Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Mswahili,

Kwanza inabidi uelewe nini nimeandika kabla hujarukia vitu... Nimesema walidai kuwa Malima kuhamia CUF.. jambo ambalo ni UONGO... sikusema Malima alihamia CUF.
Pili, zogo la sheikh Kassim bin Jumaa lilianza lini?
Labda hunifahamu na bora uulize watu wakufahamishe mimi nani..
Itakuwaje Sheikh Kassim awe na matatizo na Nyerere hali Sheikh Kassim alikuwa mganga wake!...na mwanae leo hii ndio mganga wa JK au unataka niseme mengine ambayo hayahusiani?.
Kesi ya Kassim imeanza mwisho wa mwaka 1992 na hakuchukua miezi sita. Mwanaye swahiba wangu mkubwa.....ULIZA. Sina mapenzi na huyo Mwinyi kwa sababu story nzima naifahamu na hapa sii pahala pake. Wewe unafanya kusoma ktk magazeti yenu ya ushabiki ambayo waandishi wake ni wadini, na hivyo kukufanya wewe uwe matunda yao.
 
Hizi shutuma za waislamu mi zinanishangaza, kila siku ni kulalama tu why? Nyerere alishaondoka madarakani miaka zaidi ya ishirini sasa, bado mnalalama tu Nyerere! Nyerere. Halafu kibaya inaelekea kuna jamaa ambao ni wazuri sana kubrainwash mass ya waislamu kwa faida wanazozijua wao. All they want ni kutukoroga na tuanze kukatana mapanga, beware!
 
Habari hii hapa inaweza pia kusaidia baadhi ya hoja za wajumbe, hasa kuhusu ELIMU...kama ilivyoripotiwa na Mwananchi...


Rais Kikwete aonya kuhusu mifarakano ya dini

Na Shadrack Sagati
RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kufahamu kuwa katika mifarakano na uhasama wa kidini, hakuna atakayeibuka mshindi bali wote watakuwa ni watu walioshindwa.Akihutubia Baraza la Eid el Fitr lililofanyika Jijini Arusha jana, Rais Kikwete alisema watu wa imani tofauti katika jamii wataendelea kuwepo; hivyo kila mtu lazima aukubali ukweli huo na akubali kuishi na mwenzake wa dini na dhehebu tofauti.

"Hili linawezekana kwani ndiyo ilivyo hivi sasa hapa kwetu," alisema Rais Kikwete na kusisitiza kuwa serikali anayoiongoza, haitarudi nyuma katika kuheshimu uhuru wa raia wa kuabudu na kuhubiri dini bila kuchochea chuki na uhasama miongoni mwa wafuasi wa madhehebu na dini nyingine.Alisema yeye na wenzake serikalini, watakuwa wakali na wepesi wa kuchukua hatua kuhakikisha watu wachache wakorofi hawavurugi nchi kwa kuchochea uhasama na kutokuelewana kati ya Waislamu na Wakristo.

Rais amewaonya watu hao aliowaita waovu, kuwa serikali haitakuwa na ajizi bali itaendelea kulinda amani bila woga, huba au upendeleo kwa dini yoyote. "Tumefanikiwa miaka yote huko nyuma, hatuwezi kushindwa sasa."Hivyo, Rais aliwataka viongozi wa dini kuwahimiza waumini wao wenye mwelekeo wa kuhubiri na kupandikiza chuki dhidi ya dini na waumini wa dini au madhehebu mengine, waache kufanya hivyo.

Akizungumzia mchango wa dini katika kuleta maendeleo, Rais aliwaambia Waislamu kuwa mchango wa dini yao hasa madhehebu ya Suni ambao ndio wengi sio mkubwa katika masuala ya elimu, afya ukilinganisha wa dini nyingine au madhehebu mengine.Aliwapa changamoto kuwa ili waweze kushiriki katika dini zingine ni lazima wawe na uongozi thabiti na makini wa Baraza Kuu la Waislam (Bakwata) ili liwe na mwelekeo wa kisera unaotoa kipaumbele stahiki kwa masuala ya kuendeleza elimu na afya.

Jambo lingine alilolitaja ili Bakwata ifikie malengo yake ni kuwepo kwa mikakati na programu za utekelezaji wa mipango hiyo na pawepo pia na mfumo maalum wa uendeshaji wa kuongoza na kusimamia utekelezaji wa programu na miradi ya utekelezaji wa mipango watakayojiwekea.

Rais alisema mambo hayo matatu aliyoyaita ya msingi yamekuwa pungufu katika Bakwata; ndio maana Waislamu hawakupiga hatua kubwa ya maendeleo katika sekta za elimu na afya.

Alitaja mapungufu mengine kuwa ni kutokuwepo kwa uaminifu wa uongozi na watendaji wa baraza hilo, kutokana na baadhi ya viongozi wake kutokuwa waaminifu katika kudhibiti na kusimamia fedha na mali za baraza hilo."Matokeo yake ni kukosekana kwa misaada muhimu kutoka kwa watu wenye nia njema ndani na nje ya nchi," alisema Rais ambaye alimtaka mufti na viongozi wenzake kuwa waaminifu na wawe na mfumo mzuri wa usimamizi wa fedha na mali za baraza.

Kuhusu Waislam kujiimarisha kiuongozi, Rais Kikwete alisema Bakwata ndicho chombo kikuu cha uongozi wa Waislamu na angependa kuona baraza hilo linaaminiwa na kuheshimiwa na waumini wote wa dini hiyo.Aliongeza kuwa Bakwata ndicho chombo kikuu kinachotegemewa cha kuwaunganisha na kuwaongoza Waislamu katika kuendeleza maslahi yao ya kiimani na kimaendeleo "Bakwata haina budi iwe ndilo kimbilio la Waislam kwa matatizo yao ya kiroho na kimwili."

