Mhhhh, mbona unanitisha AshaDii?
Nawafahamu wengi tu including Babu DC ambao hawakuwahi si kuwa na mtoto bali hata kuelezwa kumpa mimba dada yeyote!!
Una maana ungepiga chini mzee wa watu?
Mengine uliyosema ni mswano duh!!
Babu DC!!
Mwambie Anitha asikurupuke aendelee kufanya uchunguzi na kumfahamu vizuri mwenzake, huwezijua labda ana Mke kabisa na familia yake inajua mwisho wa siku asijekuonekana ameingilia ndoa ya watu. Muongo ni muongo tu, mapenzi yasimfanye kujisahau kumchunguza vizuri ili kumjua kabisa ni muhimu sana.
sidhani kama kuna uhusiano wowote kati ya kuwa na mtoto na kumpenda mtu.Inawezekana Benson anampenda sana Anitha!Pia inategemea walivyoelezana love back ground kama ulivyosema.Kama Benson alimweleza Anitha kuwa alikua na mpenzi na wakaachana na alieleza sababu za wao kuachana na Anitha akaridhika pengine alikua anasubiri muda muafaka ili pia amueleze juu ya hili la mtoto.Sasa kama kuna kitu Anitha alikua na wasi wasi kuwa amedanganywa kwenye yale maelezo basi achukulie hii kama clue na aendelee kumchunguza Benson.But she should know that to every clue there is a new puzzle
Mwulize huyo mwanamke wa Benson aliyezaa naye wameachana kisa nn?
Kupata Ushauri mzuri kwa haraka haraka inaweza ikawa ngumu kidogo
Asante, Je atumia mbinu gani kumchunguza?
Kwa jinsi ulivyo elelezea nadhani ni mapema mno kwa uyo dada kugundua ukwelii.Kwakua ndo kwanza wameanza aendelea kumtafiti wanapo tembeleana au wanapo wasiliana namini atabaini ukweli cse mapenzi ya kweli hayajifichi
kuna mambo ambayo ni ya kujadil mwanzo wa mahusiano na kuna mengne yanahitaji uelewa . cha msing mhusika hana sababu ya kumchunguza sana bf wake kwan asilimia kubwa ya maelezo wapeanayo wapendanao yamejaa uongo au hadith za kutunga. hakuna awezae kuelezea mapungufu au makosa yake kwa mwenzi mpya ni lazma atafute huruma. wanaume wengi huwa wanaficha kwa wenzi wao wapya suala la watoto walio nao na hii inatokana na kutokujiamin kwao. cha msing ni kuangalia umri wa mtoto na kuelewa x alipo na nini mahusiano yao. pia kujua kama anahudumia na jiweke kwnye nafas ya kuunga mkono ikiwezekana kuongozana wakat wa kupeleka huduma