MWENDAKULIMA
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 952
- 354
DU! Wabongo kwa kushupalia Udaku ndo wenyewe...yaani kauli ya mlinzi..tena huenda ni mmasai, anaipa uzito mkubwaaaaaa! Kwanini asimtafute mhusika ama msemaji rasmi wa kitega uchumi ili apate uhakika...ama ameshaona kuwa ameshachelewa kutuma maombi ama ameenguliwa wakati wa kushindanisha maombi ndo anakimbilia kulalam ili aonewe huruma!!!!
DU! Wabongo kwa kukurupuka ndo wenyewe.....yaani mtu husomi post vizuri unakurupuka na kupost utumbo.Nguli anasema aliomba number za huyo msimamizi wa hilo jengo, akampigia akapata majibu yaleyale! Uwe unasoma vizuri kilichoandikwa.