Nyoka na fimbo kwenye Noti ya Tsh 500 ina Maana gani? BoT yatoa ufafanuzi

Dawa waligundua wagiriki je, na mia tano pia ni wao? Mi nachofahamu nyoka alilaniwa tokea enzi za Adam.
 
[h=1]Sio muhimbili tu, angalia hapaaaaa

Caduceus as a symbol of medicine[/h] From Wikipedia, the free encyclopedia
This article is about the Greek symbol. For the medical symbol often mistakenly referred to as a caduceus, see Rod of Asclepius.
This article is about the erroneous use of the Caduceus in medical settings. For all other uses, see Caduceus.

The U.S. Army Medical Corps Branch Plaque. The 1902 adoption of the caduceus for U.S. Army medical officer uniforms popularized the erroneous use of the symbol throughout the medical field in the United States.


The caduceus is the traditional symbol of Hermes and features two snakes winding around an often winged staff. It is often mistakenly used as a symbol of medicine instead of the Rod of Asclepius, especially in the United States. The two-snake caduceus design has ancient and consistent associations with trade, eloquence, trickery, and negotiation. Tangential association of the caduceus with medicine has occurred through the ages, where it was sometimes associated with alchemy and wisdom.
The modern use of the caduceus as a symbol of medicine became established in the United States in the late 19th and early 20th century as a result of documented mistakes, misunderstandings and confusion.[SUP][1][/SUP][SUP][2][/SUP][SUP][3][/SUP][SUP][4][/SUP][SUP][5][/SUP][SUP]note a[›][/SUP]
 
Sio muhimbili tu, angalia hapaaaaa

Caduceus as a symbol of medicine


From Wikipedia, the free encyclopedia
This article is about the Greek symbol. For the medical symbol often mistakenly referred to as a caduceus, see Rod of Asclepius.
This article is about the erroneous use of the Caduceus in medical settings. For all other uses, see Caduceus.

The U.S. Army Medical Corps Branch Plaque. The 1902 adoption of the caduceus for U.S. Army medical officer uniforms popularized the erroneous use of the symbol throughout the medical field in the United States.


The caduceus is the traditional symbol of Hermes and features two snakes winding around an often winged staff. It is often mistakenly used as a symbol of medicine instead of the Rod of Asclepius, especially in the United States. The two-snake caduceus design has ancient and consistent associations with trade, eloquence, trickery, and negotiation. Tangential association of the caduceus with medicine has occurred through the ages, where it was sometimes associated with alchemy and wisdom.
The modern use of the caduceus as a symbol of medicine became established in the United States in the late 19th and early 20th century as a result of documented mistakes, misunderstandings and confusion.[SUP][1][/SUP][SUP][2][/SUP][SUP][3][/SUP][SUP][4][/SUP][SUP][5][/SUP][SUP]note a[›][/SUP]

Wikipedia mtu yeyote anaweza ku edit (sio ya kuaminika).
 
kwa hiyo hata yule nyoka wa Musa ni wa freemason? unajua watu mmekuwa wahubiri wa mambo bila kujua historia ya yale mnayoyahubiri. mmekuwa kama wachungaji wa mitaani wanaowahubiria wasiojitambua kisa tuu hawawezi kudadisi ukweli wa mambo.

Historia inaonyesha ile alama ipo miaka mingi kabla ya Kristo lakini freemason imeanzishwa kwenye karne ya 13 baada ya Kristo. sasa sijui huo uhusiano unakujaje hapo.

