"IGA ya DPW imetusaidia sana kujitambua. Tuna wanasheria wa Aina Gani!, Bunge na Serikali yetu, Ilipitishaje IGA Hii?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,503
113,614
Wanabodi,
Mimi mwenzenu ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea pia kwa kujitolea, nimehudumu kwenye sekta ya habari kwa takriban zaidi ya miaka 30, hivyo jicho langu limeona mengi, linaona mengi, na litaendelea kuona mengi, hivyo kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi zinazo kwenda kwa jina la Kwa Maslahi ya Taifa zenye maswali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kisha majibu utayatoa wewe mwenyewe msomaji!.

Angalizo.
Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo muhimu!, hili ni bandiko la swali na sio bandiko la statement!. "Hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!". Swali ni Je Bunge letu nalo, licha kushehenezwa na wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu nalo pia ni Bunge la ajabu?, linawezaje kupitisha na kuridhia vitu vya ajabu ajabu sana kama hii IGA ya DPW?. Na Serikali yetu pia, licha ya kuwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu, jee nayo pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya ajabu hivi ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective kisheria hata kwa Mwanafunzi wa sheria wa mwaka wa kwanza, vipengele vya hii IGA viliwezaje kupitishwa bila kuwa noted or detected na hii IGA ika sail through serikalini undetected na sasa ime sail through Bungeni the same?!. What type of HGA tunayo anticipates kutokana na IGA ya kihivi?.

Umuhimu wa Angalizo
Umuhimu wa angalizo hili ni mimi mwenzenu huko nyuma niliwahi kuandika makala fulani kuulizia jambo fulani, HAPA na HAPA Mhe. Mbunge kilaza mmoja, HAPA akaisoma makala yangu bila kuiona ile alama ya kuuliza na kunituhumu kuwa nimetoa statement fulani, akanishitaki kwa Spika, nikaitwa Dodoma kuhojiwa mbele ya kamati fulani!, HAPA nikaitika wito, nilipowaonyesha ile alama ya kuuliza, kesi ile iliishia pale!, hivyo sitaki tena kuandika kitu kisha nikaitwa kujieleza popote ndio maana natoa angalizo hili mapema kabisa, hapa sijatoa statement yoyote ni nimeuliza tuu maswali!.

Mjadala wa IGA ya DPW na Bandari zetu bado umeshika kasi, huku ukijadiliwa kwenye fronts mbili kuu, front ya kwanza ni mijadala ya kisiasa, kwa wanasiasa mbalimbali kujitokeza kutoa hoja zao za kisiasa kwa kuita waandishi wa habari.

Front ya pili ni mijadala ya kisheria kwa wanasheria mbalimbali kujitokeza kutoa maoni yao ya hoja za kisheria, wakiongozwa na maoni ya Chama cha Mawakili Tannganyika, TLS, wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama Prof. Issa Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, Jaji Joseph Sinde Warioba, Tundu Lissu na wanasheria mbalimbali.

Wale wenye fedha zao, wataita waandishi ukumbi wa hoteli fulani na kuwakirimu waandishi wa habari, na wale wenzangu na mimi, akina Apeche Alolo, ama watawaita waandishi majumbani mwao, au kutoa maoni yao kupitia Club House.

Tangu sakata hili la IGA ya DPW liibuke, mimi msimamo wangu ni ule ule haujawahi kuyumba, kama tumeshindwa kuiendesha Bandari yetu kwa ufanisi, hivyo hakuna ubaya wowote kusaidiwa! HAPA

Nikasisitiza kitu kilichohitajika ni uelimishaji umma na ushirikishwaji wa Watanzania, mambo ambayo hayakufanyika watu wakaona tuu MoU zinasainiwa Dubai wakati wa Expo Dubai ile February 2022, IGA ikasainiwa kimya kimya October 2022, kisha kuletwa Bungeni kuridhiwa June 2023!. Hizi kelele za Watanzania kulalamikia IGA, mimi zikanishangaza HAPA

