Litvinienko
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 313
- 105
- Thread starter
- #81
Kabsaaaaaaa wanitafute nitawapa live,Kwa kuwasaidia, waandishi wa habari wamuone litvinenko aliyeleta hii habari.
email: gilizarov@yahoo.com
Kabsaaaaaaa wanitafute nitawapa live,Kwa kuwasaidia, waandishi wa habari wamuone litvinenko aliyeleta hii habari.
unatafutia wenzio ban!ndio stori za mtaani tu. Na kama ni kweli
Maybe!You do under rate thise people! What you think today they concidered it the day they were planing the issue!
Katavi
angalia nimeshika kisu, kuna mtu kanambia dawa ni kuua wanaonisababishia jazba,
miongoni mwao ni hawa wafuatao,
1, Katavi (kidding)
2, wanaokalia viti (serious)
3, wanaolindwa na viti, (serious)
4, taasisi DHAIFU. (serious)
You land it home you it never betray you!ha ha ha haaah!! Sometimes kisu kitajeruhi tu na hakiui...........
Hamna kitu, intellijensia ya kibongo sasa wanafanya kwa mazoea.You do under rate thise people! What you think today they concidered it the day they were planing the issue!
Hawa wauaji hata hawafanyi assessment ya mtu kabla ya kumpa vital information.Sasa huyu mlinzi wa chui security atapona kweli kama hii story imevuja.......saga nyingine hii.......yule mlinzi aliyemtoa Ngereja nje ya kibanda cha ATM baada ya kupoteza muda kwa kuonga na simu wakati nje kunafoleni kubwa hivi leo kunatetesi aliachishwa kazi sasa huyu naye sijui........
Hamna kitu, intellijensia ya kibongo sasa wanafanya kwa mazoea.
You cannot send five (5) people for a defenceless target.
A lame prey, 5 trained expert, professional killers! what a faulty plan.
Wamebaki kunywa bia na kujisifia kuwa ni wa usalama.
Usipite, hujui unakokwenda.Napita tu ila kama ndio tumefika hapa ni noma sana
Wewe ndiye unayesikitisha na kuchekesha, JF always is the best than newspapers.
We do provide evidence if possible. na kila kinachosemwa hapa kina ukweli.
I like JF forever!!!!
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
mmhh i dont think police wa Tanzania wanaweza kubuni mbinu dhaifu kama hii, mkuu naona umeichonga hii, ni vigumu mno kuiamini.Ni kuhusu mtu wa usalama aliyepigwa na madokta siku alipoletwa Dr Ulimboka MOI baada ya kutekwa na kupigwa sana.
Zimefichuka baada ya Mlinzi (Chui Security wanaolinda MOI) kuitwa na kwenye kituo cha polisi Salenda BRidge na Askari anayeitwa Suzzie.
Alipofika aliwekwa kwenye chumba ambapo baada ya kusubiri kwa muda walikuja watu watatu wasio na gwanda na kujitambulisha kuwa wanausalama.
Walimuambia kuwa awape jina la daktari yeyote wa MOI ambaye hapatani nae halafu waandae document inayoonyesha kuwa huyo alimuona huyo dokta akiokota redio call/bastola na ataisaini hiyo document kama shahidi.
Aliahidiwa kuwa akifanya ivo atapata kazi usalama wa taifa, sambamba na donge nono la pesa.
Askari huyo (jina kapuni) alikataa kufanya ivo kwa sababu siku ya tukio hakuwa kazini.
Alifukuzwa kama mbwa baada ya kukataliwa njama yao.
My Take:
Serikali bado ina nia mbaya na huenda tukio lingine likatokea kwa dokta mwingine.
dhambi hiyo itaendelea kuwatafuta usiku hata mchana na hata jua la saa nane mchana hata kujitetea safari amewapa upofu uziwi kila moja aanafyatuka bila kujua anapingana na wengine. tunamshukuru Mungu aliyeleta simu za mkononi. maana bila ya hviyo hakuna ambaye angejua walikuwa wana mfuatilia kama amekufa au la. shetani kawaumbua eti BADO HAJAFA ANAHEMA . WATU WAKANASA LAIVU NO WAY NI KIPONDO CHA MAAWZO NA PSYCHOLOGICAL TOUCHERHamna kitu, intellijensia ya kibongo sasa wanafanya kwa mazoea.
You cannot send five (5) people for a defenceless target.
A lame prey, 5 trained expert, professional killers! what a faulty plan.
Wamebaki kunywa bia na kujisifia kuwa ni wa usalama.