Bushloiaz
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 721
- 806
Kama unaona karaha nyingi na starehe kidogo hapo mjini ni dili kwako baki lakini kama unataka utoke kimaisha nenda meatu,pamechoka yes nimewahi fika pale ila kuna opportunity kibao pale za kufanya kama unaweza kuzungusha mil 1 au 2 unaweza ukacheza dili za dhahabu na almasi zinapatikana maganzo pale dhahabu unaweza ukapata sehemu ya shy rural ambayo sio mbali,ni uamuzi wako mzee.