Juzi Ijumaa, Jukwaa la Wahariri wakawaalika wahusika wakuu wa IGA ile wakiongozwa na Waziri husika, akiandamana na wanasheria kutoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali, ndipo nami kwavile pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikashuhudia ukilaza wa ajabu kabisa kwenye tasnia yetu ya sheria!. Hii IGA imechambuliwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama TLS, Prof. Shivji, Prof. Anna Tibaijuka, Dr. Rugemeleza Nshala, na wengine wengi, ikakutwa ina matatizo lukuki, huku TLS wakiainisha kifungu kwa kifungu na kutoa mapendekezo ya namna ya kutatua, kwenye timu ya TLS, ilijumuisha Mwanasheria nguli number moja Tanzania wa Investment law, Dr. Hawa Senare, ambaye ni pia ni mhadhiri wa sheria, wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, halafu serikali wanatuletea wanasheria wa kawaida tuu kuja kujibu hoja nzito za kisheria!.

Majibu mepesi ya wanasheria hawa wa Government Team, yamepelekea akina sisi watu wa kuhoji, ku search majina yao kwenye mtandao wa TLS, wengine majina yao hayapo!. Hili la serikali kutuletea wanasheria wanaotoa majibu mepesi kwenye hoja za kisheria kumepelekea wanasheria hawa kuonekana kama vilaza fulani, na kitendo cha majina yao kutoonekana kwenye list ya wanasheria wanaotambulika rasmi, inawezekana hawa ni miongoni mwa wale wanasheria makaratasi, waliofeli LST, wala sio mawakili, inawezekaje mtu asiyetambuliwa na TLS kutuongozea timu za majadiliano ya government negotiation team ya hii IGA?!, unategemea nini?!. ( Hapa naomba mliosoma na wanasheria hawa kwenye LL.B, mjitokeze kututhibitishia hawa ni wahitimu kweli wa sheria, maana usije kuta tuna watu fake wamejipenyeza!).

Sasa Wanasheria hawa anaonekana kama vilaza fulani, wanapoibuka na kusema hii IGA ni safi, nzuri na haina matatizo yoyote!, hii ni kumaanisha, TLS na wanasheria manguli wote wanaosema hii IGA ni matatizo, ndio vilaza?!...kweli?!.

Mimi nami kama mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikatoa maoni yangu HAPA

Kule nyuma niliwahi kuuliza Madudu haya ya ajabu ya kisheria yaliweza kufanyika vipi wakati tuna Wanasheria?, sasa ndio naanza kupata majibu, inawezekana kabisa Tanzania tuko hapa tulipo kwasababu ya wanasheria wa type hii, serikali yetu inaonekana ni serikali ya ajabu kwasababu ya wanasheria wa type hii!, na Bunge letu inaonekana ni Bunge la ajabu kwasababu ya wabunge wa type hii!.

Wakati wa kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Zanzibar ile mwaka 1984, kulikomuondoa Abdul Jumbe aliyekuwa rais wa Zanzibar na nafasi yake kuchukuliwa na Ali Hassan Mwinyi, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, alikuwa sio mtu wa mchezo mchezo!, aliwahi kusema, "Wanasheria ni watu wabaya sana" sikumbuki alimaliziaje, ila kwenye hilo sakata, aliyeshughulikiwa, sio rais wa Zanzibar pekee, aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar wa wakati huo, Wolfgang Dourado, pia alishughulikiwa kikamilifu!.

Wakati wa Bunge la Katiba, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, ambaye sasa ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman, kwa jina maarufu la OMO, naye alileta za kuleta kule Dodoma, wakati wa upigaji kura kupitisha katiba pendekezwa. Sisi washauri wa bure tukashauri Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii

Kwenye hili sakata la IGA ya DPW, mimi naungana na Baba wa taifa kwa kusema "Wanasheria vilaza ni watu wabaya na hatari sana kwa taifa letu!".

Ni wanasheria hawa ndio wametufikisha hapa kwenye hili la hii IGA ya DPW!, wanasheria ndio the source ya mikataba yote mibovu and in fact ni wanasheria ndio the source of katiba hii mbovu iliyopo ambayo licha ya kuwa ni katiba mbovu, pia imenajisiwa kwa kuchomekewa ubatili HAPA

