- Thread starter
- #21
Shukrani sana, tunayachukua maoni na kuyafanyia kazi!Kama una aridhi yako tayari nikupe moyo anza ila inabidi uwe mvumilivu wa miaka angalau kumi ndo uanze kupata faida ila pia ili utanikiee fanya vifuatavyo
1. Angalia madhaifu ya shule zinazokunguka ili uone utaboresha wapi
2 . Hakikisha unapata uzoefu na mambo ya ualimu kama vip kajitolee hata sehemu kwa miezi miwili
3.hakikisha unakuwa na misingi ya shule yako itakauokuwa tofaut kabsa na shule nyingize mfano,usiruhusu mwl kuongea kiswahili. kuchelewa kuja shule na mengineno.
4. Usifanye urafiki na mfanyakazi wako yeyote ,narudia hakikisha usifanye urafiki na mfanyakazi wako yeyote.
5. Jenga iman kwa wazazi kwa kuwatembelea watoto, kuwa na mawasiliano ya karibu na hata ikibid uwe na group la whasap la wazaz tu.
6. Kuhusu miundombinu usiwaze wewe Jenga darasa moja kila mwaka
7 . Mengine nitaendelea