WAKILI mahiri na msomi kweli kweli. Pia shangazi wa taifa, Bi Fatma Karume, amesema kuwa hatuna utawala wa sheria Bali tuna watawala wa sheria.
Hii inamaana gani kwamba nchi inaendeshwa kwa matakwa ya watu na sio kwa majibu wa sheria. Kwa maneno mepesi ni kwamba watawala au watu wenye mamraka badala ya kufuwata matakwa ya katiba wao waamuwa ni sheria ipi ifuwate na ni sheria ipi isifuwatwe.
Kudhibitisha hayo Bi Fatma katowa mfano huu. Kasema mwaka 2016 mwendazake alipiga marufuku mikutano ya hadhara ambayo ilikuwa inaruhusiwa kisheria na kikatiba lakini msajiri wa vyama vya siasa hakukemea wala kusema chochote. Akaongezea kwa kusema sheria ya vyama vya siasa imempa mamraka msajiri wa vyama vya siasa kufuta Chama cha siasa kinacho kiuka matakwa ya kisheria, ambayo yanavitaka vyama vya kisiasa kuendeleza demokrasia.
Na hapa akauriza swali la kizushi. Je mwenyekiti wa Chama tawala alipo kataza mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa kwa miaka saba ya utawala wake alikuwa anajenga demokrasia au alikuwa na ibomowa. Na kama alikuwa anaibomowa mbona sheria hazi kuchukuwa mkondo wake?
Hii inamaana gani kwamba nchi inaendeshwa kwa matakwa ya watu na sio kwa majibu wa sheria. Kwa maneno mepesi ni kwamba watawala au watu wenye mamraka badala ya kufuwata matakwa ya katiba wao waamuwa ni sheria ipi ifuwate na ni sheria ipi isifuwatwe.
Kudhibitisha hayo Bi Fatma katowa mfano huu. Kasema mwaka 2016 mwendazake alipiga marufuku mikutano ya hadhara ambayo ilikuwa inaruhusiwa kisheria na kikatiba lakini msajiri wa vyama vya siasa hakukemea wala kusema chochote. Akaongezea kwa kusema sheria ya vyama vya siasa imempa mamraka msajiri wa vyama vya siasa kufuta Chama cha siasa kinacho kiuka matakwa ya kisheria, ambayo yanavitaka vyama vya kisiasa kuendeleza demokrasia.
Na hapa akauriza swali la kizushi. Je mwenyekiti wa Chama tawala alipo kataza mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa kwa miaka saba ya utawala wake alikuwa anajenga demokrasia au alikuwa na ibomowa. Na kama alikuwa anaibomowa mbona sheria hazi kuchukuwa mkondo wake?