Kwa hoja hizo, hakuna ubishi kuwa tuna wanasheria vilaza wa ajabu!, swali sasa jee serikali yetu pia ni serikali ya ajabu?, na Bunge letu Tukufu pia ni Bunge la ajabu kupitisha mambo ya ajabu ajabu?.
  1. Naomba nianze na Serikali yetu inajua kabisa kuwa Bandari ina falls kwenye sheria hii https://www.madini.go.tz/media/Natural-Wealth-and-Resources-Permanent-Sovereignty-Act-2017.pdf iliwezaje kuruhusu hii IGA yenye vipengele vinavyokwenda kinyume cha sheria zetu?.
  2. Sheria ikiishapitishwa ni ipo, kupitisha jambo lolote linanalokwenda kinyume cha sheria iliyopo, jambo hilo ni illegal. Kifungu ni hiki
    1689505859192.png
    Mwanasheria yeyote makini hawezi kujadiliana na yeyote jambo lolote ambalo ni kinyume cha sheria za nchi!, this renders this IGA, illegal!.
  3. Jambo ambalo lingepaswa kufanyika ni kwa serikali yetu kubadili kwanza sheria zetu kisha ndio kuipitisha hii IGA!.
    • kama itakuwa applicable retroactively kwa mikataba hii ya kinyonyaji iliyopo sasa, then Tanzania tutakuwa automatically tumevunja mikataba yote ya uwekezaji kwenye maliasili zetu!, hakuna tena kutishiwa kushitakiwa popote nje ya Tanzania, hakuna cha IICD wala cha MIGA, mambo yote sasa ni kwa sheria zetu za JMT. Huu ndio uzalendo, huu ndio uanamume, na kama hawataki kufuata sisi wenye mali tunachotaka, bora wafungashe, virago vyao na wakwende zao!.
    • But hapa naomba tuambiane ukweli, jee sisi Tanzania, tunao uwezo huo?, can we stand?. Do we have the guts and the capacity to challenge them?. Nyerere alijaribu kwenye nationalization na matokeo tunayajua, jee Magufuli atasimama na hii Magufulification na Magufulinaization yenye kila dalili za pseudo dictatorship into full dictatorship, ambazo the rule of law sio issue sana kivile?,
    • ikibidi kuzibadili sheria zetu ili zitufaidie sisi, then tunazibadili bila kujadiliana na yeyote na hata kama kuna atakayeathirika na mabadiliko haya, potelea pote, kwanza tubadili ndio tuje tukae mezani kutafuta a win win situation kwa kutumia sheria mpya!. Hili litawezekana?.
    • Kwavile wengi humu ni vijana wadago, kwa sisi wazee wa umri wangu, tunakumbuka vita ya uhujumu uchumi ya Edward Sokoine, kwanza wahujumu uchumi walikamatwa wakatiwa ndani, kisha Bunge letu likatunga sheria ya uhujumu, kisha sasa tukaitumia sheria hiyo mpya kuwahukumu wahujumu hao, kuna watu wanajua what happened to Sokoine?.
    • Kwa umasikini wetu huu, with a very poor intelligence, Tanzania do we have the ability and the capacity kum protect Magufuli ili ayatekeleze haya? Mtu asije akatafutiwa sababu akaondoshwa watu tukabaki tumeduwaa!.
    • Baada ya Sokoine kuondoshwa, wanamume walitinga mahakamani, Mahakama Kuu ilitupilia mbali kesi zote, serikali ikashindwa vibaya, na kudaiwa fidia ya mabilioni na ikatamkwa wazi kuwa sheria hiyo ni batili!.
    • Sasa tumetunga tena sheria nyingine batili!, Mtunga sheria mkuu wa sheria hii ni mwalimu wangu Prof. Kabudi aliyetufundisha kuhusu retroactive laws ni bad laws!.
    • Tanzania tunafuata mtindo wa sheria wa nchi za Jumuiya ya Madola ambayo unataka sheria iwepo kwanza ndipo ukiivunja unakuwa umetenda kosa, ili kosa lifanyike, lakini kwanza sheria iwepo kutamka jambo fulani ni kosa. Lakini kama jambo fulani wakati linafanyika halikuwa kosa, lakini huwezi kutunga sheria na kutekekezwa retroactively.
    • Naomba kuwaandaa kisaikolojia kuwa baadhi ya vipengele vya sheria hii mpya ya madini na Rasilimali za Taifa zina vipengele batili, ama soon zitarudishwa Bungeni kufumuliwa, na kurekebishwa ama ikilazimishwa kutekelezwa kwa lazima, Tanzania tunakwenda kupigwa mwereka mahamani mapema asubuhi!.
