antonio palemo
Member
- May 19, 2013
- 31
- 4
Mimi napendekeza mpango wa kuimalisha ulinzi wa chadema ni sahihi kwani ccm tayali wana vijana wakakamavu kwanini wahofie upande mwingine kuimalisha kama wao,yaani uhalali kwao na halamu kwa wengine mh! Jamani kama nikuvunja, vivunjwe vyote nasio kuzungumzia upande mmoja wa chama kama kuimalisha ulinzi wao