Rais alisema Waislamu wanapokosa chombo cha kuwaunganisha wanakosa umoja, mshikamano na wanayumbishwa. Alisema hali hiyo inawafanya baadhi yao kuangukia katika mikono ya watu wabaya na wakatumika kwa mambo yasiyokuwa na maslahi kwa Waislamu.Katika hotuba yake hiyo, Rais Kikwete alisema uendeshaji wa dini ya kiislam hasa ya dhehebu la Suni ni tofauti na zile za dini ya Kikristo na hata za madhehebu mengine ya dini ya Kiislamu. Alisema wengine wana uongozi wa kuanzia chini mpaka juu kitaifa na hata kimataifa jambo ambalo haliko kwa Suni.

Akionyesha umuhimu wa kuwa na chombo cha kuwaunganisha waumini mbalimbali, Rais alitoa mfano wa uongozi kwaWakristo kuwa wana Paroko au mchungaji kiongozi wa kanisa, wana jimbo linaloongozwa na Askofu, wana Jimbo Kuu linaloongozwa na Askofu Mkuu na wana Mkuu wa Kanisa kwa nchi na wana uongozi wa kimataifa. Alisema hata Bohora, Ismailia, Wahindu na hata Shia wako karibu hivyo hivyo.

Lakini kwa upande wa Waislam wa Suni, Rais Kikwete alisema uongozi huanzia na kuishia msikitini na wala hakuna msikiti mkubwa wenye mamlaka kwa mdogo. Pia alisema hakuna sheikh mkubwa mwenye mamlaka ya amri kwa wenzake."Ni dini iliyojengeka kwenye msingi wa usawa wa waumini wa misikiti yao. Katika mazingira hayo kuwepo chombo cha kuwaunganisha Waislam baada ya ngazi ya msikiti ni jambo jema na la manufaa ya aina yake," alisema.Katika hotuba yake hiyo Rais Kikwete aliwataka viongozi wa Bakwata kutambua umuhimu na unyeti wa baraza hilo na kuishi na kufanya kazi kwa shabaha na malengo yake ili kulinda maslahi ya Waislamu wote.

Wakati huo huo, Mussa Juma anaripoti kutoka Arusha kuwa Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Shaban Simba amewataka Waislam nchini, kuendeleza matendo mema na umoja kama walivyokuwa katika mwezi wa ramadhani na kuacha vurugu za mara kwa mara katika misikiti.

Akizungumza na waumini wa Kiislam mara baada ya sala ya Idd el fitri iliyofanyika kitaifa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jana, Mufti alisema kama Waislam watarejea kutenda maovu itamaanisha kuwa hawakubadilishwa na mwezi wa ramadhani."Tumetoka kwenye ibada sasa sote ni wasafi hatutarajii kurejea tena kule tulipokuwa ...kama uliacha madhambi ni vyema ukaendelea kuacha na hiyo ndio itadhihirisha ramadhani imekubadilisha kwa dhati," alisema Mufti Simba.

Sheikh Mkuu pia aliwataka Waislam kuacha kuendeleza vurugu misikini kwani vitendo hivyo ninaendelea kuwagawa waumini wa dini hiyo na ni makosa makubwa mbele ya Mungu."Amani hii ambayo tuliyonayo iendelee hata katika misikiti yetu, tuache vurugu, tuwe kitu kimoja kwani umoja ni nguvu," alisema Mufti.Alisema migogoro na vurugu isipewe tena nafasi miongoni mwa Wasilamu na wasio Waislam ili nchi iendelee kuwa ya amani na utulivu wakati wote.

Awali, akisoma hutuba ya Idd, Sheikh Khadiu Hussein, aliwataka Waislam kuongeza juhudi katika kutafuta elimu na kufanya kazi kama ambavyo mwenyezi Mungu ameagizaSheikh Khadiu ambaye ni Imam wa Msikiti Mkuu wa Arusha, alisema tangu enzi za adamu, moja ya masuala yaliyopewa kipaumbele ni elimu na kazi hivyo ni lazima kufuata maagizo hayo.

Alisema Mtume Mohamad (SW), katika maisha yake, aliagiza waislam kuwa ni lazima kutafuta elimu popote inapopatikana duniani.
 
Huyu mswahili tunamushimu lakini anatleta udini humu kwa nini hasa husu MSENGE HUYU!!!

MSWAHILI ACHA USENGE TUMEKUVUMILIA NA NINAOA ADMINSTARTO ASIPOKUWA MAKINI UTMWAGA SUMU ZA UDINI HUMU! ACHA USENGE WAKO HUKO!
 
Mkuyuga,
Mswahili kishaanza kumwaga sumu za kidini. Kamshutumu Mwalimu bila ushahidi kuwa alimwua Kigoma Malima kwa sumu ya viatu mjini Nairobi. Naomba afafanue au achukuliwe hatua za kinidhamu.
 
Mwanagenzi said:
Habari hii hapa inaweza pia kusaidia baadhi ya hoja za wajumbe, hasa kuhusu ELIMU...kama ilivyoripotiwa na Mwananchi...


