Önly fans of Hiphop

Mbona hao ma Mc wengi mnao wataja ni loser kwenye game?

Dunia inasonga kukaa unapoteza muda just for fun imepitwa na wakati
Mambo ya uMc ilikuwa zamani hivi sasa watu wanafanya muziki ni maisha which means making money

Prof j,AY na FA,Fid q,Chid benz,Joe makini,N2N hawa ndio maMc wa zama hizi, pesa kwanza

Hata ulaya kuna watu bado wanawaponda akina lilywine na drek kuwa si kitu but kiukweli wana make a lot of money kuliko wagumu ambao wamepitwa na wakati

Inawezekana kawa kweli hao akina hashm dogo na ramson wakawa ma real mc lakini uzao huu unawakata, wanaonekana vituko na wahuni fulani hivi
Uzao wa dot com hauhitaji nyimbo ngumu unataka vitu laini na vinavyochezeka

Kuna watu mmewataja hapo toka enzi na enzi masikini hata baskeli hawajawahi kupata kupitia muziki, nasikia tu majina yao lakini muziki haufahamiki wala hawatoki na most of them ni wahuni kupindukia

Nampenda sana prof j anajua kusoma jamii inataka nini, walianza na rap ngumu lakini leo hii prof analisongesha kuendana na mabadiliko ya jamii lakini angejifanya kukomaa na ureal mc angeishia kuvuta bangi na kuwaponda akina FA tu

hatuongelei money tunazungumzia ma mc mbobana sugu hajaishia kuvuta bangi
 
Wakuu kwa nyie mnaodai MC anatakiwa aweze kufanya nguzo zote 5 za hip hop huo ni uongo. How come mtu akaweza kufanya nguzo zote? Kwasababu kila nguzo inategemea talanta binafsi.
Afu siku tapate mjadala kuhusu nguzo za Hip Hop kwasababu kuna watu wanadai ziko 4, wengine 5, pia ukisikiliza nyimbo ya Hip hop knowledge ya KRS-0NE alitaja nguzo 9.


kaka kwanza salute inaonekana upo deep sana na hihop, lakini ngozo za hiphop ukisoma vitabu na majarida ni nyingi sana sio tano wala sita wala saba hata KRS ONE mwenyewe alikuwa anajaribu kuziongeza ambazo anaona zimekaa zaidi kiharakati na ambazo zinaendana na jamii, hivyo zipo nyingi tu..ila za basic ndio kama zinavyotajwa. anyway nimefurahi kumbe wadau wa real hihop bado tupo sana tu
 
Mkubwa nakubalina na wewe kabisa! MCs wa sasa wote wazugaji wana copy na kupaste au kutranslate mistari ya MC wa ughaibuni.
Na hichi ndo kinachotufanya tunaofuatilia muziki huu tuone Mc wa sasa hawana jipya!
Heshima itaendelea kubaki kwa kinaa
Hashim Dogo
Chief Ramson - Zavara
K -Single
Faza Nelly R.I.P
Nigger One (Adili) - R.I.P
Sugu
D Rob(Zomba) - R.I.P
Balozi

naunga mkono hoja
 
kiukwel uemc huwa tunaishia kuangalia dap yaani deliverence attitude and punchlines
 
Pamoja sana mdau, Hao ni majembe ila ukirefer records father Nelly katoka 96 na single ya WACHAGA PIGA CHATA,JCB pia ni mkali ka ukisikiliza Nyimbo zake since Yuko hard core unit utamkubali.. Chief Ramso, k single, dogo Hashimu, D Rob Sugu, Adili hawa ni Bongo greatest mc's of all time hamna ubishi. Then kuna Jay mo huyu namkubali sana. Fid Q ni copy cat sema tu wabongo hatuko MAKINI huyu jamaa kazidi kuiga....Roma mpayukaji, Joh MAKINI Ana soft punch lines, labda wengine wakali kuna Mapacha, Bou Nako, Incredible, Rado hawa wengine ka KINA Lord eyes, Baghdad, nick mmbishi, ezo biznes,mexicana, lunduno, chid benz, jeezy mabovu, jose mtambo media zinawabeba lakini pia kuna waandikaji wazuri ka solo, FA na stamina
F

mmmh i think we ni chuga boy
 
X-Plastaz!The Fortune Tellerz,.Watengwa+Hashim Dogo!kama hutaki ulizia ngoma na ujumbe wenye maana ya Hip-Hop from hawa jama kisha nikupe udate!
 
Vijana mwaongea sana... But we have 1 HIP HOPPER in TZ.. FID Q..
 
Wakuu kifupi nimeupenda huu mjadala, basi kwa pamoja tutupe PM kwa Invisible ili hii thread iwe sticky ili tuwe na specific place ya kujadili muziki huu.

