sitaki kukumbuka juu ya hii mada..yalinikuta...
Msamehe tu,kwani wewe huko hukumega?tofauti tu ni kwamba yeye kapata mimba.Msamehe msonge mbele
Kweli amsamehe tu na washirikiane kumlea huyo mtoto wao mtarajia. Huo ndo uanaume wa kweli.
hapana.......kama ningekuwa mwanaume......basi ningekuwa na uanaume wa uongo kwa hili......haifai
thank you for being honest.hapana.......kama ningekuwa mwanaume......basi ningekuwa na uanaume wa uongo kwa hili......haifai
Hebu tuchukulie kwamba umekwenda kusoma nje ya nchi, au umekwenda mbali sana na nyumbani kwako kikazi. Umekaa huko kwa miaka miwili . unaporudi, unakuta mkeo ni mjamzito! Hebu niambie ungefanya kitu gani?