Nimempenda mwanafunzi wangu......nifanyeje

mimi ni mwalimu wa chuo cha biashara hapa DSM.
Mwanzoni nilidhani ni tamaa za kiume tu...lakini kadri muda ulivyokwenda nilihisi nampenda....

Siku baada ya siku huyu mtoto anazidi kuiteka akili yangu...lengo ni kufanya naye maisha Mungu akijalia.

Kinachonitatiza ni jinsi ya kumuingia...nahofia anaweza kufikiri natumia ualimu wangu kutaka kumpata.
wakuu naombeni mbinu ya kumfikishia haya ya moyoni mwangu

Unaogopa kutongoza sasa unataka utongozwe?
 
Kwa sababu yuko semister ya mwisho sasa, sema nae live, muite uongee nae na umwambie lengo lako ni nini hasa isije ikawa ni kutaka kumchezea tu, na kwasababu ana miaka 20-23 ni mtu mzima huyo nae atafunguka tu
 
mimi ni mwalimu wa chuo cha biashara hapa DSM.
Mwanzoni nilidhani ni tamaa za kiume tu...lakini kadri muda ulivyokwenda nilihisi nampenda....

Siku baada ya siku huyu mtoto anazidi kuiteka akili yangu...lengo ni kufanya naye maisha Mungu akijalia.

Kinachonitatiza ni jinsi ya kumuingia...nahofia anaweza kufikiri natumia ualimu wangu kutaka kumpata.
wakuu naombeni mbinu ya kumfikishia haya ya moyoni mwangu

Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake. Chapa baba huyo, hiyo ni chakula yako!!!!
 
Back
Top Bottom