Pia itakua poa tukianza kuizungumzia Hip-Hop toka mwanzo ili wadau wengine wapate mwanga wa muziki huu, tutaanza kwa kuzungumzia Old School Hip Hop ile ya Run DMC, BDP, DJ COOL HERCE, AFRIKA BAMBAATA kiongozi wa UNIVERSAL ZULU NATION, ONYX Na mengineyo.
Then tutakuja Golden School ya 2 Pac, Rakeem, Wu Tang Clan, NWA, NAUGHTY BY NATURE, MOBB DEEP Na mengine. Mwisho tutakuja na New School Hip Hop.
Pia tutaangalia Genres of Hip Hop kama Hardcore, Horrocore, Gangsta rap. Na zingine. Ndipo tutaelewana kwa mambo mengi.
Ahsante.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu kifupi nimeupenda huu mjadala, basi kwa pamoja tutupe PM kwa Invisible ili hii thread iwe sticky ili tuwe na specific place ya kujadili muziki huu.

Pia itakua poa tukianza kuizungumzia Hip-Hop toka mwanzo ili wadau wengine wapate mwanga wa muziki huu, tutaanza kwa kuzungumzia Old School Hip Hop ile ya Run DMC, BDP, DJ COOL HERCE, AFRIKA BAMBAATA kiongozi wa UNIVERSAL ZULU NATION, ONYX Na mengineyo.
Then tutakuja Golden School ya 2 Pac, Rakeem, Wu Tang Clan, NWA, NAUGHTY BY NATURE, MOBB DEEP Na mengine. Mwisho tutakuja na New School Hip Hop.
Pia tutaangalia Genres of Hip Hop kama Hardcore, Horrocore, Gangsta rap. Na zingine. Ndipo tutaelewana kwa mambo mengi.
Ahsante.

kweli kaka umeogelea swala la msingi sana....
 
Last edited by a moderator:
Vp kuhusu Kibacha? A.k.a K-Single?
Marehemu Faza Nelly wa Xplastza na Zomba a.k.a D-Rob?
Adili a.k.a Nigger One?
Kiukweli kwa waliobakia wanaofaaa kuwa MC ni Sugu tu
D-Rob ni marehemu kaka,
KBC ni kifaa kama walivyo members wote wa KU-Crew including Baggzy Mallone (remember alivyochana kwenye UTAONA??)

Kwa waliobaki surely Sugu pamoja na uheshmiwa wake bado anatisha, nilihudhuria uzinduzi wa "Anti-Virus", jamaa yuko vizuri jukwaani, Pumzi anayo, anaenda na Beats,
Sauti inatiririka vizuri (hakwami), hapo ni mbali na "Idea" anayoimba.

Wapo kwa mbaali kama Roma na Zilla ambao nao wanahitaji kukaza msuli. Na hata J-Mo nae hakua vibaya.
 
Wakuu kifupi nimeupenda huu mjadala, basi kwa pamoja tutupe PM kwa Invisible ili hii thread iwe sticky ili tuwe na specific place ya kujadili muziki huu.

Pia itakua poa tukianza kuizungumzia Hip-Hop toka mwanzo ili wadau wengine wapate mwanga wa muziki huu, tutaanza kwa kuzungumzia Old School Hip Hop ile ya Run DMC, BDP, DJ COOL HERCE, AFRIKA BAMBAATA kiongozi wa UNIVERSAL ZULU NATION, ONYX Na mengineyo.
Then tutakuja Golden School ya 2 Pac, Rakeem, Wu Tang Clan, NWA, NAUGHTY BY NATURE, MOBB DEEP Na mengine. Mwisho tutakuja na New School Hip Hop.
Pia tutaangalia Genres of Hip Hop kama Hardcore, Horrocore, Gangsta rap. Na zingine. Ndipo tutaelewana kwa mambo mengi.
Ahsante.


Unakosa Adabu kwa kutomuorodhesha hiphop Godfather hapa namzungumzia Andre Young...
 
Last edited by a moderator:
Unakosa Adabu kwa kutomuorodhesha hiphop Godfather hapa namzungumzia Andre Young...

Kaka niko makini sana kwa nijuavyo Andre Young ndo Dr. DRE sasa kama kesi ndio hiyo basi jamaa nimemtaja pale nilipozungumzia NWA -Niggaz With Attitude simply because he was a member of that crew, alikua Dr Dre, Ice Cube, Dj Yella, Eazy E but mmoja amenitoka. Nadhani umenipata kaka.
 
Kaka niko makini sana kwa nijuavyo Andre Young ndo Dr. DRE sasa kama kesi ndio hiyo basi jamaa nimemtaja pale nilipozungumzia NWA -Niggaz With Attitude simply because he was a member of that crew, alikua Dr Dre, Ice Cube, Dj Yella, Eazy E but mmoja amenitoka. Nadhani umenipata kaka.


