Önly fans of Hiphop

Wakuu kuweka sawa mjadala huu kuhusu nani ni Real Emcee hapa bongo nadhani tumeshuhudia wenzetu wakitaja hapa rappers kwamba nao ni Emcee'z. Binafsi napenda kuchukua definition aliyotoa KRS-One kuhusu utofauti kati ya Emcee na Rapper aliyoitoa kwenye verse ya nyimbo ya CLASSIC ya KANYE WEST akiwashirikisha KRS-One, Nas na Rakim. Alisema kama ifuatavyo:
-"This is
the difference between
MC’ing and rap
Rappers spit rhymes
that are mostly illegal,
MC’s spit rhymes to
uplift their people
Peace, love, unity, and
Havin’ fun"-

Sasa kila mtu achukue msanii wake then amlinganishe na maneno ya KRS-One hapo hatuja chukua vigezo vingine.

mkuu ni kazi sana kustick kwenye hiyo hata those who we call real mcs da hawawez labda kwenye albam 1 ya survival skills mkuru kajaribu
 
mkuu ni kazi sana kustick kwenye hiyo hata those who we call real mcs da hawawez labda kwenye albam 1 ya survival skills mkuru kajaribu

Ha ha ha hah ndio maana watu wanatakiwa kujua Hip Hop sio mziki rahisi hata kidogo kama aina nyingine.
 
Ha ha hah mkuu kifupi me mwenyewe ni beat producer ingawa bado nafanyia home.
Kuhusu Dr Dre its true jamaa alichangia sana kuinua muziki wa Hip Hop sio tu kwa michano yake bali hata kwa beats zake zenye ujazo. Jamaa alivutiwa kuwa producer baada ya kusikia kazi nyingi za The RZA ambaye ni founder na member wa Wu Tang jamaa ni bonge moja la Mc na producer pia ikumbukwe The RZA ndio ameproduce karibia nyimbo zote za Wu Tang na single album za member wake (Kuthibitisha haya sikiliza album ya Ente The Wu Tang au kwa jina lingine 36 Chambers au nyimbo ya Triumph).
Hivyo basi Dr Dre ni mhimili mzito sana katika music Wa Hip Hop pia alisaidia harakati za KRS-ONE thats why kwenye nyimbo ya Hip Hop Knowledge KRS-ONE alitoa special thanks kwa Dr Dre , Snoop na mheshimiwa X-Zibit.
Dre pia amewang'arisha wakali Kama 2Pac, Ice Cube, Eminem, 50 Cent, The Game na wengineo wengi. Kifupi Dr Dre amefanya mengi katika Hip Hop esp Ganstar rap. Ila sijawahi kujua why aliingia kwenye bifu na Eazy E ingawa kwenye nyimbo ya Whats the Difference alitoa dukuduku lake about hiyo bifu na masikitiko yake kuhusu kifo cha Eazy E.
Wakuu kuna mengi kumuhusu Dr Dre lakini tutapata wasaa wa kuyazungumzia haya. Ikumbukwe hapa sio thread yake. Ahsante


Haya uliyoyaandika hapa ndio ulitakiwa uyaandike mwanzo mkuu.
Ndio maana nikafumuka na ghadhabu hata kukwambia kuwa unakosa adabu.

Dr Dre ni hiphop Godfather...
 
Saigon wa DPT
Hashim Dogo - Kikosi cha Mizinga
Niga One, K Single, D-Rob, Chief Ramso - Kwanza Unit
Faza Nelly - Xplastaz
II Proud, Mr II a.k.a Sugu
 
Wakuu kuweka sawa mjadala huu kuhusu nani ni Real Emcee hapa bongo nadhani tumeshuhudia wenzetu wakitaja hapa rappers kwamba nao ni Emcee'z. Binafsi napenda kuchukua definition aliyotoa KRS-One kuhusu utofauti kati ya Emcee na Rapper aliyoitoa kwenye verse ya nyimbo ya CLASSIC ya KANYE WEST akiwashirikisha KRS-One, Nas na Rakim. Alisema kama ifuatavyo:
-"This is
the difference between
MC’ing and rap
Rappers spit rhymes
that are mostly illegal,
MC’s spit rhymes to
uplift their people
Peace, love, unity, and
Havin’ fun"-

Sasa kila mtu achukue msanii wake then amlinganishe na maneno ya KRS-One hapo hatuja chukua vigezo vingine.


hahaha that y nampenda sana 'knowledge runs supremacy over nearly every one' (krs one) hajaacha kitu kwenye HipHop na hiyo ndio maana halisi ya MCEE...kiukweli bila kuuma maneno wengi bongo ni marrapers tu.
 
