Akili ya kuambiwa+ Akili yako= maamuziNi kweli inaweza ikawa chai lakini jee ikiwa kweli na akaufata ushauri wako? Kuna siku kuna mdada mmoja aliniomba nimpeleke hospitali sikujua anaumwa na nini mpaka nilipofika ndio nikaijua picha yote kuwa anataka kuitowa mimba. Nilimshauri sana asiitowe lakini hajakubali wakati tukirudi sikuongea nae njiani na sikuweza kumuacha pale hospitali peke yake kwasababu ilikuwa mbali kidogo. tukiwa njiani tulipata ajali mbaya sana mpaka leo sijaongea nae huyo mdada.
Ina maana familia yako na ya mke wako hamjuani?Endelea kuwa muaminifu kwa uliyenaye ili yasikukute
Keshasema haishi darWewe ni mwanaume wa dar?