TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Anachafua kitoto sana,yani hana logic hata kidogo,ni kama tu jamaa zake wanavyotoa kauli zinazojipinga zenyewa.Utakuta mtu mzima anatoa utetezi juu ya jambo fulani kitoto kabisa, kiasikwamba logic kwake ni tusi.Viumbe vingine havifai kuwa baba au mama wa familia.
njia rahisi ya kufanya hoja zake hazina mashiko ni kukanusha yote aliyoeleza kwa kutoa ushahidi. Mfano hili la Kibiti,Mkuranga na Rufiji ndilo ungeanza nalo.