Mie nadhani sasa kuna haja ya kuchuja Great Thinkers na Great Tankers, kwani kutoteua kwake amevunja katiba ? au unataka tu na we watu waone kuwa umeandika kitu
modified Brain
Mie nadhani sasa kuna haja ya kuchuja Great Thinkers na Great Tankers, kwani kutoteua kwake amevunja katiba ? au unataka tu na we watu waone kuwa umeandika kitu
Uchaguzi umeisha toka nov 2010,raisi yupo na cabinet yake kashaiteua, na wabunge wapo tayari.Je kwa nini mpaka leo hajateua wakuu wa mikoa?? au ndo mpaka akapige ramli mlingotini??
Uchaguzi umeisha toka nov 2010,raisi yupo na cabinet yake kashaiteua, na wabunge wapo tayari.Je kwa nini mpaka leo hajateua wakuu wa mikoa?? au ndo mpaka akapige ramli mlingotini??
Uchaguzi umeisha toka nov 2010,raisi yupo na cabinet yake kashaiteua, na wabunge wapo tayari.Je kwa nini mpaka leo hajateua wakuu wa mikoa?? au ndo mpaka akapige ramli mlingotini??
Uchaguzi umeisha toka nov 2010,raisi yupo na cabinet yake kashaiteua, na wabunge wapo tayari.Je kwa nini mpaka leo hajateua wakuu wa mikoa?? au ndo mpaka akapige ramli mlingotini??
Wakuu wote wa mikoa ambao waliomba likizo ya kugombea ubunge wako kijiwenii....hadi sasa...mbega,abdul aziz na lukuvi nafasi zao hazijazibwa hata....alikuwa anasubiria ma meya wapatikane....kwanza ndio apachike hao wachumba zake ukuu wilaya na ukuu mikoa!!
Kwani kuna mkoa ambao hauna RC kwa sasa?Uchaguzi umeisha toka nov 2010,raisi yupo na cabinet yake kashaiteua, na wabunge wapo tayari.Je kwa nini mpaka leo hajateua wakuu wa mikoa?? au ndo mpaka akapige ramli mlingotini??