Mkuu nimeipenda hiyo mboga kuu,nilikua nimenuna kutwa nzima alakini hapo nimecheka,kweli hile kith ni kuu ndio maana hata wao wanapiga kuliko sisiNitapita hapo sasa hivi mkuu!
Ikiwezekana nitarecord sauti kabisa!
Kwani umewaambia unataka kufungua machinjio ya ile mboga mkuu?'
huyo naye akili yake ipo kwenye masaburi yake!Ofisini kwangu Bosi wangu simu yake Ring tone yake ni kwaya ya rose mhando na caller tone ni kwaya ya chibalonza, kuna siku alimpigia simu muislam mmoja ikaita korani (caller tone) akakata simu na kutukana sana eti kaweka mapepo na akatuambia tusimpigie simu huyo bwana sababu itaita korani...<br />
<br />
Tuna mengi waTZ ni pamoja na ujinga wa kufikiri, ubinafsi na chuki.
<br />Hii thread inastahili kufungwa immediately kwasababu haya mambo yaliyopostiwa humu hayajengi jamii tunayoitaka Tanganyika. Nadhani tunakotaka kuelekea ni kubaya na mkumbuke kuwa:- Mkiambiwa habari yoyote na mtu msiyemjua vizuri(eg. mwana jf yoyote ambaye kimsingi hafahamiki openly may be na member yeyote/wengi/wote) ni sharti habari hiyo ichunguzwe kwa makini sana. Tusihukumu be! kwa sababu ya eeh!
<br />Basi bora wamekwambia live, maana huenda wasingesema ungeingia kichwakichwa na kukutana na vituko vya mwaka!<br />
Kama wanasema jengo hilo(la bishara)ni kwaajili ya waislamu tu inaonyesha kuna mambo fulani ya usiri yatakayokuwa yanafanyika humo ambayo mkristo hatakiwi kujua au hawezi kuvumilia kuyaona!...kuna ibada za ajabuajabu zitakuwa zikiendelea, na huenda ni za kimajinimjini.<br />
<br />
Sasa nadhani umshukuru Mungu!
Aaaaa,Gerad anaehusika na packaging pale AZAM NI MKRISTO <br />
<br />
<br />Kumbe mnawahesabu..teh teh teh
Daaah hapo si ndio kwa RIZ1.. labda kaagizwa hivyo na mshua
Hapo nadhani mkuu umeleta habari ya unafiki na ushabiki katika inshu ambayo ni very sensitive,..Azam imejaza watu wa dini zote na mpaka wasio na dini wapo,kwa mtu mwenye akili timamu na anayependa ustawi wa jamii awezi kuingiza ushabiki katika mambo haya yahusuyo imani yazungumziwapo pole sana.hiyo mbona imejificna. Nenda azam kaombe kazi ma ukristo wako kama utapata
Hii ni kweli ila the facts ni kuwa zuio kubwa ni kwa wenzetu kuliko kwetu. Waislamu wengi waliosoma zamani walisoma shule za mission bila ubaguzi.Mie na mume wangu tulienda Lushoto kutembea, pale mjini kuna hoteli ya kulala, tulinyimwa vyumba bila kupewa sababu na mhudumu, siku ya pili tukaambiwa ile Hoteli ni ya Wakristo na hawapendi Waislaam wafikie pale.
Sidhani kama hao jamaa wamekosea ikiwa sababu ni hiyo. Mbona watu wa Dar es salaam tumezowea sana hiyo, zamani hata makazi ya Wakristo yalikuwa kule kunaitwa Mishen Kota (mission quarters). Unaweza ukaona ajabu ikiwa si mkazi wa Dar.
Kila mtu yuko huru kumpamgisha atakae na si ubaguzi huo. Nyumba nyingi sana wanafanya hivyo, kuna kwingine hata mkristo kwa mkristo hupangishwi kama si mlokole au hujaona hiyo nikuelekeze uende?
Mie na mume wangu tulienda Lushoto kutembea, pale mjini kuna hoteli ya kulala, tulinyimwa vyumba bila kupewa sababu na mhudumu, siku ya pili tukaambiwa ile Hoteli ni ya Wakristo na hawapendi Waislaam wafikie pale.<br />
<br />
Sidhani kama hao jamaa wamekosea ikiwa sababu ni hiyo. Mbona watu wa Dar es salaam tu
NILIDHANI UTAKOSA CHA KUONGEA HAPO. ILA WELL DONE KWA TAARIFA TOA MTAA NA JINA TUIFANYIA KAZI. ASANTE.
<br />yote haya udini wameleta chadema.