Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
- Ushauri mzuri nimeufanyia kazi bro, ubarikiwe!
William.
Sande Mkuu, ubarikiwe nawe pia.
- Ushauri mzuri nimeufanyia kazi bro, ubarikiwe!
William.
Yule jamaa kwa kumtazama tu unajua kilaza na ndo mana babake alimpeleka unaharia mana alijua ni mzigo kwa familia..!! haya ndo mamb0 anayopenda kuuza sura na akina sinta..!!
View attachment 54338
Big Up,
Mimi sielewi matatizo ya watu yeye ana Niche yake anatafuta sio lazima ifanane na ya michuzi, mjengwa, au full shangwe , its all about Visitors, Visits in webtrends , mtu hujalazimishwa kuingia tuko watu tunaoinigia kila siku maana anachanganya vitu tofauti bigs up , hatutaki blog ambayo tunajua tutakuta nini , siku zingine chadema , CCM , watoto wa Mujini enzi zile that really good, keeps your numbers up , tnen when they are really up contact me for Webtrends analysis then unawazoa kwa nyavu sio ndoano , tunahitaji kuona hao madada pia waongeze tuu na mimi na kama tungekuwa na umri wa hao wanaoangalia hizo za wanawake wengi wao ni above 40
Mhhh! sidhani kama hili litawezekana..kuna mapungufu meeeeeeeeeengiiiiiiiiiiiiiiiiii kwa chama cha magamba
...Kujifagilia tayari kwa kinyang'anyiro cha 2015 kule jimboni.
Aaaargh akili yako na umri wako haviendani yaani lazima ukizeeka utakuwa mchawi tu, maana mpaka leo unawaza taste ya picha ni wanawake waliojikaliakalia tu, bora huu upuuzi wako unge-MP mkamalizana maana hapa unatujulisha na sisi jinsi ubongo wako ulipoishia
Big Up,
Mimi sielewi matatizo ya watu yeye ana Niche yake anatafuta sio lazima ifanane na ya michuzi, mjengwa, au full shangwe , its all about Visitors, Visits in webtrends , mtu hujalazimishwa kuingia tuko watu tunaoinigia kila siku maana anachanganya vitu tofauti bigs up , hatutaki blog ambayo tunajua tutakuta nini , siku zingine chadema , CCM , watoto wa Mujini enzi zile that really good, keeps your numbers up , tnen when they are really up contact me for Webtrends analysis then unawazoa kwa nyavu sio ndoano , tunahitaji kuona hao madada pia waongeze tuu na mimi na kama tungekuwa na umri wa hao wanaoangalia hizo za wanawake wengi wao ni above 40
Yule jamaa kwa kumtazama tu unajua kilaza na ndo mana babake alimpeleka unaharia mana alijua ni mzigo kwa familia..!! haya ndo mamb0 anayopenda kuuza sura na akina sinta..!!
View attachment 54338
offcourse ukiweka picha za mapaja ya wadada utapata hata watu milioni mia mbili kwa siku..naona unashindana na Mange ..big up na hongera ..kidumu chama cha mapinduzi- Mkuu saafi sana umeona hii pic na JLO wa bongo, people naomba kuwashukuru sana yaani blog is doing great average ya watu 2400 kwa siku katika siku 5 tu za kuwa hewani watu 11,000 tayari inatia moyo sana nawaomba tuwe hivyo hivyo pamoja sana, tutaifungua rasmi karibuni sana, MBARIKIWE NA MUNGU WA MBINGUNI!
William.
Kigumu!!!offcourse ukiweka picha za mapaja ya wadada utapata hata watu milioni mia mbili kwa siku..naona unashindana na Mange ..big up na hongera ..kidumu chama cha mapinduzi
Nimeipenda haukuonyesha itikadi za familia yako,
ningependa kuwa member lakini nimeshindwa kujisajili,
nitaendelea kuisoma mara kwa mara kwa kuwa nimeiweka
kwenye favorites zangu.