Shukrani maalumu kwa wote mwanzisha uzi huu na wote mnaojitolea kutupa elimu kuhusu hip hop.
Nimefaidika sana na nimegundua nilikuwa najua machache sana kuhusu aina hii ya muziki-maisha
 
Inakuwaje kila mnapoongelea historia ya Hiphop mnawasahau waasisi wa mikoani...binafsi sijawahi kuona Mc anaemzidi Mc Ndollo wa Morogoro uyu alikuwa anarap miaka ya 90..uyu alikuwa akipanda stejini uwezi kuwaona Kwanza Unit wala Dpt wote wanafunikwa,kuacha Mc Ndollo ambaye kwa sasa ni marehemu kulikuwa na mtu uko Moro baadae alikuja anaitwa Boy G uyu nae ni marehemu kwa sasa alikuwa ni fundi balaa,alikuwa anauwezo wa ku-freestyle miaka iyo ata kina Chief Ramson awafahamu kufree style ni nini...
 
Inakuwaje kila mnapoongelea historia ya Hiphop mnawasahau waasisi wa mikoani...binafsi sijawahi kuona Mc anaemzidi Mc Ndollo wa Morogoro uyu alikuwa anarap miaka ya 90..uyu alikuwa akipanda stejini uwezi kuwaona Kwanza Unit wala Dpt wote wanafunikwa,kuacha Mc Ndollo ambaye kwa sasa ni marehemu kulikuwa na mtu uko Moro baadae alikuja anaitwa Boy G uyu nae ni marehemu kwa sasa alikuwa ni fundi balaa,alikuwa anauwezo wa ku-freestyle miaka iyo ata kina Chief Ramson awafahamu kufree style ni nini...

Huyo Mc Ndolo alikuwa akipanda stejin wapi?
Katika uhai wake na muziki wa Hip Hop alifanikiwa kutoa rekodi gani?
Ilisikika wapi na wapi?
Ilikuwa mwaka gani?

Hao wote unaona wametajwa, walifanya vitu vilivyosikika sio dar tu walipokuwa wanaishi bali Tanzania nzima na Afrika Mashariki
 
Huyo Mc Ndolo alikuwa akipanda stejin wapi?
Katika uhai wake na muziki wa Hip Hop alifanikiwa kutoa rekodi gani?
Ilisikika wapi na wapi?
Ilikuwa mwaka gani?

Hao wote unaona wametajwa, walifanya vitu vilivyosikika sio dar tu walipokuwa wanaishi bali Tanzania nzima na Afrika Mashariki

Mc Ndollo anafanya muziki wa rap(siku izi mnaita hiphop) ata studio za kurekodi muziki azikuwepo na zilizokuwepo zilirekodi muziki wa aina moja...uliza mtu yoyote aliyekuwa shabiki enzi izo steji za mashule atakuwa anamfahamu vizuri,hawa kina Kwanza mnaowaaminia sisi tulikuwa tunawaona mabishoo tu,sijui kina saigon hawa..wengi umu hawamjui ata Puzzo Lee,hawawajui Gangstar Family,ZeeDomp,Boy G nk.watu waliofanya rap ya ukweli hawakumbukwi kamwe,na wengi wamepitia shimoni pale enzi za Dj sweet Coffee aliye mfunza John Dilinga.
 
Mc Ndollo anafanya muziki wa rap(siku izi mnaita hiphop) ata studio za kurekodi muziki azikuwepo na zilizokuwepo zilirekodi muziki wa aina moja...uliza mtu yoyote aliyekuwa shabiki enzi izo steji za mashule atakuwa anamfahamu vizuri,hawa kina Kwanza mnaowaaminia sisi tulikuwa tunawaona mabishoo tu,sijui kina saigon hawa..wengi umu hawamjui ata Puzzo Lee,hawawajui Gangstar Family,ZeeDomp,Boy G nk.watu waliofanya rap ya ukweli hawakumbukwi kamwe,na wengi wamepitia shimoni pale enzi za Dj sweet Coffee aliye mfunza John Dilinga.

Umeshindwa kujibu ulichoulizwa!
Kila mkoa najua kuna watu walikua wanafanya muziki, lakini yamkiniki kama mtu alikuwa mkali lazima sifa zake zilitambaa hata nje ya eneo lake, kwa kupitia mashindano yaliyokuwa yakifanyika mikoani.
Mwanza wanajulikana kina Jontwa na wengineo, Dodoma Gz Mobb, Monster from the East na 36 Chamber (now chamber squads)
Arusha kuna Whoz Squad, na wengineo
 
Inakuwaje kila mnapoongelea historia ya Hiphop mnawasahau waasisi wa mikoani...binafsi sijawahi kuona Mc anaemzidi Mc Ndollo wa Morogoro uyu alikuwa anarap miaka ya 90..uyu alikuwa akipanda stejini uwezi kuwaona Kwanza Unit wala Dpt wote wanafunikwa,kuacha Mc Ndollo ambaye kwa sasa ni marehemu kulikuwa na mtu uko Moro baadae alikuja anaitwa Boy G uyu nae ni marehemu kwa sasa alikuwa ni fundi balaa,alikuwa anauwezo wa ku-freestyle miaka iyo ata kina Chief Ramson awafahamu kufree style ni nini...

