Habari za Hasubuhi 'The Great Thinkers'
Naomba kuwasilisha mada hii ili niweze kupata ushauri mzuri wa kumpa Rafiki yangu ili aweze ku MOVE ON.
Anaitwa Anitha (Sio jina Halisi), Anitha ni msichana alieajiriwa anajuhudi sana katika kazi, Anitha amepata mpenzi ambaye hawana muda mrefu sana, ila kama tunavyofaham wengi wetu hupenda mahusiano yenye faida, nikimaanisha baada ya mahusiano hayo ni nini kinafuata.
Anitha alikutana na kijana mmoja anaeitwa Benson (Jina sio halisi) walikutana katika ofisi ya Anitha, Benson akampenda Anitha kwa muda aliokuwa katika Taasisi hiyo. Benson alikuja kikazi katika ofisi za akina Anitha na kumaliza program yao na kurudi katika ofisi yake.
Benson alimueleza Anitha hisia alizonazo juu yake, na akamuomba Anitha ikiwezekana waweze kupanga maisha pamoja, Anitha nae hakusita kumpa Benson mawasiliano wakaendelea kuwasiliana, Walipoonana kwa mara nyingine wakaweka mambo yao sawa na wakaanza urafiki.
Benson & Anitha walipeana Love Background, na hatimae wakaridhia kuwa pamoja, swali la kushangaza Anitha alimuuliza Benson kama ana mtoto Benson akamjibu hana, katika maendelezo ya mapenzi yao Anitha akaingia kwenye Profile ya Benson FB akaona picha ya mtoto kati ya picha za Benson.
Anitha akampigia Benson simu na kumuuliza juu ya ile picha, Benson akakiri na kumwambia Anitha anaomba amsikilize kwa makini na amuelewe kile atakacho mwambia, Benson akamwambia Anitha ni kweli ana mtoto, na aliona ni mapema sana kumueleza ukweli kwani ndo kwanza mapenzi yao yanaanza hakutaka kumpoteza mpenzi wake huyo, Benson akamuomba Anitha amsamehe kwa kutokumuambia ukweli ial alizaa na mwanadada aliemsimulia wakati wanapeana Love background, Benson akamsisitiza kuwa anampenda sana Anitha na anaomba waendelee na mapenzi yao kwani yy Benson anampango wa kuish na Anitha.
Swali kwa Anitha, je Benson ni kweli atakuwa anampenda? au ni walewale wanaotaka kumchezea hisia zake? na je amsamehe na waendelee na mapenzi yao? au afanyeje ila yy Anitha anampenda Benson, ameniomba ushauri mm nimeshindwa nimshauri nini, ila nimemwambia ntampa jibu baadae.
Karibuni kwa ushauri unaojenga Jamii.
Asanteni sana wana JF.
Naomba kuwasilisha mada hii ili niweze kupata ushauri mzuri wa kumpa Rafiki yangu ili aweze ku MOVE ON.
Anaitwa Anitha (Sio jina Halisi), Anitha ni msichana alieajiriwa anajuhudi sana katika kazi, Anitha amepata mpenzi ambaye hawana muda mrefu sana, ila kama tunavyofaham wengi wetu hupenda mahusiano yenye faida, nikimaanisha baada ya mahusiano hayo ni nini kinafuata.
Anitha alikutana na kijana mmoja anaeitwa Benson (Jina sio halisi) walikutana katika ofisi ya Anitha, Benson akampenda Anitha kwa muda aliokuwa katika Taasisi hiyo. Benson alikuja kikazi katika ofisi za akina Anitha na kumaliza program yao na kurudi katika ofisi yake.
Benson alimueleza Anitha hisia alizonazo juu yake, na akamuomba Anitha ikiwezekana waweze kupanga maisha pamoja, Anitha nae hakusita kumpa Benson mawasiliano wakaendelea kuwasiliana, Walipoonana kwa mara nyingine wakaweka mambo yao sawa na wakaanza urafiki.
Benson & Anitha walipeana Love Background, na hatimae wakaridhia kuwa pamoja, swali la kushangaza Anitha alimuuliza Benson kama ana mtoto Benson akamjibu hana, katika maendelezo ya mapenzi yao Anitha akaingia kwenye Profile ya Benson FB akaona picha ya mtoto kati ya picha za Benson.
Anitha akampigia Benson simu na kumuuliza juu ya ile picha, Benson akakiri na kumwambia Anitha anaomba amsikilize kwa makini na amuelewe kile atakacho mwambia, Benson akamwambia Anitha ni kweli ana mtoto, na aliona ni mapema sana kumueleza ukweli kwani ndo kwanza mapenzi yao yanaanza hakutaka kumpoteza mpenzi wake huyo, Benson akamuomba Anitha amsamehe kwa kutokumuambia ukweli ial alizaa na mwanadada aliemsimulia wakati wanapeana Love background, Benson akamsisitiza kuwa anampenda sana Anitha na anaomba waendelee na mapenzi yao kwani yy Benson anampango wa kuish na Anitha.
Swali kwa Anitha, je Benson ni kweli atakuwa anampenda? au ni walewale wanaotaka kumchezea hisia zake? na je amsamehe na waendelee na mapenzi yao? au afanyeje ila yy Anitha anampenda Benson, ameniomba ushauri mm nimeshindwa nimshauri nini, ila nimemwambia ntampa jibu baadae.
Karibuni kwa ushauri unaojenga Jamii.
Asanteni sana wana JF.