    • Lakini kama sheria hizi mpya, zitaanza kutumika kwa mikataba mipya itakayoingiwa kuanzia sasa, baada ya kuwepo kwa vipengele hivi, then Watanzania wenzangu, wala tusishangilie saana kivile, kwa sababu, tutaendelea kuibiwa kupitia mikataba mibovu iliyopo mpaka ama imalizike, ama tukae mezani ku renegotiate na wawekezaji hawa ambao baadhi yao ni wanyonyaji, wanaweza kabisa wakagoma ili kuhakikisha kuwa wame extract madini yetu yote, na gesi yote na Tanzania tukaachiwa tuu mashimo!.
    • Ili sheria hii iwe na maana ni lazima ianze kutumika kuanzia sasa ilipopitishwa, ila kwa vile sheria huwa hazi act retroactively, kwa mikataba iliyofungwa kabla ya sheria hii, inakuwa haifungwi na mabadiliko haya, wanasheria mliopo humu tusaidieni, jee vipengele hivi vipya, havivunji mikataba iliyopo inayotaka usuluhishi kwanye vyombo vya kimataifa?.
    • Jee nini hatma ya Tanzania kwenye mikataba ya kimataifa tulioridhia ikiwemo MIGA?.
    • Nini hatima ya Tanzania katika uwekezaji kupitia FDI?, wenye fedha zao kweli watakuwa tayari to take such risks?.
    • Jee tushangilie tuu, au pia tujiulize na the consequences, jee Tanzania tuna guts to stand the international pressures za mabeberu hawa, ama tunapitisha tuu sheria hizi kwa mbwembwe, lakini hatuna uwezo wala jeuri ya kuzitekeleza na ama soon kibano kikitufika, tutaufyata kwa kuzirejesha Bungeni kufumuliwa na kurekebishwa ili kuheshimu mikataba ya kinyonyaji iliyopo!, na amini usiamini, hakuna mwekezaji yoyote wa kimataifa atakubali kuja kuwekeza kwenye nchi yenye sheria za ajabu kama hizi!.
    • Ushauri wa The Best Way Forward ni Renegotiation to Reach A Win Win Situation
      Kupitisha sheria mpya kwa hati ya dharura bila ushirikishwa ni kosa, maadam tumeisha fanya kosa, kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa!. Hivyo huu ni ushauri wangu wa the best way forward kwa situation iliyopo ni kukaa mezani na wawekezaji wote tuliosaini nao mikataba kabla ya sheria hii mpya kupitishwa, kuwapigia magoti, kuwaomba wakubali kupitia upya mikataba yao katika win win situation, sisi tupate na wao wapate, hii ya kulazimishana.
    • Nawaombeni sana msishangilie na kumvimbishwa kichwa rais Magufuli kuwa tunaweza kila kitu, tuwalazimishe lazima wafuate tunachotaka sisi wenye mali, asiyetaka na afungashe, aondoke!, jee tunaweza?, tunayo jeuri hii?. Kuna watu kama Billy Gates au Dangote, akikohoa tuu, nchi zinatetemeka!, can we stand?.
    • Kitakacho Tokea
      Kitakacho tokea ni ama baadhi ya vipengele vya sheria hizi mpya vitapuuzwa, ama ili kuepuka aibu ya kupitisha sheria mbovu kwa mbwembwe, serikali itapeleka kimya kimya, marekebisho ya baadhi ya vipengele vya sheria hii, kikiwepo hicho kipengele cha arbitration, kitaondolewa ili kurejesha confidence kwa wawekezaji. Kwenye hili, time will tell, kama Nyerere na Sokoine walikuwa ni wakali ukweli ukweli, lakini walishindwa, hivyo kwenye hili la sheria kutekelezwa kwa retroactively, naowaomba mimi niwe mkweli bayana wa nafsi yangu, Mwalimu wangu Prof. Kabudi na wanasheria wake, waliotunga sheria hii kwa mtindo wa zimamoto, wamemdanganya rais Magufuli kwa kumtungia sheria yenye vipengele vya ajabu, halafu rais aka assent, then sheria hii itashindwa kutekelezwa, hivyo soon watapeleka marekebisho Bungeni na kumrudia rais a assent marekebisho hayo, na hili likitokea, naombeni hoja za bandiko hili zizingatiwe, Tanzania tutaonekana ni nchi ya ajabu, tunatunga sheria za ajabu kwa mbwembwe, tunazipitisha kwa mbwembwe, rais wetu ana zi assent kwa mbwembwe, lakini katika utekelezaji ndipo tunajikuta kumbe Bunge letu, na serikali yetu, iliyosheheni wanasheria manguli tena wengine ni waalimu wetu wa sheria wa chuo chetu kikuu cha Dar es Salaam ambao sisi tulipokuwa wanafunzi tukisomea sheria, waalimu hawa ndio waliotufundisha kuwa sheria yoyote inayotungwa kama ita act retroactively is a bad law, it's illegal, lakini leo, waalimu hawa hawa ndio wamegeuka wanasiasa na wao sasa ndio hawa wametunga illegal law, wakaipitisha, wakampelekea rais akaisaini ianze kutumika, huku wanajua fika retroactively law is illegal law kwenye jumuiya ya Madola, lakini bado wamepitisha, sasa siku ya kurejea Bungeni kuyarekebisha haya madudu yao ya kisheria, hizi sura zao wataziweka wapi?.
  4. Kwenye hii IGA, hoja za Prof. Shivji zina mashiko, kuwa mkataba umeegemea upande mmoja, serikali yetu ndio yenye wajibu, na sio DPW!. Tumeingia makubaliano na Dubai, ambayo sio sovereign, kukitokea mgogoro wa kushitaki kimataifa, Tanzania tunaweza kushitakiwa kwa international instruments, kwasababu Tanzania ni member wa Geneva Convention, Vienna Convention of the law of treaties lakini Dubai sio member, haipo kwasababu Dubai sio nchi. Kama DPW ndio watatukosea, Tanzania tutawashitaki wapi wakati Dubai sio member wa Geneva Convention, sio signatories wa international treaties?!. Member kule ni UAE!. Kwenye ile IGA, hakuna popote UAE, imetoa Power of Attorney kwa Dubai!, hivyo Tanzania kama nchi, tumeingia mkataba na an entity which has no capacity to contract an international treaty!. DPW wangesainiana tuu na TPA na kumalizana juu kwa juu!.
  5. Sasa nije kwa Bunge letu Tukufu, Bunge letu limeipokeaje hii IGA lilaipitisha licha ya illegality?. kwanye mikataba ya kimataifa, international treaties, the role of Bunge ni kuridhia tuu, mikataba, yaani ratification, kui ratify ili kui domesticate kuwa sehemu ya sheria zetu. Hii IGA ya DPW na Bandari zetu ni an agreement na sio mkataba!, an agreement inakwenda kufanya nini Bungeni?!.
  6. Hiki ndicho Bunge letu Tukufu limekifanya kwenye hii IGA!. Sasa uliita Bunge letu hili ni Bunge la ajabu lenye vilaza wa sheria na kanuni, utakuwa unalionea?.
  7. Lilichofanya Bunge letu ni ku rubber stamp tuu hii IGA!, kama hii IGA sio mkataba ni makubaliano, imekwenda kufanya nini Bungeni?!. Ukiliita Bunge letu Tukufu ni Bunge rubber stamp utakuwa unalionea?!.
  8. 1689509498658.png
    Kabla waheshimiwa wabunge wetu kujadili mkataba huu, sisi washauri wa bure tuliwashauri kabla!. Wabunge Wetu, Macho ya Watanzania Wote Leo ni Kwenu!. Maslahi ya Taifa Mbele!. Tuwaogope Kama Ukoma Muflis Hawa!, Kama Huwezi, ni Lazima Usaidiwe Tuu! kwa vile walifanya kinyume, tuna haki ya kuwabalasa!.Kwa mujibu wa sheria hii, the role of Bunge sio ratification na ku rubber stamp, the role of Bunge ni ku reviwes na kutoa mapendekezo!.
  9. Hii sio mara ya kwanza kwa Bunge letu kupitisha vitu vya ajabu ajabu kitutusa!. Kwenye ule mgogoro wa CAG, Prof.Assad, Bunge letu lilipitisha Azimio batili, nikawaambia Azimio lile ni batili, Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? Bunge wakakomaa wakapitisha kwa mbwembwe! Azimio batili!.
  10. Baada ya kupitisha nikawaeleza kuwa ni lazima waipokee ripoti ya CAG wasipoipokea Bunge linavunjwa!. Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba
  11. Ndipo lile Azimio lao batili wakaliondoa kimya kimya na wakaipokea Ripoti ya CAG kimya kimya!. Sasa Bunge la aina hii ukiliita Bunge full of vilazaz kwa lugha ya rafiki yangu Le Mutuz (RIP) Bunge la the mbululaz!, tutakuwa tunalionea Bunge letu na tunawaonea waheshimiwa wabunge wetu?.
Hitimisho
Nimalizie kwa wanasheria wetu na wanasheria wenzangu. Prof. Shivji anasema hii IGA ina matatizo, TLS wanaainisha kabisa vifungu, halafu wewe mwanasheria kinda, unaibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo!, with all illegality nilio ainisha hapa, bado unathubutu kuibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo?.

