Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
dah....huyo jamaa katulia.....naomba mtakapokutana kwenye kinywaji....kunyweni chochote nitakuja kulipa
hahahahaha!
Na misosi tutakuletea bili. Lol!
dah....huyo jamaa katulia.....naomba mtakapokutana kwenye kinywaji....kunyweni chochote nitakuja kulipa
hahahahahahaha!!
Mpendwa unatumia kinywaji gani vile?
dah....huyo jamaa katulia.....naomba mtakapokutana kwenye kinywaji....kunyweni chochote nitakuja kulipa
kumekucha halafu mi bado nina usingizi.
hahahahaha!
Na misosi tutakuletea bili. Lol!
kumbe kuna offer...
Ngoja niandae koo..
naomba unichagulie kinywaji
of coz ndo nilichokiona, kumshambulia dada wa watu eti ana ID nyingi wewe unawajua watu humu ndani?Yaani ndo ulichokiona...??
tupo hapa kwa ajili ya kushambulia watu?? hebu tutake radhi...
ukuje mapema kabisa...ngoja niombe meza ya pembeni
kumbe kuna offer...
Ngoja niandae koo..
naomba unichagulie kinywaji
msijali....nyie endeleeni mimi nitalipa kila kitu......si mnaona hata tarehe inaruhusu
Hongera kwa kujitahidi kuvumilia....(hebu naomba ufafanue hizi posts)
Pia naomba kupata ufafanuzi wa hii post yako ya January, kabla sijachangia[/COLOR
Sasa hivi naogopa hata kuchangia..utunzi umekuwa mwingi sana!!
Sasa sijui nichukue lipi niache lipi??
naomba unywe soda. Ukilewa sitaweza kukubeba.
of coz ndo nilichokiona, kumshambulia dada wa watu eti ana ID nyingi wewe unawajua watu humu ndani?
na nini kinakufanya uamini kuwa ametunga story, unamjua Fanta weye, mtu kama hujapenda thread yake si unakula kona tu kwa nini kuharibiana siku
Nishapata hamu ya valuu tayari bado dk 15 tu nitoke
Ila usijie ukatuacha kwenye mataa ..tunaomba tu upokee simu,usitufanye tuwe marafiki wa kawaida mpaka tukakutafute kwenye FACEBOOK..lol
Pole kwa kuchanganyikiwa, ni mtu yule yule aliyetaka tuwe gud friends ndo akataka kuja kunitembelea nyumbani, huyu ninaemsema hapa ni mpyaa tumeanza urafiki mwishoni mwa february