Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,780
- 20,021
......Ok.
Azilete upya ili tuweke kumbukumbu vizuri yenye vielelezo
.....Mkuu ingia Lab utazikuta ziko humu humu J4 bahari
......Ok.
Azilete upya ili tuweke kumbukumbu vizuri yenye vielelezo
hata kwangu hazifunguki. nadhani ame upload kwa kutumia pc au laptop.Mag3 mbona picha hazionekani? Au ni tatizo la kimeo changu?
Ninyi mliocomment mumeona picha zilizoambatanishwa?
....hii thread ni ya great thinker haswa... nimeona bora niweke alama ya nukta mapema ili kulinda nafasi.
Kasema na yeye ana tatizo hilo kama mimi.......
........Mkuu hata mimi huku ila Changamoto kama Diipdaiva. ....
Kwangu picha zinaonekana hadi kwenye simu. Hata hivyo kama wapo wengine wasioziona nitajaribu tena kuzi-upload kama zina matatizo.
upload kwa kutumia simu sheikh.Kwangu picha zinaonekana hadi kwenye simu. Hata hivyo kama wapo wengine wasioziona nitajaribu tena kuzi-upload kama zina matatizo.
....Kasema na yeye ana tatizo hilo kama mimi
Nimefungua uzi kwa PC ila bado sizioni....
....Mkuu nilipoona hazifunguki NIKAJIONGEZA
Mambo ni hivi, mara kadhaa hata polisi wenyewe wameonekana wakishangaa vitendo vinavyodaiwa kufanywa na polisi wenzao na hili jambo nimeliwaza sana kwamba huenda tunalo shadow police force! Imefikia wakati watu wanajiuliza hawa polisi wanafuata maagizo ya nani? Nakumbuka kwa mfano wale walioongozana na Bashite wakivamia ofisi ya Clouds FM au wale waliomtolea Nape Nnauye bastola. Kwa nini mwanzo Waziri husika alionekana kuwakana?hii thread ni ya great thinker haswa... nimeona bora niweke alama ya nukta mapema ili kulinda nafasi.
acha ni-digest kwanza hapo kwenye "shadow police" . dadadeki.Mambo ni hivi, mara kadhaa hata polisi wenyewe wameonekana wakishangaa vitendo vinavyodaiwa kufanywa na polisi wenzao na hili jambo nimeliwaza sana kwamba huenda tunalo shadow police force! Imefikia wakati watu wanajiuliza hawa polisi wanafuata maagizo ya nani? Nakumbuka kwa mfano wale walioongozana na Bashite wakivamia ofisi ya Clouds FM au wale waliomtolea Nape Nnauye bastola. Kwa nini mwanzo Waziri husika alionekana kuwakana?
.....Mambo ni hivi, mara kadhaa hata polisi wenyewe wameonekana wakishangaa vitendo vinavyodaiwa kufanywa na polisi wenzao na hili jambo nimeliwaza sana kwamba huenda tunalo shadow police force! Imefikia wakati watu wanajiuliza hawa polisi wanafuata maagizo ya nani? Nakumbuka kwa mfano wale walioongozana na Bashite wakivamia ofisi ya Clouds FM au wale waliomtolea Nape Nnauye bastola. Kwa nini mwanzo Waziri husika alionekana kuwakana?
......acha ni-digest kwanza hapo kwenye "shadow police" . dadadeki.
Kunakuwepo na utata mwingi sana na kutupiana mpira kwa maafande tukio linapotokea huku kila moja akionekana kukwepa kutoa ufafanuzi. Mathalan hii ya kuvamia makazi ya watu usiku kudai kufanya msako na mara nyingi bila warrant ni kitendo kinachotia shaka kwani taratibu na miongozo ipo ya namna ya kufanya msako.acha ni-digest kwanza hapo kwenye "shadow police" . dadadeki.
.....Kunakuwepo na utata mwingi sana na kutupiana mpira kwa maafande tukio linapotokea na kila moja anaonekana kukwepa kutoa ufafanuzi. Mathalan hii ya kuvamia makazi ya watu usiku kudai kufanya msako na mara nyingi bila warrant ni kitendo kinachotia shaka kwani taratibu na miongozo ipo ya namna ya kufanya msako.
......Nimefungua uzi kwa PC ila bado sizioni
.....
.....Tai asili piteni huku GT Wameumiza vichwa kwa ajili ya Taifa
Wote hatuoni pichaMag3 mbona picha hazionekani? Au ni tatizo la kimeo changu?
Ninyi mliocomment mumeona picha zilizoambatanishwa?
.....
Je tunalo Jeshi la Wasioonekana? Jeshi ambalo hata IPG Sirro hana mamlaka nalo? Jeshi linaloteka, kutesa na kuua wananchi wanaoikosoa serikali? Jeshi linaoanza majukumu yake jua linapozama? Jeshi linalowalazimisha walengwa kwa kuwapa an offer they cannot refuse?
Mag3 mbona picha hazionekani? Au ni tatizo la kimeo changu?
Ninyi mliocomment mumeona picha zilizoambatanishwa?
Kundi hili lipo bila shaka kwa sasa, nani mwenye mamlaka nalo? Je lilikuwa limeandaliwa kabla ya serikali ya awamu ya tano? Nini hatima yake? Ikiwa litazidi kuua kuua bila kudhibitiwa wananchi wata jilinda vipi na wa mwagaji hawa wa damu isiyo na hatia kwa jina la amani au ulinzi wa taifa?
Je tunalo Jeshi la Wasioonekana? Jeshi ambalo hata IPG Sirro hana mamlaka nalo? Jeshi linaloteka, kutesa na kuua wananchi wanaoikosoa serikali? Jeshi linaoanza majukumu yake jua linapozama? Jeshi linalowalazimisha walengwa kwa kuwapa an offer they cannot refuse?