kusubiri nako kuna hasara zake
nayajua machungu ya kuwaiwa....
shemeji mzima weye? mi mith u bana kha! kwani hommie wako kenda wapi, mbona hajaaga!?Mtihani huu.....kazi kama
Hizi inabidi ziwe na risk allowance
Mtihani huu.....kazi kama
Hizi inabidi ziwe na risk allowance
Unajua Kipipi wasiwasi wangu unakuja pale atakapokataliwa na kuambiwa waziwazi kuwa BF wake yupo hapo hapo chuoni na wapo class moja
tumia cheo chako bhana we vipi jomba
aaah sasa kama hana alternatives zingine je?Mdanganye......kwa mwenye akili won't accept such rudeness towards a hubby-wife state labda kama ingekuwa for just a sweet wind to pass!!
Isijekuwa we kibabu alafu unamtaka mwanafunzi wako ambae ni sawa na mwanao!!
manaake vimwalimu vingine......mmmmmh
inawezekana umenijudge hovyo mkuu...lakini mara ngapi imetokea walimu wameoa wanafunzi wao?Kama mleta mada kweli ni mwalimu basi ni mwalimu wa hovyo. Ili afanye nini kuhusiana na hili, namshauri afikirie huyo anayemtaka angekuwa binti au dada yake angefanya nini? Huyo binti kaja pale kutafuta elimu na si wanaume. Kadhalika nawe kama kweli unajua unalofanya uko hapo kufundisha na si kutafuta wanawake. Kama utaendelea na jinai hii utajutia. Otherwise huyo mwanafunzi awe wa hovyo kama wewe.
Tamaa huzaa zinaa na mauti!