Collins
Senior Member
- Jul 19, 2012
- 145
- 48
kwa sababu ni domo zegeSasa unapomwambia mwenzio atumie cheo chake, unakuwa unamaanisha nini labda?
kwa sababu ni domo zegeSasa unapomwambia mwenzio atumie cheo chake, unakuwa unamaanisha nini labda?
kwa sababu ni domo zege
hahahaha mkuu tupa ndoano bhana samaki anaseaaaaaaah aaaaah nitake radhi mkuu
just ongea naye, huyo ni mkubwa kabisa! anajua jema na baya! huyo demu asijekuwa tu kama manshiroo, yuko na wewe, lakini lunch anakwenda hoteli za kifahari na matajiri!
Si umetamani? Si umevutika? Sasa?kwanini unaita tamaa?
Mfanye monitress wa somo lako, so notice zote na communication ndogondogo za darasa zipitie kwake.
Hii mbinu huwa inalipa kweli
mkuu humo nilimo-bold nimekuelewa vizuri sana...mtoa mada naomba nikushauri kwamba kama unamfundisha huyu binti uwe makini sana tena uinue macho yako vyema. Ningekuwa mimi ningesubiri hadi nimalize kuwafundisha kozi(somo lako) hii kisha ndo nipropose kwake. najua akili za mabinti mkuu yani mwalimu wa wanawake naye ni kipofu binti atawehuka kwa sentensi ya kwanza tu na hapo utaharibu attention yake hasa kwenye somo lako.
mvutie pumzi kama kakusudiwa kua wako atakuwa tu. mwache umalize hiyo kozi yako inapokuja anasoma semester nyingine ndipo upropose tena waweza kutafuta contacts zake ukampigia akiwa likizo au ukamfuata anakofanyia field na hiyo ingekuwa nzuri sana. ila kwa hapo chuoni kwako usimamwambie aisee utamuharibu na unaweza pia kuharibu reputation yako. wavulana watakuekea kinyongo wewe yaani ni too complicated mwache amalize kozi zako aisee.
usi underestimate akili za kiuanafunzi na incentives wanazotegemea, ndo maana nasema akiwa field wawea kwenda kumkagua na kisha kupropose kwakua kule akili ni kama yuko home vile ila sijui wewe mwenzangu unaonaje.
kumbe nawe ni msinzi! acheni kula kondoo wa bwana, mnapewa kazi ya uchungaji mkiona kichaka mnamla mmojawapo kwa kisingizio cha kuoa. Mwache ahitimu kwanza!
Kongosho umenikumbusha incentives za ma CR lol............those days bana
hii hata kama ma-cr wapo wee unamchagua tu unayemtaka.
Unajisahauliza copy za notisi za kugawia darasa afu kipindi kikiisha unamwambia ijia notisi uje uwagawie wenzako.
Akija mara nne tano kama ni wa kiume umeshapata njia siku nyingiiii.
kama ni Mwanafunzi wako, mfelishe katika somo lako, hasa katika Semister akiona maksi zake zinayoyoma kwenye Supp atalegea kwani hakuna anayependa Disco Au hujui mbinu za MaTutor wenzako
kama ni Mwanafunzi wako, mfelishe katika somo lako, hasa katika Semister akiona maksi zake zinayoyoma kwenye Supp atalegea kwani hakuna anayependa Disco Au hujui mbinu za MaTutor wenzako
Hapo juu gfsonwin amekushauri vizuri sana.........Kwanza nimeshangaa sana navyoelewa ma-tutor plus lectures (wa kiume) kutembea na wanafunzi wao ni jambo la kawaida sana zama hizi...hawahitaji kujishauri, na wengi sana (nina hakika na hilo) wana uhusiano na zaidi ya mwanafunzi mmoja na wanagawa maksi kama hawana akili nzuri, ndio maana nakuona kama mtu tofauti.
Kuna naowafahamu wana network yao, demu akiwakataa ajiandae na sup otherwise awe kichwa kweli. Muhimu hakikisha amepita semister hiyo ndipo ujimwage........na ujue hakuna siri lazima atawaambia rafiki zake (iwe amekubali au kukataa)....Na pindi akiwa na wewe usije kushangaa hajisomei anasubiri maksi za bwerere na pengine na rafiki zake atawaombea kwa "mwalimu mwema" awasaidie!!!
Take care!