fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
This is too much though within your control, GOD help us.
it is expected reaction when plan go awry.Pumba.com
Ukileta pumba hapa angalau jipange kidogo ili zionekane kama ukweli.
Iko msituni,
the barrel,
The singlet,
The trigger,
The TNT and,
the copper on the very far end
The old HAK we used to know resurfaces.dawa yao dua kali tu wazandiki wote hawa!
And this time wanakamatika right on their handiworkHii dhambi ya kungoa kucha na meno ya Ulimboka itaendelea kuwatesa pamoja na damu yake!
Justice will prevailmimi nina wasiwasi sana na dr ulimboka kwa sababu yeye is the main witness anajua exactly ni akina nani wamemtesa, hao watu watakua wanapanga mipango huyu jamaa asiishi coz hii kesi ikipelekwa mahakamani dr ulimboka itabidi asimame pale na aongee kila kitu na kuwataja kwa majina...this guy is marked for death.
Hii new generation ya jamiiforums inasikitisha na kuchekesha sana. Yaani mtu anakuja na riwaya isiyo na support yoyote ya evidence halafu watu wanaanza kuijadili!!! Mpaka mbunge wa nzega naye kwa kuwa yuko popularity hungry anaona hii thread inaweza kujadiliwa!!!interesting...
AmeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeenIt is always dark before dawn.
mateso yakizidi sana, wokovu umekaribia,
"Bwana atawapigania ninyi nanyi mtanyamaza kimya."
Being in this land,!!!!? what a curse!!!? Shame on me!
Tulisha sema Raisi Jakaya Kikwete ni anatabia za kishetani, jini pepo baya na ndiyo maana haishi mlingotini anachotaka kuifanyia nchi hii kitamrudi mwenyewe angalie wenziwe wakina Gaddafi,Sadamu,Mubaraka walikuwa na nguvu za giza kama zake ,sasa wanataka kuua daktari mwingine
Of course that was likely to be their plan.kama hii habari ni kweli basi huyu mlinzi lazima apate msuko suko kama si kupotezwa kabisa!,
walishasema ''...kama mbaya ..mbaya!''
Ni kuhusu mtu wa usalama aliyepigwa na madokta siku alipoletwa Dr Ulimboka MOI baada ya kutekwa na kupigwa sana.
Zimefichuka baada ya Mlinzi (Chui Security wanaolinda MOI) kuitwa na kwenye kituo cha polisi Salenda BRidge na Askari anayeitwa Suzzie.
Alipofika aliwekwa kwenye chumba ambapo baada ya kusubiri kwa muda walikuja watu watatu wasio na gwanda na kujitambulisha kuwa wanausalama.
Walimuambia kuwa awape jina la daktari yeyote wa MOI ambaye hapatani nae halafu waandae document inayoonyesha kuwa huyo alimuona huyo dokta akiokota redio call/bastola na ataisaini hiyo document kama shahidi.
Aliahidiwa kuwa akifanya ivo atapata kazi usalama wa taifa, sambamba na donge nono la pesa.
Askari huyo (jina kapuni) alikataa kufanya ivo kwa sababu siku ya tukio hakuwa kazini.
Alifukuzwa kama mbwa baada ya kukataliwa njama yao.
My Take:
Serikali bado ina nia mbaya na huenda tukio lingine likatokea kwa dokta mwingine.
Hawa watu ni janga inatakiwa kubadili the whole system ili kupata watu waadilifu, kwa nini tuwe na wtu wa kutesa na kuuwa wenzao bila sababu za msingi wamejigeuza majaji!!!!Ni kuhusu mtu wa usalama aliyepigwa na madokta siku alipoletwa Dr Ulimboka MOI baada ya kutekwa na kupigwa sana.
Zimefichuka baada ya Mlinzi (Chui Security wanaolinda MOI) kuitwa na kwenye kituo cha polisi Salenda BRidge na Askari anayeitwa Suzzie.
Alipofika aliwekwa kwenye chumba ambapo baada ya kusubiri kwa muda walikuja watu watatu wasio na gwanda na kujitambulisha kuwa wanausalama.
Walimuambia kuwa awape jina la daktari yeyote wa MOI ambaye hapatani nae halafu waandae document inayoonyesha kuwa huyo alimuona huyo dokta akiokota redio call/bastola na ataisaini hiyo document kama shahidi.
Aliahidiwa kuwa akifanya ivo atapata kazi usalama wa taifa, sambamba na donge nono la pesa.
Askari huyo (jina kapuni) alikataa kufanya ivo kwa sababu siku ya tukio hakuwa kazini.
Alifukuzwa kama mbwa baada ya kukataliwa njama yao.
My Take:
Serikali bado ina nia mbaya na huenda tukio lingine likatokea kwa dokta mwingine.