Rais Kikwete aonya kuhusu mifarakano ya dini

Na Shadrack Sagati
RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kufahamu kuwa katika mifarakano na uhasama wa kidini, hakuna atakayeibuka mshindi bali wote watakuwa ni watu walioshindwa.Akihutubia Baraza la Eid el Fitr lililofanyika Jijini Arusha jana, Rais Kikwete alisema watu wa imani tofauti katika jamii wataendelea kuwepo; hivyo kila mtu lazima aukubali ukweli huo na akubali kuishi na mwenzake wa dini na dhehebu tofauti.

"Hili linawezekana kwani ndiyo ilivyo hivi sasa hapa kwetu," alisema Rais Kikwete na kusisitiza kuwa serikali anayoiongoza, haitarudi nyuma katika kuheshimu uhuru wa raia wa kuabudu na kuhubiri dini bila kuchochea chuki na uhasama miongoni mwa wafuasi wa madhehebu na dini nyingine.Alisema yeye na wenzake serikalini, watakuwa wakali na wepesi wa kuchukua hatua kuhakikisha watu wachache wakorofi hawavurugi nchi kwa kuchochea uhasama na kutokuelewana kati ya Waislamu na Wakristo.

Rais amewaonya watu hao aliowaita waovu, kuwa serikali haitakuwa na ajizi bali itaendelea kulinda amani bila woga, huba au upendeleo kwa dini yoyote. "Tumefanikiwa miaka yote huko nyuma, hatuwezi kushindwa sasa."Hivyo, Rais aliwataka viongozi wa dini kuwahimiza waumini wao wenye mwelekeo wa kuhubiri na kupandikiza chuki dhidi ya dini na waumini wa dini au madhehebu mengine, waache kufanya hivyo.

Akizungumzia mchango wa dini katika kuleta maendeleo, Rais aliwaambia Waislamu kuwa mchango wa dini yao hasa madhehebu ya Suni ambao ndio wengi sio mkubwa katika masuala ya elimu, afya ukilinganisha wa dini nyingine au madhehebu mengine.Aliwapa changamoto kuwa ili waweze kushiriki katika dini zingine ni lazima wawe na uongozi thabiti na makini wa Baraza Kuu la Waislam (Bakwata) ili liwe na mwelekeo wa kisera unaotoa kipaumbele stahiki kwa masuala ya kuendeleza elimu na afya.

Jambo lingine alilolitaja ili Bakwata ifikie malengo yake ni kuwepo kwa mikakati na programu za utekelezaji wa mipango hiyo na pawepo pia na mfumo maalum wa uendeshaji wa kuongoza na kusimamia utekelezaji wa programu na miradi ya utekelezaji wa mipango watakayojiwekea.

Rais alisema mambo hayo matatu aliyoyaita ya msingi yamekuwa pungufu katika Bakwata; ndio maana Waislamu hawakupiga hatua kubwa ya maendeleo katika sekta za elimu na afya.

Alitaja mapungufu mengine kuwa ni kutokuwepo kwa uaminifu wa uongozi na watendaji wa baraza hilo, kutokana na baadhi ya viongozi wake kutokuwa waaminifu katika kudhibiti na kusimamia fedha na mali za baraza hilo."Matokeo yake ni kukosekana kwa misaada muhimu kutoka kwa watu wenye nia njema ndani na nje ya nchi," alisema Rais ambaye alimtaka mufti na viongozi wenzake kuwa waaminifu na wawe na mfumo mzuri wa usimamizi wa fedha na mali za baraza.

Kuhusu Waislam kujiimarisha kiuongozi, Rais Kikwete alisema Bakwata ndicho chombo kikuu cha uongozi wa Waislamu na angependa kuona baraza hilo linaaminiwa na kuheshimiwa na waumini wote wa dini hiyo.Aliongeza kuwa Bakwata ndicho chombo kikuu kinachotegemewa cha kuwaunganisha na kuwaongoza Waislamu katika kuendeleza maslahi yao ya kiimani na kimaendeleo "Bakwata haina budi iwe ndilo kimbilio la Waislam kwa matatizo yao ya kiroho na kimwili."

Rais alisema Waislamu wanapokosa chombo cha kuwaunganisha wanakosa umoja, mshikamano na wanayumbishwa. Alisema hali hiyo inawafanya baadhi yao kuangukia katika mikono ya watu wabaya na wakatumika kwa mambo yasiyokuwa na maslahi kwa Waislamu.Katika hotuba yake hiyo, Rais Kikwete alisema uendeshaji wa dini ya kiislam hasa ya dhehebu la Suni ni tofauti na zile za dini ya Kikristo na hata za madhehebu mengine ya dini ya Kiislamu. Alisema wengine wana uongozi wa kuanzia chini mpaka juu kitaifa na hata kimataifa jambo ambalo haliko kwa Suni.

Akionyesha umuhimu wa kuwa na chombo cha kuwaunganisha waumini mbalimbali, Rais alitoa mfano wa uongozi kwaWakristo kuwa wana Paroko au mchungaji kiongozi wa kanisa, wana jimbo linaloongozwa na Askofu, wana Jimbo Kuu linaloongozwa na Askofu Mkuu na wana Mkuu wa Kanisa kwa nchi na wana uongozi wa kimataifa. Alisema hata Bohora, Ismailia, Wahindu na hata Shia wako karibu hivyo hivyo.