Unapohusisha kila alama ya nyoka na ushetani inaonesha huna imani kwani hata Mungu kuna wakati alitumia nyoka kuonesha ishara ya ukuu wake. mfano; nyoka wa Musa alietokea baada ya kutupa fimbo chini ambayo yalikuwa ni maajabu ya Mungu

Wewe aliyekwambia ftreemason imeanza karne ya kumi na tatu nani? Kilichoanza ni neno freemason but ujue freemason was there since uwepo wa shetani. Freemason ndiyo babel wa kwenye biblia ila ujue kinachowachanganya watu utendaji wa freemason mkumbuke nao wanabadirika accordingly mjue vita ya shetani na binadamu haijaanza leo na haijaisha bado.
 
mbona alama ya msalaba kwenye baadhi ya taasisi za zinazo husika na maswala ya afya ya binadamu na maduka ya dawa hamsemi?.mfumo kristu kitu mbaya sana.lol
CC kahtaan
 
Last edited by a moderator:
kuna mtu kaniambia kule misri zamani, musa aliambiwa na mungu aweke nyoka kwenye mti na auchomeke chini, wale wayahudi waliokuwa wanaumwa na nyoka wakitazama huo mti hawatakufa lkn ambao hawatautazama watakufa

Mungu ndiye aliye muumba nyoka na bado ni kiumbe chake ata huyo shetani bado ni kiumbe wa Mungu still anaweza kumtumia atakavyo ikiwa ni pamoja na kumuadhibu atakavyo! Rejea kisa cha ayubu mungu anamjaribu ayubu kwa kumtumia shetani. Lakini ikumbukwe kuwa siyo shetani kasamehewa na nyoka maeneo kibao ya biblia bado anaashiria kama alama ya shetani hakuna sehemu amewakilisha marekani. Soma ufunuo wa yohana utamwona nyoka anavyichorwa(alivyotumika)
 
kwani pale jangwani wayahudi walitundikiwa nini watizame ili wasife baada ya kung'atwa na nyoka?.
Conect doti.

Labda mjenge hoja hivi magonjwa ni shetani na siku zote tiba kwa maana ya chanjo na tiba mara nyingi inaundwa kutokana na kama si bacteria wa aina ile au vimelea vilevile kwa maana ya kuvireverse yaani vitende kinyume yaani kana ni bacteria huwa wanabadirishwa kuwa beneficial kwa kuwabadirisha tabia zao na kureact against themselves. Hapa mkisema binadamu au Mungu anamtumia nyoka kuwakilisha tiba kama mwakilishi wa shetani na mmiliki wa magonjwa hapo nawaunga mkono.
 
Aliyewatoa akili zenu kesha kufa..n

Ukitaka kuwa salama usiishie kusoma elimu dunia tu! Soma elimu dunia na maandiko na ulegeze shingo yako roho mtalatifu atakugeuza akuoneshe mambo yalifichika! Ila ukikakamaza shingo kama m.pumbav ipo siku utahoji ata uwepo na uwezo wa Mungu na ujue hiyo shingo itavunjika. Paul anasema wapumbavu hujisemea moyoni kuwa hakuna Mungu...!
 
mbona alama ya msalaba kwenye baadhi ya taasisi za zinazo husika na maswala ya afya ya binadamu na maduka ya dawa hamsemi?.mfumo kristu kitu mbaya sana.lol
CC kahtaan
kadoda11 usichanganye madawa ukaja kiharisha brbrni bure!

Hizo alama unazoziona kwenye Taasisi za Afya SIO MISALABA bali ni alama iliobuniwa On 17 February 1863, na dhumuni lilikuwa ni-respect for army medical services, volunteers with first aid societies and the victims of armed conflicts.
Alama ya KUJUMLISHA (+) Pamoja na Alama ya Mwezi zote hizi zilibuniwa wakati mmoja.

Huo MSALABA walibuni watu WA PAULO na hakuna mwanafunzi yyt ktk wale wanafunzi WA KWELI 12 WA YESU ALIYEWAHI KUVAA AU KUWA NA MSALABA.

Huo Msalaba ni UZUSHI TU WA Mnafiki PAULO.

We babako auwawe na bastola halafu eti wewe uvae ka bastola kadogo shingoni kujikumbusha kifo chake kweli hio inaingia AKILINI?