Huyo uliyemsahau aliitwa MC Ren.
Anapatikana katika wimbo Some LA Nigga uliopo katika santuli ya Chronic 2001.
Mkuu yaani Dr Dre hukutakiwa kumtaja kwa kumficha ndani ya kundi, jamaa ilitakiwa umpe kama mistari mitano au sita ya kumshukuru kwa kuitoa Hiphop ilikokuwa mpaka sasa.
 
sie wasomaji tu hembu mwageni tu hayo maelimu na sie tufaidike
 
Huyo uliyemsahau aliitwa MC Ren.
Anapatikana katika wimbo Some LA Nigga uliopo katika santuli ya Chronic 2001.
Mkuu yaani Dr Dre hukutakiwa kumtaja kwa kumficha ndani ya kundi, jamaa ilitakiwa umpe kama mistari mitano au sita ya kumshukuru kwa kuitoa Hiphop ilikokuwa mpaka sasa.

Ha ha hah mkuu kifupi me mwenyewe ni beat producer ingawa bado nafanyia home.
Kuhusu Dr Dre its true jamaa alichangia sana kuinua muziki wa Hip Hop sio tu kwa michano yake bali hata kwa beats zake zenye ujazo. Jamaa alivutiwa kuwa producer baada ya kusikia kazi nyingi za The RZA ambaye ni founder na member wa Wu Tang jamaa ni bonge moja la Mc na producer pia ikumbukwe The RZA ndio ameproduce karibia nyimbo zote za Wu Tang na single album za member wake (Kuthibitisha haya sikiliza album ya Ente The Wu Tang au kwa jina lingine 36 Chambers au nyimbo ya Triumph).
Hivyo basi Dr Dre ni mhimili mzito sana katika music Wa Hip Hop pia alisaidia harakati za KRS-ONE thats why kwenye nyimbo ya Hip Hop Knowledge KRS-ONE alitoa special thanks kwa Dr Dre , Snoop na mheshimiwa X-Zibit.
Dre pia amewang'arisha wakali Kama 2Pac, Ice Cube, Eminem, 50 Cent, The Game na wengineo wengi. Kifupi Dr Dre amefanya mengi katika Hip Hop esp Ganstar rap. Ila sijawahi kujua why aliingia kwenye bifu na Eazy E ingawa kwenye nyimbo ya Whats the Difference alitoa dukuduku lake about hiyo bifu na masikitiko yake kuhusu kifo cha Eazy E.
Wakuu kuna mengi kumuhusu Dr Dre lakini tutapata wasaa wa kuyazungumzia haya. Ikumbukwe hapa sio thread yake. Ahsante
 
Ha ha hah mkuu kifupi me mwenyewe ni beat producer ingawa bado nafanyia home.
Kuhusu Dr Dre its true jamaa alichangia sana kuinua muziki wa Hip Hop sio tu kwa michano yake bali hata kwa beats zake zenye ujazo. Jamaa alivutiwa kuwa producer baada ya kusikia kazi nyingi za The RZA ambaye ni founder na member wa Wu Tang jamaa ni bonge moja la Mc na producer pia ikumbukwe The RZA ndio ameproduce karibia nyimbo zote za Wu Tang na single album za member wake (Kuthibitisha haya sikiliza album ya Ente The Wu Tang au kwa jina lingine 36 Chambers au nyimbo ya Triumph).
Hivyo basi Dr Dre ni mhimili mzito sana katika music Wa Hip Hop pia alisaidia harakati za KRS-ONE thats why kwenye nyimbo ya Hip Hop Knowledge KRS-ONE alitoa special thanks kwa Dr Dre , Snoop na mheshimiwa X-Zibit.
Dre pia amewang'arisha wakali Kama 2Pac, Ice Cube, Eminem, 50 Cent, The Game na wengineo wengi. Kifupi Dr Dre amefanya mengi katika Hip Hop esp Ganstar rap. Ila sijawahi kujua why aliingia kwenye bifu na Eazy E ingawa kwenye nyimbo ya Whats the Difference alitoa dukuduku lake about hiyo bifu na masikitiko yake kuhusu kifo cha Eazy E.
Wakuu kuna mengi kumuhusu Dr Dre lakini tutapata wasaa wa kuyazungumzia haya. Ikumbukwe hapa sio thread yake. Ahsante

daah pata chakula cha akili bure hapa mkuu we nowa daaah!
 
Wakuu kuweka sawa mjadala huu kuhusu nani ni Real Emcee hapa bongo nadhani tumeshuhudia wenzetu wakitaja hapa rappers kwamba nao ni Emcee'z. Binafsi napenda kuchukua definition aliyotoa KRS-One kuhusu utofauti kati ya Emcee na Rapper aliyoitoa kwenye verse ya nyimbo ya CLASSIC ya KANYE WEST akiwashirikisha KRS-One, Nas na Rakim. Alisema kama ifuatavyo:
-"This is
the difference between
MC’ing and rap
Rappers spit rhymes
that are mostly illegal,
MC’s spit rhymes to
uplift their people
Peace, love, unity, and
Havin’ fun"-

Sasa kila mtu achukue msanii wake then amlinganishe na maneno ya KRS-One hapo hatuja chukua vigezo vingine.
 
Back
Top Bottom