Nimempa mimba adui mkubwa wa mke wangu

Salaamu,

Baada ya mke wangu kunisingizia kwamba ninatembea na rafiki yake na kupelekea mpaka kugombana sana na mimi pamoja na huyo dada wa watu, nilichokifanya ni kufanya utaratibu wa kukamilisha hilo zoezi ambalo kweli nilisingiziwa. Nimetembea na huyu dada na jana amenitaarifu kuwa ni mja mzito, anataka ushauri toka kwangu.

Je aitoe mimba ama aendelee nayo?

Pili yeye ana boyfriend wake ila yupo safari kwa muda je itakuwaje?

Wana JF nahitaji ushauri
Umekamilisha zoez la kuwaunganisha marafiki wawili asitoe mimba
 
Hahaha badamu batamwagika Ila ndoa izi jaman Mungu tusaidie yaan ameenda kufanya kweli ili amkomoe mkewe kweli tumetofautiana akili za kufikili....

Hatari sana sana yaani hapo usiyempenda ndiyo dokta huamini km atakupasua salama kwenye opereshioni rum
 
Salaamu,

Baada ya mke wangu kunisingizia kwamba ninatembea na rafiki yake na kupelekea mpaka kugombana sana na mimi pamoja na huyo dada wa watu, nilichokifanya ni kufanya utaratibu wa kukamilisha hilo zoezi ambalo kweli nilisingiziwa. Nimetembea na huyu dada na jana amenitaarifu kuwa ni mja mzito, anataka ushauri toka kwangu.

Je aitoe mimba ama aendelee nayo?

Pili yeye ana boyfriend wake ila yupo safari kwa muda je itakuwaje?

Wana JF nahitaji ushauri
Mkuu unaonekana matumizi ya kondom kwako hujali kabisa! Subiri siku akigundua umempasia VVU ndo utajua kwa nini hakuna Masai albino!
 
Kuna kitu kimoja ambacho wanaume weng hatukijui japokuwa usalit ni mbaya ki ujumla ila kumsalit kwa rafik yake ni udhalilishaj wa hali ya juu bora ukafanye huko mbali wasiwe wanafahamiana
 
Hizi Mambo za kukomoana hizi siku zitawatokea puani,,,, ila Mkuu usisahau kuja kuleta mrejesho itakavyokuwa eenh....
 
Salaamu,

Baada ya mke wangu kunisingizia kwamba ninatembea na rafiki yake na kupelekea mpaka kugombana sana na mimi pamoja na huyo dada wa watu, nilichokifanya ni kufanya utaratibu wa kukamilisha hilo zoezi ambalo kweli nilisingiziwa. Nimetembea na huyu dada na jana amenitaarifu kuwa ni mja mzito, anataka ushauri toka kwangu.

Je aitoe mimba ama aendelee nayo?

Pili yeye ana boyfriend wake ila yupo safari kwa muda je itakuwaje?

Wana JF nahitaji ushauri
Kubali consequences za ujinga wako.For Gods sake,utaamuaje kwamba kwa kuwa mkeo anadhani kwamba umetembea na huyo dada, basi na wewe unatembea naye,that is very stupid of you.Unatenda uovu kwa sababu ya ujinga wa mtu mwingine.Hii inaonyesha wazi kwamba na wewe ulikuwa na nia ya kujamiiana na huyo dada,usitudanganye.Wewe ni mtu mzinifu,acha tabia hiyo.

Furthermore,msitoe hiyo mimba,kwa kuwa you will be committing an even more grave sin,murder,in the eyes of God.Halafu mwambie ukweli mkeo kwamba umempa adui yake mimba,na omba msamaha genuinely.Akikusamehe heri,akiamua kwenda kwao hayo ndiyo matokeo ya ujinga wako,inabidi uyakubali. Ila naamini 100% kwamba ukimuomba msamaha with a humble heart,without the usual arrogance of man, atakusamehe.

Unapaswa kuitendea roho yako haki,in that way you will have peace of mind whatever the consequences.
 
Salaamu,

Baada ya mke wangu kunisingizia kwamba ninatembea na rafiki yake na kupelekea mpaka kugombana sana na mimi pamoja na huyo dada wa watu, nilichokifanya ni kufanya utaratibu wa kukamilisha hilo zoezi ambalo kweli nilisingiziwa. Nimetembea na huyu dada na jana amenitaarifu kuwa ni mja mzito, anataka ushauri toka kwangu.

Je aitoe mimba ama aendelee nayo?

Pili yeye ana boyfriend wake ila yupo safari kwa muda je itakuwaje?

Wana JF nahitaji ushauri
Ukipanda mahind huwez vuna ulezi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom