Hivi green guard ni jeshi usu? Kwanini mnapigia saluti Makonda na kuvunja sheria za nchi?

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,166
4,581
Eti mnapiga saluti kama askari wa majeshi yetu.

Acheni uduanzi wa kuvunja sheria za nchi.

Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa inazuia kuunda vikundi kama green guard.

image_search_1699688343084.jpg
 
Back
Top Bottom