Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,444
- 25,591
freemason imeanza babeli hiyo ni moja,pili hiyo alama inamaanisha mungu wa afya tafiti medical institutions zote zinahiyo alama,
1.WHO
2.ROYAL INSITUTE OF PUBLIC HEALTH
3.MEDICAL ADVISORY BOARD
4.EMERGENY MEDICAL TECHNICIAN
N.K
inaitwa caduceus
biblia tofauti na KJV ni za kuchoma moto
Ndo maana nakuambia umevurugwa ile mbaya.......Mambo ya kuchoma Biblia ya kazi gani..?
Hiyo KJV wala hata sijui na wala sitaki kuijua...Hiyo KJV inahusiano gani na mada hii..#