rmashauri
JF-Expert Member
- Jan 29, 2009
- 3,011
- 454
mbukwenyeeeeeee........
Muhenyenyi,
Chikulyaki? Badodo basano?
Agwe, chibite kusaka malenga,
Lol! I miss Kigogo
mbukwenyeeeeeee........
Ataboresha pole pole at time goes na ushauri wako pia unaweza kuwa msaada kwa yeye kuboresha blog yake
Jamani hebu muhurumieni mtoto wa binadamu mwenzenu, msimpe za uso namna hiyo bana, huwezi jua 2016 akawa ndo j.k wenu.
....FA kujifagilia ndani ya magamba kisha watampigia debe la nguvu kule Mtera ili achukue jimbo 2015. Wapiga kura wa Mtera wakishapewa ubwabwa, pilau na kanga na kofia za rangi za Yanga hawatatia neno.
Hilo jimbo litasikia maendeleo kwa mbaliiii, wakimchagua mbu mbu mbu kama huyu!
- Karibu kule bro, bado hatujamaliza kazi ya kuisimamisha lakini soon itakuwa, karibu sana mkuu!
William.
Muhenyenyi,
Chikulyaki? Badodo basano?
Agwe, chibite kusaka malenga,
Lol! I miss Kigogo
- Karibu pia kwenye blog mpya!
William.
Yaani hili jamaa puuzi kweli, mimi huwa silielewi lipo kama lina mambo ya kichoko choko vile, hawezi kuwa hapumuliwi kisogoni, hayo maudhui ya kwenye blog yake yana msaada gani kwa jamii ni kama vile udaku udaku na tabia za kina mashostito.
Yaani hili jamaa puuzi kweli, mimi huwa silielewi lipo kama lina mambo ya kichoko choko vile, hawezi kuwa hapumuliwi kisogoni, hayo maudhui ya kwenye blog yake yana msaada gani kwa jamii ni kama vile udaku udaku na tabia za kina mashostito.