kichuguu said:(a) Sikusema vitabu hivyo hapo vimejibiwa; ila nilisema niliwahi kuvisoma pamoja na vingine vya aina hiyo.
(b) Nikipata nafasi nitakutafua majina ya wandishi na references zote nilizowahi kusoma kuhusu hii topic. Kwa sasa hivi naishi nje ya nchi na collection yangu ya vitabu haina vitabu vya siasa za Tanzania. Ila nikisearch internet ninaweza kuzipata references hizo; kwa hiyo tulia
(c) je una reference ya nyerere kusema hakuna la kujibu!
(a) OK, samahani kama sikukuelewa mwanzo .. nliona umeimply kuwa kuna waliovijibu.
(b) Natulia, take your time.
(c) Duh .. haikuwa documented, kwa hiyo sina reference. Ila nilifahamishwa na mtu asiye na sababu ya kuzua.. kuwa huyo prof muhusika .. tena muislam, at least by name .. na alikwenda in good faith. Ingekuwa vizuri kuwa muislam ameandika kitabu kumtetea mwalimu katika shutuma za udini dhidi ya waislam. Kama huiamini pia ni sawa.
Kwa kuwa hukugusia tena suala la author muislam kutumia pen name ya kikristo.. bila shaka umekubali sasa kuwa huo haukuwa ukweli.
Haya .. umesema huko nyuma
kichuguu said:... Kwanza kabisa ni vizuri kuthibitisha credibility ya kila author; hawa wote hawawezi kupasi credibility test kwa vile siyo independent: wote ni waislamu ingawa wengine wametumia pen-names za kikristo. ...
(i) Hiyo ndio credibility test yako ya kutokuwa independent?
(ii) Since we have established kuwa Dr. John C Sivalon was infact a christian... tena a Father, .. na alipata ushirikiano wa kanisa katika kuandikia aliyoyaandika (Hata publishers wake ni Benedictine Publications. Ndanda, Peramiho),... vipi sasa anapasi hiyo credibility test yako?