kada wa ccm
Member
- Jan 9, 2011
- 18
- 0
apewe muda tuone labda anasaka watendaji makiniUchaguzi umeisha toka nov 2010,raisi yupo na cabinet yake kashaiteua, na wabunge wapo tayari.Je kwa nini mpaka leo hajateua wakuu wa mikoa?? au ndo mpaka akapige ramli mlingotini??