Hayo mapenzi? Au Chuki?
 
Last edited by a moderator:
Naona kila mtu kwa mbwembwe zake anajifaragua na kujitutumua hapa na pale kuonyesha jinsi alivyo mjuvi/mjuba wa mambo.Waungwana tusiropoke tu pasipo kufanya utafiti.Hebu basi na tuwe na fikra za kiuchunguzi na udadisi tusikubali tu kuona na kuzoea mambo pasipo kujiuliza kwanini.....na katika kujiuliza huko(fanya tafiti binafsi) kisha jaribu sasa kulinganisha na uhalisia wake.

Na katika sasa kujadiliana tujaribu kuacha kashfa na dharau za wazi na dhairi dhidi ya mwingine....UPUMBAVU WAKO NDIO HEKIMA KWA MWINGINE NA KINYUME CHAKE NDIO UKWELI PIA USIO PINGIKA!.Na tujuzane basi kwa hekima na busaraa!
 
Naona kila mtu kwa mbwembwe zake anajifaragua na kujitutumua hapa na pale kuonyesha jinsi alivyo mjuvi/mjuba wa mambo.Waungwana tusiropoke tu pasipo kufanya utafiti.Hebu basi na tuwe na fikra za kiuchunguzi na udadisi tusikubali tu kuona na kuzoea mambo pasipo kujiuliza kwanini.....na katika kujiuliza huko(fanya tafiti binafsi) kisha jaribu sasa kulinganisha na uhalisia wake.

Na katika sasa kujadiliana tujaribu kuacha kashfa na dharau za wazi na dhairi dhidi ya mwingine....UPUMBAVU WAKO NDIO HEKIMA KWA MWINGINE NA KINYUME CHAKE NDIO UKWELI PIA USIO PINGIKA!.Na tujuzane basi kwa hekima na busaraa!

Mkuu ulitaka tuimbe kwaya ndio uridhike au?

Kuna maelezo gani ulipenda watu watoe.
Manake unasema KILA MTU ANAJIFARAGUA!
we ulitaka watu wajifanye nini sasa.
Funguka kidogo.
Au be specific ni nani anaejifaragua hapa!

Namna gani kijana! Alaaa.
 
mbona alama ya msalaba kwenye baadhi ya taasisi za zinazo husika na maswala ya afya ya binadamu na maduka ya dawa hamsemi?.mfumo kristu kitu mbaya sana.lol
CC kahtaan

Tazama tofauti ya MSALABA na ALAMA YA AFYA.

Utagundua kuwa Alama ya Afya iko sawasawa na alama ya jumlisha (plus).na ukiugeuza UPANDE WOWOTE Utakuta hauna Tofauti.

Na MSALABA ule mstari wa kulala HAUKO KTKT YA ule Uliosimama bali Uko Juu zaidi na kama utaugeuza UTAPIGWA LAANA Na Kadinali Pengo kwa kuukosea adabu.
Manake utakuwa umemgeuza yesu Miguu juu kichwa Chali!
Na ukiugeuza HAUTOLETA MAANA YYT Zaidi ya kutafuta shari na waefeso waliolewa damu ya bwana.
 

Attachments

  • 1408514254430.jpg
    1408514254430.jpg
    16.2 KB · Views: 124
  • 1408514268296.jpg
    1408514268296.jpg
    18.7 KB · Views: 146
Last edited by a moderator:
Mkuu ulitaka tuimbe kwaya ndio uridhike au?

Kuna maelezo gani ulipenda watu watoe.
Manake unasema KILA MTU ANAJIFARAGUA!
we ulitaka watu wajifanye nini sasa.
Funguka kidogo.
Au be specific ni nani anaejifaragua hapa!

Namna gani kijana! Alaaa.





