gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,942
- 2,251
ndugu zangu naombeni msaada wa kimawazo
nilikuwa na girlfriend ambaye nilimpenda sana, lakini kwa bahati mbaya nilichukuwa uamuzi wa kumuacha kutokana na kuona ananitesa sana katika mahusiano. sijawai mkuta na mvulana lakini kwakweli hakunieshimu kabisa kama mvulana, yaan muda mwingi wa maisha yangu katika kipindi chote cha mahusiano nae nilikuwa naumia kutokana na tabia yake, nimejaribu mueleza mara kadhaa bila mafanikio, pia hata kuwatumia ndugu na rafiki zake wa karibu bila mafanikio. kwa kweli nilikuwa naumia sana kwani mwenzangu alikuwa haoneshi kunijari wala kunionea huruma kama mimi nilivyokuwa kwake
tisa, kumi ni pale aliponidanganya anasafiri anaenda kufanya kazi mkoani ambapo aliniambia, huko arusha anakaa kwa mvulana ambaye amemtafutia kazi, akaniambia tena kuwa huyo mvulana aliwai mtongoza hapo nyuma. kwa kweli niliumia sana for three weeks, nilishindwa kabisa kufanya kazi 'imagine boyfriend/girlfriend wako unaempenda sana' anakuambia anakaa na mtu aliyewai mtongoza huko nyuma wawili tuu kwa muda wa zaidi ya mwezi. nilishindwa fanya kazi kabisa ofisin. mwisho wa siku nilipombana aliniambia alikuwa ananidanganya. kwa kweli niliumia sana tena sana. na nilichukua uamuzi wa kuachana nae
TATIZO/MSAADA
tatizo langu sasa ni kuwa toka nimemuacha bado naumia sana Moyoni, naona kama sijamtendea haki, yaani nashindwa nifanyenini jamani!
nilikuwa na dream nyingi sana juu yake lakini naona nateseka muda wote wa mahusiano yetu. JE NIMEFANYA KOSA KUMUACHA??
nilikuwa na girlfriend ambaye nilimpenda sana, lakini kwa bahati mbaya nilichukuwa uamuzi wa kumuacha kutokana na kuona ananitesa sana katika mahusiano. sijawai mkuta na mvulana lakini kwakweli hakunieshimu kabisa kama mvulana, yaan muda mwingi wa maisha yangu katika kipindi chote cha mahusiano nae nilikuwa naumia kutokana na tabia yake, nimejaribu mueleza mara kadhaa bila mafanikio, pia hata kuwatumia ndugu na rafiki zake wa karibu bila mafanikio. kwa kweli nilikuwa naumia sana kwani mwenzangu alikuwa haoneshi kunijari wala kunionea huruma kama mimi nilivyokuwa kwake
tisa, kumi ni pale aliponidanganya anasafiri anaenda kufanya kazi mkoani ambapo aliniambia, huko arusha anakaa kwa mvulana ambaye amemtafutia kazi, akaniambia tena kuwa huyo mvulana aliwai mtongoza hapo nyuma. kwa kweli niliumia sana for three weeks, nilishindwa kabisa kufanya kazi 'imagine boyfriend/girlfriend wako unaempenda sana' anakuambia anakaa na mtu aliyewai mtongoza huko nyuma wawili tuu kwa muda wa zaidi ya mwezi. nilishindwa fanya kazi kabisa ofisin. mwisho wa siku nilipombana aliniambia alikuwa ananidanganya. kwa kweli niliumia sana tena sana. na nilichukua uamuzi wa kuachana nae
TATIZO/MSAADA
tatizo langu sasa ni kuwa toka nimemuacha bado naumia sana Moyoni, naona kama sijamtendea haki, yaani nashindwa nifanyenini jamani!
nilikuwa na dream nyingi sana juu yake lakini naona nateseka muda wote wa mahusiano yetu. JE NIMEFANYA KOSA KUMUACHA??