Lakini kwa upande wa Waislam wa Suni, Rais Kikwete alisema uongozi huanzia na kuishia msikitini na wala hakuna msikiti mkubwa wenye mamlaka kwa mdogo. Pia alisema hakuna sheikh mkubwa mwenye mamlaka ya amri kwa wenzake."Ni dini iliyojengeka kwenye msingi wa usawa wa waumini wa misikiti yao. Katika mazingira hayo kuwepo chombo cha kuwaunganisha Waislam baada ya ngazi ya msikiti ni jambo jema na la manufaa ya aina yake," alisema.Katika hotuba yake hiyo Rais Kikwete aliwataka viongozi wa Bakwata kutambua umuhimu na unyeti wa baraza hilo na kuishi na kufanya kazi kwa shabaha na malengo yake ili kulinda maslahi ya Waislamu wote.

Wakati huo huo, Mussa Juma anaripoti kutoka Arusha kuwa Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Shaban Simba amewataka Waislam nchini, kuendeleza matendo mema na umoja kama walivyokuwa katika mwezi wa ramadhani na kuacha vurugu za mara kwa mara katika misikiti.

Akizungumza na waumini wa Kiislam mara baada ya sala ya Idd el fitri iliyofanyika kitaifa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jana, Mufti alisema kama Waislam watarejea kutenda maovu itamaanisha kuwa hawakubadilishwa na mwezi wa ramadhani."Tumetoka kwenye ibada sasa sote ni wasafi hatutarajii kurejea tena kule tulipokuwa ...kama uliacha madhambi ni vyema ukaendelea kuacha na hiyo ndio itadhihirisha ramadhani imekubadilisha kwa dhati," alisema Mufti Simba.

Sheikh Mkuu pia aliwataka Waislam kuacha kuendeleza vurugu misikini kwani vitendo hivyo ninaendelea kuwagawa waumini wa dini hiyo na ni makosa makubwa mbele ya Mungu."Amani hii ambayo tuliyonayo iendelee hata katika misikiti yetu, tuache vurugu, tuwe kitu kimoja kwani umoja ni nguvu," alisema Mufti.Alisema migogoro na vurugu isipewe tena nafasi miongoni mwa Wasilamu na wasio Waislam ili nchi iendelee kuwa ya amani na utulivu wakati wote.

Awali, akisoma hutuba ya Idd, Sheikh Khadiu Hussein, aliwataka Waislam kuongeza juhudi katika kutafuta elimu na kufanya kazi kama ambavyo mwenyezi Mungu ameagizaSheikh Khadiu ambaye ni Imam wa Msikiti Mkuu wa Arusha, alisema tangu enzi za adamu, moja ya masuala yaliyopewa kipaumbele ni elimu na kazi hivyo ni lazima kufuata maagizo hayo.

Alisema Mtume Mohamad (SW), katika maisha yake, aliagiza waislam kuwa ni lazima kutafuta elimu popote inapopatikana duniani.



Mfarakano wa kidini hakuna ila natumai kuwa DHIKI ikizidi na maisha ya KIZANI ndio italeta mifarakano maana haiwezekani kuwa VINNGUNGUTI umeme ukatwe muda wote lakini OYSTERBAY umeme uko all the times

Sasa watu wa Vingunguti wanalipa kodi kama watu wa O'BAY iweje wao wakose umeme kila wakati?
 
Mkandara
Sheikh Kassim Bin Juma Bin Chewa hakuwahi kuwa mganga wa Nyerere labda nikufahamishe waganga wa Nyerere ni Sheikh Ramia alikuwa Bagamoyo na akamnunulia Pick-up, na Dar kulikuwa na Sheikh Ramadhan Abbas alikuwa Kariakoo na Sheikh Chaurembo.
Sheikh Kassim alikuwa Mtu wa karibu wa ruksa hata alipokuwa anataka kukamatwa alikuwa anatoa kinga ya ruksa hadi Nyerere alipokuja juu(akamatwe) nani alikuwa na Ruksa kwenye G55 ni Kassim bin Juma.
makala haya nimeyatoa kwenye Mwananchi la jumapili au mwananchi ni gazeti la uzushi mie sijui, ila unaweza kujibu hoja zako next issue nafasi ipo,
MKUYUGA mie sijibu matusi.

MTZ
Nyerere hakuondoka madarakani miaka 20 iliyopita ni 1999, nani aliyewazuia akina Malecela na JK 1995 kama yeye alikuwa nje ya ofisi?
JASUSI
Sio malima tu bali na Karume wote waliuliwa.
kuna mtu anadai Malima account yake ilikuwa frozen ndio akafa atuambie benki gani iliyokuwa na Account ya Malima hadi ikafungwa? Barclays,Lloyds tsb,Hsbc,Abbey National na ilitangazwa na chombo gani? mfano mzuri ni gazeti la leo The sun limeandika Bakri's £ 13k is seized. na wapo masenator wa Nigeria ambao wamefikishwa kwenye vyomba vya sheria vya UK kwa kuwa na pesa zisizoeleweka vyanzo vyake.
Suala la Abacha liliwekwa wazi benki gani kuna kiasi gani. jamani tuwe wa kweli Malima maisha yake alikuwa na mali gani? na hata kijumba alichokuwa anaishi ni cha kawaida sana na hana hata nyumba 3 TZ.
Mzushieni mengine sio ya wizi mnayajua mahoteli ya kifahari yanamilikiwa na akina nani lakini mnaminya.Myonge Mnyongeni haki yake mpeni kama mie ninamshutumu Mwl kwa udini na ukabila ila sitodhubuti kusema alikuwa mbadhirifu.
 
Unajua mtu anayeleta udini humu ana nina mbaya na inauma sana!

hebu juislize wakristu(wasabato. waruteli, waroma, walokole nk) tukisha weka udini mbele na chuki tutaanza kujuiliza kuwa kama rais ni mroma basi ameonea wasabato wangapi nk? haitaishia hapo tujituliza kuwa waluteli wangapi katika jiombo etc.