Moro aliewakilisha miaka hiyo aliitwa Nash G.
Huyu alitoka na wimbo wake wa MAMBO BADO.

Wewe wamjua huyu??
 
Moro aliewakilisha miaka hiyo aliitwa Nash G.
Huyu alitoka na wimbo wake wa MAMBO BADO.

Wewe wamjua huyu??

Nash G namfahamu ila uyu amekuja baadae sana mwishoni mwa 90s ivi sasa naambiwa ni mtangazaji...ao niliowataja ni wa kitambo kidogo enzi za Shimoni na Rock Garden,enzi za mikasa ya kina Gamba,Isambe Mwampamba,Mnambo,Matata na watoto wa mji mpya wakiongozwa na yule mtoto wa sheikh mkuu...ata mabingwa wa taifa wa BreakDance wakati huo kina Bob Tiger walitokea Shimoni..hapo ndio kulikuwa na nguzo tano zote za hiphop hadi Graffiti.
 
Umeshindwa kujibu ulichoulizwa!
Kila mkoa najua kuna watu walikua wanafanya muziki, lakini yamkiniki kama mtu alikuwa mkali lazima sifa zake zilitambaa hata nje ya eneo lake, kwa kupitia mashindano yaliyokuwa yakifanyika mikoani.
Mwanza wanajulikana kina Jontwa na wengineo, Dodoma Gz Mobb, Monster from the East na 36 Chamber (now chamber squads)
Arusha kuna Whoz Squad, na wengineo


Mkuu mfano miaka hiyo Arusha na Mbeya zilikuwa juu sana kwa Hip hop lakini wasanii waliokuwa wanasikika ni wa Dar tu na si kwasababu ya uwezo wao pekee bali media za Dar zilikuwa bias mno!

mfano imechukua muda mrefu msanii kama Mr Ebbo(kipindi anaishi Arusha) kujulikana lakini jamaa alikuwa anaimba R&B tena kwa kuchanganya English na Kiswahili fasaha sana yaani alikuwa balaa!

Unajua Xplastaz wa Arusha pamoja na kutikisa ughaibuni wakiwa na rapper mkali kama Ruff Nelly lakini nyimbo zao zilikuwa hazipigwi Dar wala vituo vya TV kama Channel 5 havikuwahi kurusha hata nyimbo moja yao.Je unajua wasanii wa kwanza nyimbo yao kurushwa Channel O kutoka Tanzania ni Xplastaz tena hapa Bongo wakiwa hawaonekani ktk TV zetu?

Watu wengi wa muziki hapa Dar hasa wenye vituo vya radio kama hawafaidiki chochote na wewe hutasikika!
 
Umeshindwa kujibu ulichoulizwa!
Kila mkoa najua kuna watu walikua wanafanya muziki, lakini yamkiniki kama mtu alikuwa mkali lazima sifa zake zilitambaa hata nje ya eneo lake, kwa kupitia mashindano yaliyokuwa yakifanyika mikoani.
Mwanza wanajulikana kina Jontwa na wengineo, Dodoma Gz Mobb, Monster from the East na 36 Chamber (now chamber squads)
Arusha kuna Whoz Squad, na wengineo

Chamber Squad muziki wamejifunzia kwa Prodyuza Expera wa Tushikamane Records pale Moro,kipindi hicho wanajiita CF Boyz..na wale hawakuwa wote watoto wa Dom sema walikutana tu shuleni Mazengo Sec,Mangwea alikuwa anaishi Forest Hill Morogoro ndipo wazazi wake wanaishi sema anapenda kuiwakilisha Dom zaidi ata Noorah Kwao ni Shinyanga...ata ivyo hawa wote ni wa juzi tu.
Moro kuna hazina kubwa ya historia ya huu muziki,sema haijawai kuwekwa kwenye maandishi watu wakaijua.
 
Chamber Squad muziki wamejifunzia kwa Prodyuza Expera wa Tushikamane Records pale Moro,kipindi hicho wanajiita CF Boyz..na wale hawakuwa wote watoto wa Dom sema walikutana tu shuleni Mazengo Sec,Mangwea alikuwa anaishi Forest Hill Morogoro ndipo wazazi wake wanaishi sema anapenda kuiwakilisha Dom zaidi ata Noorah Kwao ni Shinyanga...ata ivyo hawa wote ni wa juzi tu.
Moro kuna hazina kubwa ya historia ya huu muziki,sema haijawai kuwekwa kwenye maandishi watu wakaijua.

