Njama za Polisi: Daktari MOI anatakiwa kutolewa kafara na serikali

taarifa zinakuja humu zinakuja na ushaidi so mtu hawezi kukurupuka kuja taarifa nyeti kama hiyo asiwe na ushaidi
Na mara zote mtu anayetaka ushahidi ni yule ambaye anafanya kitu gizani na kustukia watu wanajua
Akiambiwa lazma atadai ushahidi.
Ushahidi ni yeye mwenyewe aliyefanya haya.
 
dawa yao dua kali tu wazandiki wote hawa!
kaka bado tu umo ndani ya chama kinachounda serikali yenye matatizo lukuki?

Hebu tuorozeshe migogoro iliyopo iliyoasisiwa na chama chako

1. Mgogoro wa Madaktari na Serikali - live
2. Migogoro wa Wakulima na wafugaji -- huu ni sugu
3. Mgogoro wa Walimu na Serikali --comming soon....
4. Migogoro wa Wanafunzi vyuo vikuu na Serikali -- huu ni sugu
5. Mgogoro wa ardhi kati ya wawekezaji na wananchi --- huu ni sugu
6. Migogoro kati ya Wachimbaji wadogo wadodo wa Madini na wawekezaji wakubwa wa migodi -- huu ni sugu
7. Migogoro kati ya Wamachinga na Halmashauri za Miji nchini -- na huu nao ni sugu.
8. Migogoro kati ya .......

Yaani migogoro ni mingi sana, mheshimiwa huoni sasa ni wakati muafaka kwako kuja upande wetu sisi wananchi, maana upo sehemu usiyotakiwa kwa sasa?
 
Honestly niliwaza jambo kama hilo kutengenezwa na kutumiwa na serikali dhalimu kujaribu kuficha maovu yake.

Hapo hapo wanaweza kutafuta mgonjwa yeyote au ndugu wa mgonjwa fulani kisha kumrubuni afungue kesi dhidi ya (leading doctors e.g. Dr. Uli) kwa madai ya kipuuzi na wao (serikali) kwa kutumia polisi na mahakama (kwa njia ya shinikizo) kulipa "kisasi".

Pia wanaweza kupanga cold assassination (serially) against doctors and civil activists simply because they're viewed as weak or vulnarable targets.

We gotta be vigillant and decisive.
 
wazee!! 2015 we have to change, lets vote for the opposition. lakini muhimu zaidi kwenye katiba tupush for proportional representation. iyo itakua kioko ya siasa za mabavu na kutowajibika.
 
mmhh i dont think police wa Tanzania wanaweza kubuni mbinu dhaifu kama hii, mkuu naona umeichonga hii, ni vigumu mno kuiamini.
FUSO ndo washafanya hivo.
Ndo ujue jinsi ambavyo Polisi walivyo vilaza
 
Mungu alikuwa na mipango yake alipokataa kuchukua uhai wa Ulimboka!!! Amemuacha duniani makusudi kunavitu anataka kutuonyesha, tuendelee kusali.....
 
Mh. Kigwa naomba unijuze , kwani kugoma kufanya kazi ni kosa la jinai mpaka serikali itoe roho ya mtu ?
Mimi naona nchi hii nimeanza kuiogopa, nawahurumia sana Madoc maana hata vifo vya kawaida vya wagonjwa wataibuka janjaweed wawangoe meno madoc wetu
 
kaka bado tu umo ndani ya chama kinachounda serikali yenye matatizo lukuki?

Hebu tuorozeshe migogoro iliyopo iliyoasisiwa na chama chako

1. Mgogoro wa Madaktari na Serikali - live
2. Migogoro wa Wakulima na wafugaji -- huu ni sugu
3. Mgogoro wa Walimu na Serikali --comming soon....
4. Migogoro wa Wanafunzi vyuo vikuu na Serikali -- huu ni sugu
5. Mgogoro wa ardhi kati ya wawekezaji na wananchi --- huu ni sugu
6. Migogoro kati ya Wachimbaji wadogo wadodo wa Madini na wawekezaji wakubwa wa migodi -- huu ni sugu
7. Migogoro kati ya Wamachinga na Halmashauri za Miji nchini -- na huu nao ni sugu.
8. Migogoro kati ya .....

1. Mgogoro wa Madaktari na Serikali - live
2. Migogoro wa Wakulima na wafugaji -- huu ni sugu
3. Mgogoro wa Walimu na Serikali --comming soon....
4. Migogoro wa Wanafunzi vyuo vikuu na Serikali -- huu ni sugu
5. Mgogoro wa ardhi kati ya wawekezaji na wananchi --- huu ni sugu
6. Migogoro kati ya Wachimbaji wadogo wadodo wa Madini na wawekezaji wakubwa wa migodi -- huu ni sugu
7. Migogoro kati ya Wamachinga na Halmashauri za Miji nchini -- na huu nao ni sugu.
8. Migogoro kati ya Watanzania na wezi wa malli za umma - sugu
9. Mgogoro kati ya Watanzania na Tanesco - sugu
10. Mogogoro kati ya Watanzania na Dawasco - Sugu
11. Mgoggoro kati ya Watanzania na Muungano - sugu
12. Mgogoro kati ya Wazanzibari na Muungano - sugu
13. Mgogoro kati ya.....endelea
 
Ni kuhusu mtu wa usalama aliyepigwa na madokta siku alipoletwa Dr Ulimboka MOI baada ya kutekwa na kupigwa sana.

Zimefichuka baada ya Mlinzi (Chui Security wanaolinda MOI) kuitwa na kwenye kituo cha polisi Salenda BRidge na Askari anayeitwa Suzzie.

Alipofika aliwekwa kwenye chumba ambapo baada ya kusubiri kwa muda walikuja watu watatu wasio na gwanda na kujitambulisha kuwa wanausalama.

Walimuambia kuwa awape jina la daktari yeyote wa MOI ambaye hapatani nae halafu waandae document inayoonyesha kuwa huyo alimuona huyo dokta akiokota redio call/bastola na ataisaini hiyo document kama shahidi.

Aliahidiwa kuwa akifanya ivo atapata kazi usalama wa taifa, sambamba na donge nono la pesa.

Askari huyo (jina kapuni) alikataa kufanya ivo kwa sababu siku ya tukio hakuwa kazini.

Alifukuzwa kama mbwa baada ya kukataliwa njama yao.

My Take:
Serikali bado ina nia mbaya na huenda tukio lingine likatokea kwa dokta mwingine.
Jipangeni kudanganya watu.... kazi za usalama zinagawiwa kama njugu!!?
 
Jipangeni kudanganya watu.... kazi za usalama zinagawiwa kama njugu!!?
Wanagawa ardhi na madini, mali ya WATANZANIA WOTE wa sasa na vizazi vijavyo, washindwe kugawa kazi za usalama kwa ndugu na jamaa zao? Kwa Tanzania usishangae lolote.
 
Back
Top Bottom