Ballerina
JF-Expert Member
- Jun 2, 2011
- 386
- 186
Mrushie UPUPU uone kama atabakia juu.....
Atashuka kujikuna.................halafu atarudi tena juu.............safari hii kwa kasi ya ajabu!
Mrushie UPUPU uone kama atabakia juu.....
Huu ushauri wa kutoka kuzimu Mmhh!Fanya uchunguzi kabla ya kuchukua uwamuzi wowote ukiona hakuna ukweli wwote kaa chini na wazazi wako washawishi kwa hoja madhubuti mwisho utapata uamuzi sahihi
ballerina ukimazila kubinuka pokea tano.Toa takwimu inayoonyesha kuwa ndoa zote zenye matatizo zina wake wamachame
Toa takwimu zinazoonyesha kuwa ndoa zote ambazo waume wamefariki,wake zao ni wamachame
Atashuka kujikuna.................halafu atarudi tena juu.............safari hii kwa kasi ya ajabu!
Hapo mtafutie maji yaliyolowekewa katani mmwagie na hiyo kasi yake utamuona tuuu...
Huu ushauri wa kutoka kuzimu Mmhh!
ballerina ukimazila kubinuka pokea tano.
Hahaha1 this sounds familiar do i know you ? lol1Nani kakwambia nitamaliza??????????????
kale kamsamiati ketu mkuu...lisemwalo lipo...
inaonekana mnatupenda sana wamachame ndio maana mnatusema sema tu vibaya nyie endeleeni tu na sijui lini mtafungukalini hizo akili zenu ndogo kama piritoni!!! Wamahame oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
weeeee sithubutu wakwe wataninyonga ila kwa ufupi simshauri kabisa aoe hukoAcha unyanyasaji wa kiJF wewe, mwaga sera hapa maana mwenyewe kasema hadharani....