Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,971
- 10,465
Yes, jamaa anajua kuandika na kuimba real hardcore hiphop. Baada ya huyu nadhani wanafuata:-kwa waliopo kwenye game now anaefaa kuitwa MC ni FID Q peke yake ila tukiongeza na wasiokuepo ndo wenge sana..
1. Solo Thang (naye anaweza sana kuandika)
2. Jay Mo (anaweza kuandika)