Shantel
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 2,018
- 1,131
Hayo ni mambo ya kizamani sana mkuu, waeleweshe wazazi, zamani zile mambo sio kama ya sasa hivi, nina marafiki zangu wamachame na majirani wako vizuri tu na waume zao na wanaishi kwa amani naupendo, wifi yangu pia mmachame yuko fresh tu na bro wangu miaka mingi tu....usiwe na wasiwasi wala papara kaa nao chini waambie huyo ndiye uliyepangiwa na Mungu watakuelewa tuNdugu zangu wana jf naomba ushauri kwani nilikuwa na mahusiano na mrembo wa kichaga nilimpenda nae alinipenda sana
sasa niliamua kwenda kumtambulisha kwa wazazi. wazazi wanasema kamwe hawakubaliani kumuoa mchaga wa machame
eti baada ya mwanaume kuwa na mali huwa wanauwa waname. Je hoja hii ina ukweli kwa wale wanao wafahamu vizuri?