Natumai umeshawahi kuona mijadala na majadiliano kadha wa kadha..hasa nikilenga ile ya kisomi(maana hekima na busara hutumika)..hii ikiwa kila mtu kwa ustaarabu,upole na data za kutosha kuwasilisha facts pasipo kutumia maneno ya kebehi na dharau,kinyume na iliyo dhairi kwa kile hasa kinacho fanyika ktk topic hii.

Sikatai ya kuwa wamo watu hapa wanawasilisha facts vizuri tena kwa ustaarabu kabisa(hata kama ina mapungufu),lakini tatizo linakuja sasa kwa wengi wajuvi/wajuba wenye jazba kukurupuka kwa kebehi na dharau dhidi ya comments za wenzao(HUKU SASA NDO NAKUITA KUJIFARAGUA NA KUJITUTUMUA KWA WENGI)....ili hali wachache wana kuwa wapole ktk kuwasilisha kile walicho kitafiti na kukigundua.

Tupangue uwongo na facts potoshi kwa ustaarabu na hekima!
 
Natumai umeshawahi kuona mijadala na majadiliano kadha wa kadha..hasa nikilenga ile ya kisomi(maana hekima na busara hutumika)..hii ikiwa kila mtu kwa ustaarabu,upole na data za kutosha kuwasilisha facts pasipo kutumia maneno ya kebehi na dharau,kinyume na iliyo dhairi kwa kile hasa kinacho fanyika ktk topic hii.

Sikatai ya kuwa wamo watu hapa wanawasilisha facts vizuri tena kwa ustaarabu kabisa(hata kama ina mapungufu),lakini tatizo linakuja sasa kwa wengi wajuvi/wajuba wenye jazba kukurupuka kwa kebehi na dharau dhidi ya comments za wenzao(HUKU SASA NDO NAKUITA KUJIFARAGUA NA KUJITUTUMUA KWA WENGI)....ili hali wachache wana kuwa wapole ktk kuwasilisha kile walicho kitafiti na kukigundua.

Tupangue uwongo na facts potoshi kwa ustaarabu na hekima!

Umesomeka mkuu.
Kwa mwendo huo tuko Pamoja sana .
 
kadoda11 usichanganye madawa ukaja kiharisha brbrni bure!

Hizo alama unazoziona kwenye Taasisi za Afya SIO MISALABA bali ni alama iliobuniwa On 17 February 1863, na dhumuni lilikuwa ni-respect for army medical services, volunteers with first aid societies and the victims of armed conflicts.
Alama ya KUJUMLISHA (+) Pamoja na Alama ya Mwezi zote hizi zilibuniwa wakati mmoja.

Huo MSALABA walibuni watu WA PAULO na hakuna mwanafunzi yyt ktk wale wanafunzi WA KWELI 12 WA YESU ALIYEWAHI KUVAA AU KUWA NA MSALABA.

Huo Msalaba ni UZUSHI TU WA Mnafiki PAULO.

We babako auwawe na bastola halafu eti wewe uvae ka bastola kadogo shingoni kujikumbusha kifo chake kweli hio inaingia AKILINI?

Hayo mapenzi? Au Chuki?

Lakini paul kasema neno juu ya msalaba kuwa wajinga wanaona msalaba kwao hauna maana wanasahau kwamba kwa msalaba huo huo tumeokolewa...! Ivi unadhani yesu hakujua kuwa mitume watakufa? Au ulidhani alijua baada ya vifo vya mitume injili ilishia pale? Au unahisi Mungu hatendi makuuu tangu enzi za Adam mpaka sasa huku akijidhirisha kwa watu wake kwa namna aonavyo inafaa? Wewe sawa na wale wap..umbafu ambao paul anasema hujisemea moyobi kuwa hakuna Mungu. Mwisho ujue msalaba wa kristo haupo km kujumlisha ila wa mpinga kristo ndiyo kama kujumlisha...! Nakupa task moja usipodharau ifanye, simama wima tandaza mikono yako, sura au alama upatayo ndivyo msalaba wa kristo ulivyo. Barikiwa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom