Karibu ndugu tupo wengi sana humu, wa chama chetu! UKWELI UNAUMA SANA MKUU, CCM IMECHOKA!Jana Makamu wetu Pius msekwa alituambia kuwa jamii forums inakipaka matope chama chetu.
Baada ya kuulizia kwa wafanyakazi wenzangu,jamiiforums ni kitu gani,,nimefanikiwa kuelezwa na kujiunga rasmi leo.
Nimesoma post zote, mbona sione uchochezi wowote?
Jana Makamu wetu Pius msekwa alituambia kuwa jamii forums inakipaka matope chama chetu.
Baada ya kuulizia kwa wafanyakazi wenzangu,jamiiforums ni kitu gani,,nimefanikiwa kuelezwa na kujiunga rasmi leo.
Nimesoma post zote, mbona sione uchochezi wowote?