya mseto atakuwa ndani so tusubiri 2one kma alikuwa CCM B au mpinzan mwenye uchungu na nchi yake! Tuacheni maneno ya kiswahili
 
Mbona ni wazi ??.... Maalim ameshinda, isipokuwa "wamekubaliana" akubali kushindwa ... life goes on . Alichopewa wewe na mimi hatutakifahamu milele!!
 
We are lacking real Patriots. We will die poor in the hands of Papets. God have mercy upon us.
 
Kwa Dr. Shein wazanzibar wamepata rais mzuri. Huyu Bwana hana harufu ya ufisadi kama viongozi wengi wa kiafrika walivyo. Labda abadilike atakapokuwa ikulu.
 
zanzibar sasa ni shwari shein kaongea na maalimu seif kaongea na kukubali matokeo,
shein 50...%
seif 49......%
wanajivunia umoja wa kitaifa
 
Its true i can smell it, what is the logic here......they know this before, they planned for it... CUF Zanzibar and Mainland are the same, what was the logic behind for Prof Lipumba to run for presidency while for sure he know in his heart hawezi kushinda, i thought was very wise for him to campaign for PM's and jointly for presidency with CHADEMA. I am sure we could have moved very far than here we stand by now.....shame upon them i can dare to say so....but all in all People's Power will do on our own and will take over as we are doing now.
 
Niliyasema haya kuwa matokeo ya mseto wao. Seif Sharrif never left CCM kwa hiyo kawaingiza mkenge Wazanzibar na huo mseto kwa faida ya viongozi ambao lengo lao kubwa ilikuwa kugawana madaraka na kuendesha nchi...
Kama CUF wangeungana na Chadema, huko Zanzibar kulikuwa na kila nafasi ya CUF kuchukua madaraka na kuundwa kwa serikali tatu lakini sasa ndo wasahau...

Wazanzibar wameumia maskini wasilaumu mungu kwa umaskini wao
 
Mbona ni wazi ??.... Maalim ameshinda, isipokuwa "wamekubaliana" akubali kushindwa ... life goes on . Alichopewa wewe na mimi hatutakifahamu milele!!

Hapa agenda ni OIC na mahakama za kadhi (sharia courts), hili kukamilisha haya lazima kuwe na mshikamano uongozi wa juu, rais wa muungano na makamu wake, rais wa zenj nk plus wajinga wachache watakao ongwa pesa au madaraka kama membe, askofu kulola, lowasa nk. Maalim seif analijua hilo,maslahi ya uislam kwanza hayo mengine baadaye. Pole Tanzania.
 
Maalim Seif kauza hadhi yake kwa kupewa umakamu wa Rais. Aibu tupu, hakuna mpinzani hata mmoja wote njaaa, mpinzani wa kweli Mtikila tuu
 
Sharif hamad anaongeea sasa tbc na channel ten ameridhia matokeo kuwa shein ndie rais mpya wa zanzibar,jamaa kalegea anakubali kilaini kwa kuwa amejua kuna shavu this time[/jamaa mabo ya kuwa rais asahau tena ila nampongeza kwa kukubalu matokeo
 

Yaelekea mngelipenda sana kuona Zanzibar inawaka moto kama mlivyozoea!!!!! Viva Karume, Viva Seif, Viva Shein, Viva Zanzibar......waonyehesheni hawa dugu ni maana ya Ustaarabu wa Wazanzibari......After more than 50 years za kuwadharau na kuwazodoa....
 

Yaelekea mngelipenda sana kuona Zanzibar inawaka moto kama mlivyozoea!!!!! Viva Karume, Viva Seif, Viva Shein, Viva Zanzibar......waonyehesheni hawa dugu ni maana ya Ustaarabu wa Wazanzibari......After more than 50 years za kuwadharau na kuwazodoa....

wewe fisadi Omar, hebu kuja hapa utueleze pumba za makamba
 
Sioni taarifa hii katika Jf

Ni kuwa aliyekuwa mgombea wa CCM kwa nafasi ya urais huko zanzibar Dk Ali Mohamed shein ametanagzwa rasmi na tume ya taifa ya Zanzibar (ZEC) kuwa ndiye mshindi kwa nafasi hiyo.
 
Maalim Seif ameonyesha ukomavu wa kisiasa, kakubali kushindwa kwa around 2%. Amani na umoja umezaliwa Zanzibar
 
Back
Top Bottom