Hivyo hivyo mkisha tuletea udini (uislamu eti mnaonewa kwa uongo tu!)

Mkisha jifanya kuwa ok sisi ni waislima baadaye mtaanza washia wanatunea wasuni nk

Huko Iraq wanaouana ni waisilamu wenyewe kwa wenyewe! sasa nchi yetu inasifika kwa kuwa na amani katika dini zetu(imani zetu).

Lakini huyu Mswahili anakuja na lawama kibao kuonesha kuwa waislamu wamekuwa wakionewa saana na hadi kusema Malima aliuawa na mwl je hiyo inaingia vichwani mwenu?

Sasa anakataa kuus account za malima etc!

Kila tukijadili kitu cha maana kwa maslahi ya taifa yeye anaongia udini. Si ajabu ataona kuwa Dr Msabaha anaonea, ref Mengi na NSSF thread etc!

Kwa hiyo forum inaanza kupteza mwelekeo kwa ajili ya huyu mtu

DrWHO+mswahili +j=mswahili tu!!

yangu macho lakini anatuvuruga sana sasa ni kama wiki mbili hatujadili mambo ya maana ila manung'uniko ya uongo ya DrWHO+mswahili+j=mswahili tu!!.


Angalia thread zake!
 
Kwa anayefahamu naomba nilelezwe kinagaubaga kuhusu tuhuma za JKN kumuua Malima kule Nairobi, naomba yasiwe majungu bali facts na data kabisa!
 
Mkuyuga
Asante kwa yote,
ina maana wewe hujui kuwa madhehebu mengine haya wasio waislam wanaonewa? muulize Mchungaji Kamalla Kasupa au Mchungaji Mtikira ndio maana siku ya N yerere kufa aligawa pipi,
Hapa hatutukanani tunaelimishana kilichomnyima Urais Malecela ni kuogopwa na wakatoliki kuwa ataupa nguvu Uanglikana sababu alimulika ARCHIBISHOP wa CANTERBURY na alipokuja TZ, wakuu wa KATOLIKI wakamlazimisha Ruksa amualike PAPA ili kuondoa athari za Archbishop wa UK,
kuhusu vurugu waislam ni watulivu uliza Vita vya Rwanda mtu akikimbia msikiti anahifadhiwa na akikimbilia kanisa la katoliki anauliwa-waulize Wanyarwanda mkasa huo.
Malaysia imepata maendeleo makubwa baada ya ku settle hizi issue kwani nako waislam walikuwa wanabaguliwa, tizama hata UK ambako ndio chimbuko la Ukristu lakini wako fair ktk uhuru wa kuabudu na wanamuhukumu mtu kama mtu na si dini yake naomba pitia daily express la jana kichwa cha habari christian who wore the cross faces sack inaweza kupata mada yote kwenye Google.
UK wanaruhusu watu wa dini tofauti kufanya shughuli za maendeleo bila kuwabagua, lakini Tz ilikuwa marufuku Waislam kujenga seminary hadi 1987 sasa maendeleo yangepatikana vipi?
wakati huo huo watu wa dini nyingine ruksa.
kifupi dhambi kubwa imefanya tunaweza kuondoa vinyongo vyetu kama ukweli utawekwa wazi na waliotangulia mbele ya Haki tutawasamehe kwa mafungufu waliokuwa nayo.
Mwisho mimi naringia uswahili wangu naona fahari kuwa Mswahili.
 
Mswahili,
Sintachoka kukupa DAWA!...na Inshaallah utakuja kubali maneno yangu.

Unasema makala hiyo umeipata toka gazeti la Mwananchi...nani kaandika hizo habari? achana na gazeti namtaka mtu aliyeandika hizo habari na pia nakuomba nipe sababu ya kukamatwa kwake!

Pili, Kisa chote cha Sheikh Kassim nakifahamu sii kwa kusimuliwa. hakuna mtu anayeweza kufahamu zaidi ya mwanae na labda hufahamu ya kuwa Nyerere aliwahi kumtembelea Sheikh Kassim akiwa mahtuti na sii Mwinyi muislaam mwenzie wala masheikh hawa wanaopiga maneno magazetini. Woote waliingia mitini utadhani wale wafuasi wa Yesu akina Yuda. Walionekana baada ya kufa kwake siku ya mazishi na kwa unafiki wao wakajitokeza kwa wingi. Walikuwa wapi alipokuwa kawekwa lumande akiteswa na kwa nini hakuna kati yao aliyesimama kutaka kufahamu ukweli wakati Nyerere akiwa hai...

Mwaka 1993 Nyerere alikuwa kesha mshindwa Mwinyi na Mwinyi alikuwa akisema wazi kuwa yeye ndiye rais na atachukua mkondo mwingine!...Mliyasema haya na kumsifia kwa kusimama kidede. Nyerere kafa kwa mengi, mchungu aliyokuwa nayo kwa hawa jamaa yalikuwa mazito na hakuwa na mtu nyuma yake tena. Ndio maana leo hii viongozi wote wezi tu hakuna anayekubali kufuata nyayo za Nyerere na wote hawa ni wanafiki tu wanaposimama majukwaani na kumsifu.

Hayo ya Kighoma Malima kauawa kwa sababu ya siasa kama alivyouawa Mwaikambo,Kombe na wengineo. Ukiwa against dira mpya ya CCM, kifo ni lazima. Viongozi wa ngazi ya juu kuondoka CCM ni Usaliti ambao hukumu yake ni kifo... Hawajali wewe dini gani ama gender ipi!

