Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Nakushauri uiite Malecela WJ ili kutotuchanganya wasomaji wako. Kwa kuiita tu Malecela nadhani si sahihi sana.
Nimetembelea blog yako....kwa kweli ni AIBU ya karne.....sasa kukaa kwako nje muda mrefu kumekusaidia nini??
He ended up having frozen brains..........how disgusting....hata Maggid na Mange wanamzidi ubunifu.....LOOSER
...Kujifagilia tayari kwa kinyang'anyiro cha 2015 kule jimboni.
Dah! kweli wewe naona bado akili yako ya kitoto! yaani hiyo blog imejaa wanawake wa facebook na kwanini sio marafiki wanaume wa facebook, halafu nimeshangazwa na kujiuliza wewe ndio ulikuwa uwe mbunge wa EA ukituwakilisha???? mbona balaa hili ! cheni nje nje kifua wazi maana ni mambo ya wauza unga hayo! mbona Tanzania kuna mambo !!!! hebu kwanza jaribu kumature na ubadilike halafu ndio urudi kwenye ulingo wa siasa! unamuonesha nani hiyo cheni? umeniudhi !!!!!
willie fanya mazoezi..umenenepa kama taahira!
Mpaka anaota manyonyo bana
Yaani hili jamaa puuzi kweli, mimi huwa silielewi lipo kama lina mambo ya kichoko choko vile, hawezi kuwa hapumuliwi kisogoni, hayo maudhui ya kwenye blog yake yana msaada gani kwa jamii ni kama vile udaku udaku na tabia za kina mashostito.
h aha a nimeitembelea kweli willie huna kazi ya kufanya arifu..karibu tena mosshi
ya fb jf wap na wapi?Wadau, nimeshindwa kumuelewa huyu mwenzetu, aliyekuwa anatarajiwa kuwa Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki, kaka yetu, mdogo wetu William. Yaani kwenye facebook wall yake anajaza picha za mademu eti mara wapo Washington DC mara wa Tanzania. Sasa nashindwa kumuelewa huyu jamaa.
Ona hii hapa
Source:Malecela Blog: MREMBO WA DC AFUNIKA BLOG!