Wewe ndio wakuiweka hapa historia kama kutoa changamoto kwa wana Moro.
 
Maybe Ice Cube was right. With Beats By Dre bringing in so much money for the legendary West Coast producer/rapper, it's no wonder we can't get
Detox. Hip-hop icon Dr. Dre rocked Coachella with an all-
star cast of collaborators past and present (and
even deceased) this year with more skill than half
the guys half his age who are promoting new
albums, all while banking his way to becoming the
highest paid rapper of the year. How'd he do it? Beats by Dre, of course, which now
accounts for more than half of the high-end
headphone market. According to the brand-new list
of hip-hop's highest-paid earners featured in Forbes magazine's September 24 issue, Beats by Dre was responsible for $100 million of Dre's pretax $110
million haul over the past year. The N.W.A. rapper/
producer, who launched the careers of Snoop Dogg
and Eminem, got into the speaker game at the
urging of Interscope's Jimmy Iovine, who was one
of the partners who benefited when handset maker HTC spent $300 million purchasing a 51 percent
stake in Beats. Dre managed to pass his peers like Diddy, Jay-Z,
Kanye West and Lil Wayne, who rounded out the top
five. Like Dre, Diddy's annual payday had little to do with
album sales or touring revenue. Most of his $45
million came from Diageo's Cîroc vodka, according
to the Forbes report. More than half of Jay-Z's $38
million came from his pieces of the Brooklyn Mets,
cosmetics company Carol's Daughter and other ventures. Jay helped Kanye make a bunch of his
$35 million of course, thanks to the Watch the
Throne album and tour. Tha Carter IV was a smash,
but Wayne's cash from Trukfit (his clothing line) and
his sponsorship deal with Mountain Dew certainly
didn't hurt, either. Weezy pulled in a reported $27 million. Young Money Entertainment and Cash Money
Records stayed true to their names by landing a few
more artists on the Forbes list, as well. Drake's $20.5
million was enough to put him in #6, with Cash
Money co-founder Bryan "Birdman" Williams just
behind at #7 with $20 million. The crew's own Nicki Minaj, the first ever female on MTV's Annual Hottest
MC's list, was #8 with $15.5 million. For those
keeping score, that's four slots in a row dominated
by Young Money. Eminem doesn't have any headphones, vodka or
soda pop deals to deal with, but he still managed to
make $15 million this year from his back catalog
and shows. Last year, Marshall won a lawsuit against
Universal Music Group involving royalties from
digital sales of his music. As MTV's Rap Fix noted in a story, "Forbes magazine might have to make some room for Eminem," and indeed they did. Slim Shady
was #9 on the Forbes list. Dre wasn't the only rapper in the top 10 with
headphones on the market. Soul, the headphone
company launched by Ludacris, helped put him at
the #10 spot with a $12 million take that also came
courtesy of roles in "Fast Five" and "New Year's Eve,"
plus Conjure cognac and those smooth Radio Shack voiceovers. The rest of the Top 20: Pitbull ($9.5 million); Rick
Ross and Wiz Khalifia (tied with $9 million each);
Snoop ($8.5 million); 50 Cent ($7.5 million); Swizz
Beats, Pharrell Williams and Young Jeezy (tied with
$7 million each); Mac Miller ($6.5 million); and Akon,
Timbaland, Tech N9ne (tied with $6 million each). Of course, all of the hip-hop entrepreneurs in
Forbes' "Cash Kings 2012: Hip-Hop's Top 20
Earners" have some sort of history with the VMAs , as either performers, winners, presenters and/or
spectators over the years. Tune in tomorrow to
watch the music moguls do their thing!
 
Moro aliewakilisha miaka hiyo aliitwa Nash G.
Huyu alitoka na wimbo wake wa MAMBO BADO.

Wewe wamjua huyu??
Mambo Bado Mambo Mambo Bado!
Mambo Bado,

Nafanya Vizuri zaidi nikielewa!
Mambo Bado.

Wakati wa sasa, sio wa kufanya trouble trouble!!

Ongeza ulichonacho ukiwaza kwamba, Mambo Bado!!
 
Mambo Bado Mambo Mambo Bado!
Mambo Bado,

Nafanya Vizuri zaidi nikielewa!
Mambo Bado.

Wakati wa sasa, sio wa kufanya trouble trouble!!

Ongeza ulichonacho ukiwaza kwamba, Mambo Bado!!

Wapi ntapata huu wimbo?
Nakumbuka jamaa alikua na sauti Na rap style kama ya GK hivi!!
 
Back
Top Bottom