Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Ile mikoa mipya mfano huku kwetu Katavi na mingine, pia Dar...Kwani kuna mkoa ambao hauna RC kwa sasa?
Ile mikoa mipya mfano huku kwetu Katavi na mingine, pia Dar...Kwani kuna mkoa ambao hauna RC kwa sasa?
Ile mikoa mipya mfano huku kwetu Katavi na mingine, pia Dar...
Uchaguzi umeisha toka nov 2010,raisi yupo na cabinet yake kashaiteua, na wabunge wapo tayari.Je kwa nini mpaka leo hajateua wakuu wa mikoa?? au ndo mpaka akapige ramli mlingotini??
waeleze babaKwanini awe na haraka ya kuchagua ma Rc na Ma Dc.
Kuku wake manati ya nini?