Nyerere kama angetaka kuwaua basi Kambona asingerudi, Mtei asingekuwepo hai na watu kama Fundikira wangekwisha long time.

Na sidhani kama unaweza kusema Mwaikambo aliuawa kwa sababu alikuwa mkristu.

Kama Nyerere angekuwa mdini asingewachukua wasomi wote wa chama cha hizbu na kuwatumia bara. Na ni haohao wasomi wenu waislaam wa hizbu waliompa intro (darasa) Nyerere kuhusu UJAMAA (socialism), mfumo ambao ulipingwa na wakristu wengi wasomi. na mbona sioni mkisema kuhusu kuchaguliwa kwa Mwinyi kama rais?... Kighoma kuna wakati kakosa kazi ama wadhifa?... mbona alikuwa juu miaka yote hali anachukiwa na Nyerere!

Na Tusivyokuwa aibu tunafikia kudai kwa takwimu ati waislaam walikuwa asilimia 80 shule za msingi miaka ya Nyerere!... jamani? sijui takwimu hizi mmezipata wapi ikiwa shule za msingi nyingi zilikuwa za wakristu. Sijawahi kuona wala kusikia shule yenye waislaam 80% unless shule hiyo ni ya kiislaam.

Hata hivyo..Je, sio sisi tuliokuwa tukililia uhuru kwa sababu watoto wetu walikuwa wakipelekwa Kenya na Uganda kupata elimu ya msingi?..Wewe na mimi na wengine kibao mswahili tumesoma wapi?...

Kisha basi, mwaka 1983 tulikuwa na shule za sekondari nchini zisizozidi 190, Je, kabla ya Nyerere zilikuwa ngapi ambazo wewe na mimi tungeweza kusoma... Ukweli almost zero!

Tazama basi waliokaa mtihani mwaka huohuo 1983 ni zaidi ya laki moja (150,000) only chini ya 10,000 walipata nafasi ya kwenda mbele!...yaani chini ya asilimia 10. Je, hamuwezi kuona kuwa tatizo hilo lilikuwa la kitaifa isipokuwa mnaliweka kuwa la waislaam pekee..Zaidi ya wanafunzi laki moja na arobaini walikosa nafasi ya kwenda mbele nyie mnatazama hesabu ya waislaam wangapi,ndio UDINI huo tunaouzungumzia.

Mbona hamsemi kuwa kila shule ya primary na sekondary za kiislaam asilimia 90 walikuwa watoto wa Kihindi?...Wahindi ni chini ya asilimia 5 ya waislaam wote nchini!...Hizi ndizo fact na usawa ikiwa unataka kutazama nje tazama kwanza kwako. wahindi na waarabu wamekutenga toka hujapata uhuru leo unataka kumsukumia mweusi mwenzako kwa sabau tu ni mkristu.

Mswahili, mwalimu alipokuwa akienda Bagamoyo alikuwa akimwona mzee mwenyewe marehemu mzee Juma bin Chewa!....Ramia alikuwa referal tu ikiwa ngoma nzito!..

By the way Umesema Maleysia waislaam walikuwa wakibaguliwa zamani... Na nani?
Je,unajua population ya waislaam Maleysia?.. Unajua kama Maleysia ni nchi iliyokuwa ikitawaliwa na Sultan wa kiislaam toka karne ya 12. Unazungumza kitu gani ndugu yangu!
 
Elimu nzito hii vijana mwageni vitu, isipokuwa Mzee Mswahili hebu ongeza data ili kuimarisha your accusations, na hasa against Mwalimu, maana ninafahamu kuwa Mwalimu alisaini kunyongwa kwa Mwamwindi tu aliyemuua Dr. Kleruuu, RC wa Iringa,

Na katika maisha yake yote ya mwisho mwisho, Mwalimu alikuwa akisali kila siku ya Mungu, amsamehe kwa kitendo hicho kipindi cha Mwinyi hakuua mtu zaidfi tu ya Member, aliyefariki akiwa rumande katika mazingara ya utatanishi lakini Mwinyi akiwa rais alijua kuwa Member alikamatwa mpakani mwa Kenya na bongo, alipokuwa anarudi toka London,

Ila Mwalimu kumuua Malima? Damnnnnnnnn! labda kuna unayoyaficha wewe weka yote mzee tuamue pumba na mchele ziko wapi!, ila kama huna data za ku-back up hii theory, hata data za vijiweni basi bro omba radhi kwa wazee hapa maana Mwalimu ni ngoma kubwa bro, huwezi kumpaka bila ya kuwa na data,
ni haki yako kusema unayotaka, na ni haki yetu wasomaji na wananchi kuuliza tusipoelewa, mjadala ulikuwa unaenda sawa mpaka kwenye Mwalimu na kifo cha Malima, hebu fafanua zaidi kama inawezekana bro!
 
Admin,

1. Sasa inaonekana wazi kuwa watu hawalumbani hoja bali hucharuka kukashifu wanabodi wengine directly na indirectly. Kama alivyotahadharisha Nyerere zinazotumiwa sasa ni hoja za nguvu badala ya nguvu za hoja!!!!
2. Vilevile baadhi ya wanabodi wanajenga tabia yakutoka nje ya mada kwa kushindwa kujibu mapigo ya hoja; na badala ya kuchambuwa na kujibu malumbano tunarukia kucharura wanabodi wengine na vilevile kuwazulia mambo ambayo pengine wanayafanya wao wenyewe. Inanishangaza kuona jitihada za Mkuyuga kuendelea kudai kuwa upande mmoja wa malumbano una udini na kufumbia macho upande mwengine ambao ni dhahiri wanalumbana hapa kwa nguvu za udini kiasi cha kujisahau na kuanza kukasirika na kucharura wanabodi wengine kibinafsi badala ya kujibu hoja za mada; na sio hivyo tu bali pia wanadhihirisha dhana zao potofu kwa kudai kuwa wanabodi ambao wako upande mwingine wa mada na ambao wanachangia hoja kinyume cha wale wanaotaka watu wanyamaze kimya tu kama walivyozowea kunyamaziwa basi wanabodi hao ni mtu mmoja kama anavyofanya huyu mkuyuga hapa.

Admin, wewe unazo data za kujuwa kuwa kila mwanabodi anaandika akiwa wapi. Wengine tuko Amerika ya Kaskazini, wengine wako Uingereza na wengine Tanzania n.k. na hilo liko wazi pia kwa jinsi vile watu wanavyoandika. Tafadhali mjulishe huyu bwana mkuyuga kuhusu tofauti za hao watu watatu aliowaghorodhesha eti ni mtu mmoja na pia muelezee wengi wengine ambao pengine hujifanya watu mbalimbali kumbe ni mtu yule yule ambao mkuyuga asingewashutumu hivyo kamwe kwa udini alionao kwa kuona kuwa anaunga mkono matatizo yake. Na si ajabu ikawa na yeye ni mmoja wa wanaoingia hapa kwa majina mengi, kwani aisifiaye mvua, imemnyeshea!

Cheche zote hizi za majivu pepe ya Mkuruga na wenzake ni kwa ajili ya kulemkutahamaki kuwa kumbe miaka yote hii waislam wanajuwa mbinu zinazofanyika na ambazo anataka yeye ziendelezwe na bado walinyamaza kimya na anadhani kuwa kashifa anazowatungia wanabodi wengine yeye na group yake itafanya waislamu wanyamaze. Ninadhani huyu bwana na wenzake kama yeye wamechelewa sana na wajuwe kuwa kile wanachofanya sasa ni kuzidi kuwafanya waislam wataharuki zaidi na sivinginevyo.

Mkuyuga wewe ni mkristo na hilo halibadiliki na wala hatutaki ubadilike na umeonyesha wazi kuwa wewe na hayo madhehebu ya wakristo wengine uliyoyataja nyote kwa umoja wenu ni wakristo na kuchangia mada kwako unafanya kwa misingi hiyo hiyo vinginevyo hata haya malumbano unayoyaendeleza yasingekuwapo. Unaendelea kulumbana kwa sababu moja tu - unatetea matendo yaliyofanywa na mkristo mwenzako. Ajabu ni kuwa bado unadhani muislam atanyamaza kimya kama ulivyozowea kumuona akinyamaza siku zote. Kama wewe na wenzako hamna hoja za kujibu tuhuma anazozileta Mswahili ni heri mngenyamaza ili hii mada iishe.

Wengine hatupendi mada za aina hii ndio maana umeona tumenyamaza, kwa hiyo usituamshe.

Kuna mengi ya Nyerere yakuzungumzia, mema na mabaya kama ambavyo kuna mengi kama hayo ya kumzungumzia binadamu yeyote mwengine. Mimi binafsi nisingependa tuendelee na malumbano haya kiasi cha kuchokoza kuyachambua mambo ya ndani zaidi ya Nyerere pamoja na kuishi kwake mbalimbali na mama Maria, matamshi yake ya Kimombasa kuwa ukionja nyama ya binadamu umenasa utataka uile siku zote, mapenzi aliyokuwa nayo kwa Maalim Seif kabla hawajakorofishana, sababu za Idd Amin kutamka tamko la aibu kuhusu Nyerere kwenye interview yake na BBC mwaka 1972, na hatima ya kifo cha Nyerere kwa mkanda wa jeshi.


mkuyuga said:
Unajua mtu anayeleta udini humu ana nina mbaya na inauma sana!

hebu juislize wakristu(wasabato. waruteli, waroma, walokole nk) tukisha weka udini mbele na chuki tutaanza kujuiliza kuwa kama rais ni mroma basi ameonea wasabato wangapi nk? haitaishia hapo tujituliza kuwa waluteli wangapi katika jiombo etc.

Hivyo hivyo mkisha tuletea udini (uislamu eti mnaonewa kwa uongo tu!)

Mkisha jifanya kuwa ok sisi ni waislima baadaye mtaanza washia wanatunea wasuni nk

Huko Iraq wanaouana ni waisilamu wenyewe kwa wenyewe! sasa nchi yetu inasifika kwa kuwa na amani katika dini zetu(imani zetu).

Lakini huyu Mswahili anakuja na lawama kibao kuonesha kuwa waislamu wamekuwa wakionewa saana na hadi kusema Malima aliuawa na mwl je hiyo inaingia vichwani mwenu?

Sasa anakataa kuus account za malima etc!

Kila tukijadili kitu cha maana kwa maslahi ya taifa yeye anaongia udini. Si ajabu ataona kuwa Dr Msabaha anaonea, ref Mengi na NSSF thread etc!

Kwa hiyo forum inaanza kupteza mwelekeo kwa ajili ya huyu mtu

DrWHO+mswahili +j=mswahili tu!!

yangu macho lakini anatuvuruga sana sasa ni kama wiki mbili hatujadili mambo ya maana ila manung'uniko ya uongo ya DrWHO+mswahili+j=mswahili tu!!.


Angalia thread zake!
 
Mswahili umetoa mifano 2 na mmoja naujua vyema nao ni juu ya Kusupa Kamala .Kamala ni Mgogo ambaye uchungaji sijui kapewa na nani .Kusupa chuki zake na Mwalimu zilianza zamani . Kusupa alikuwa mtumishi wa Serikali kwenye ile tunaita leo hii PCB . Yeye Kusupa hakuwa mwaminifu kwa Taifa akaja akafukuzwa kazi na hapo chuki zake na Mwalimu zilianza maana wakati huo hakuwa Mchungaji bali alianza ulokole baada ya kufukuzwa ama kuona kwamba sasa anakaribia ndiyo akaingia kwenye ulokole . Kusupa hajawahi kuonewa na mtu na nasema Wakatoliki hawajawahi kuonea wakristo wa madhehebu mengie . Mtikila ana chuki binafsi na Mwalimu kama wewe ulivyo maana huwezi kusema hata kwamba ulifanya kazi na Mwalimu hapana umejawa na uislam na umimi na chuki pekee . wacheni chuki hazina maana fuateni maneno ya Mkandala ni Muislam ambaye amesoma na ame elimika hawezi kununua kila hoja ya kijinga kama unavuyo panda fitina hapana .

Nina ushahidi wa kutosha kwamba Mkurugenzi wa usalama wa Nchi ndugu Othman anasoma humu muulize yeye kama alibaguliwa kuanzia shule hadi cheo chake . Kwanza alikuwa promote zaidi na Mkapa na baadaye akapendekezwa na Mkristo aliyetoka kwamba anafaa kuchukua ndipo JK akampa kazi je hao wa kabkla hawakuwa wakristo ?

Utashangaa uwezo wa Mwalimu na kanisa katoliki ile ni empire mzee na wewe wakati unapiga kelele kuwapinga bakwata wao wanajikita katika kuendeleza nguvu na kanisa yao kila kona ya Dunia. kanisa katoliki ni serikali likisema hata JK ana elewa wamesema nini .Kazi kwako
 
mkuyuga said:
Unajua mtu anayeleta udini humu ana nina mbaya na inauma sana!

hebu juislize wakristu(wasabato. waruteli, waroma, walokole nk) tukisha weka udini mbele na chuki tutaanza kujuiliza kuwa kama rais ni mroma basi ameonea wasabato wangapi nk? haitaishia hapo tujituliza kuwa waluteli wangapi katika jiombo etc.

Hivyo hivyo mkisha tuletea udini (uislamu eti mnaonewa kwa uongo tu!)

Mkisha jifanya kuwa ok sisi ni waislima baadaye mtaanza washia wanatunea wasuni nk

Huko Iraq wanaouana ni waisilamu wenyewe kwa wenyewe! sasa nchi yetu inasifika kwa kuwa na amani katika dini zetu(imani zetu).

Lakini huyu Mswahili anakuja na lawama kibao kuonesha kuwa waislamu wamekuwa wakionewa saana na hadi kusema Malima aliuawa na mwl je hiyo inaingia vichwani mwenu?

Sasa anakataa kuus account za malima etc!

Kila tukijadili kitu cha maana kwa maslahi ya taifa yeye anaongia udini. Si ajabu ataona kuwa Dr Msabaha anaonea, ref Mengi na NSSF thread etc!

Kwa hiyo forum inaanza kupteza mwelekeo kwa ajili ya huyu mtu

DrWHO+mswahili +j=mswahili tu!!

yangu macho lakini anatuvuruga sana sasa ni kama wiki mbili hatujadili mambo ya maana ila manung'uniko ya uongo ya DrWHO+mswahili+j=mswahili tu!!.


Angalia thread zake!


Sasa hili ni kukubali kuwa tunaweza kujadiliana bila matusi au ni hoja nyingine?

Nadhani from reading your past threads naweza kusema kuwa wewe ni mtu amabye uko BEYOND mambo ya kurushian matusi...humu nadhani cha muhimu ni NGUVU YA HOJA ndicho kitu cha muhimu

Sasa hata kama ungekuwa na STRONG ARGUMENTS basi zote zinakuwa kazi bure kwa sababu uko zaidi katika kushambulia PERSONALITIES na hiyo sio namna ya kwenda na Mjadala au unasemaje?

sasa Mwashili kakujibu na nadhani na wewe ungefanya kuja na counter ARGUMENTS badala ya MATUSI

You can do better than this
 
Hii topic sitaijadili tena nimeamua kuwaacha muendelee kumwaga sumu humu pamoja na kuwa kuna watu wanawachagiza!

bye!! endeleeni habari za vijigazeti lakini ninachowaambia ni kuwa hamtafanikiwa kamwe kuwageuza watanzania wawe kama Wairaki etc!!.
Mpaka nimeona sasa unasema JK si muumini halisi wa kiislamu! Labda utueleza unataka nini hasa? sema tumwambie JK!
http://www.ippmedia.com/ipp/nipashe/2006/10/26/77158.html
 
Utakuwa umenuna mheshimiwa

Mchango wako unahitajika sana humu ndani ni kukosoana tu ndio tukubali pale tunateleza

By the way nadhani itakuwa ngumu san kuwaconvince watu kwenye forum hii kwa kutoa link ya IPPMEDIA kwani waliomo humu wengi walikuwa kule na minyanyaso ilikuwa kule haisemeki

lakini you are free to d whatever you want and i respect your decision
 
Back
Top Bottom