Leo nimeandika makala kwenye gazeti la Nipashe, kwa kutoa rai kwa serikali, kuzijibu kisheria hoja za kisheria na tuufunge huu mjadala

Uzalendo wa kweli ni nia ya dhati kuisaidia nchi yako, kumsaidia rais wako, kuisaidia serikali yako, unapona jambo halijakaa vizuri, unakosoa na kushauri the right thing to do. Mimi nimekosoa na pia nimeshauri kuwa hata kama hii IGA ni tunabakwa, Mwanamke mgumba akibakwa, akapata ujauzito, atampenda mbakaji! Wajua Kuna Ndoa Halali, Batili na Batilifu?. Ndoa ya TPA na DPW, ni Ubakaji?. Wajua Ubakaji unaweza kuwa Halali?. IGA Batili Yaweza kuzaa HGA Halali?.
A Way Forward.
  1. First and foremost serikali ijibu kisheria hoja zote za kisheria zilizoibuliwa kupinga hii IGA, na sio kujibu hoja za kisheria kwa majibu ya kisiasa.
  2. Kwa vile hii sii mara ya kwanza, tumetunga sheria ipo halafu serikali yetu inatuletea mikataba kinyume cha sheria!, kama tumeona sheria hazifai, tuzibadili kwanza sheria ndipo tuingie mikataba!.
  3. Kwa vile hii IGA imeisha sainiwa na kuridhiwa na Bunge letu, hii maana yake ni HGA inafuata. Nashauri hiyo HGA iwe as transparent as hii IGA ili tuone maoni ya wananchi yamejumuishwa.
  4. Imeelezwa itaundwa kampuni ya ubia na itasajiliwa Tanzania, kisha 35% shares zitakuwa floated for public. Hizo shares zikiuzwa kupitia soko la hisa, DSE, then watu wenye the purchasing power ni wale wale matajiri, nashauri hizo shares zihodhiwe na mifuko ya hifadhi za jamii ya NSSF na PSSSF, ili waitumie faida kuanzisha hifadhi ya jamii kwa wote.
  5. Tubadili sheria zetu, mikataba yote ya rasilimali za taifa iidhinishwe na Bunge na sio kuridhiwa tuu.
  6. Bunge letu libadilike, liache kuwa ni Bunge rubber stamp la kupitisha tuu kitutusa kila kinacholetwa na serikali yetu mbele yake!. Sometimes serikali yetu inafanya madudu ! sasa Bunge linapoletewa madudu kama hili dubwana, au dubwasha na kulipitisha kitutusa, Bunge letu litakuwa na tofauti gani na Sultan Mangungo wa Msovero?.
  7. Bunge letu liache kuwa ni Bunge kibogoyo lisilo na meno!. Maadam sheria imelipa Bunge the power to review, then Bunge litimize wajibu wake kikamilifu!.
  8. Wanasheria, tuheshimiane, na kuheshimu professionalism na wanataaluma manguli wabobezi na wabobevu na kuheshimu maoni ya vyama vya kitaaluma, kama TLS, hii itazuia kuitana vilaza na mbululaz!.
  9. Kwangu mimi hii IGA ya DPW na Bandari yetu ni issue ndogo!, kuna ma issues makubwa, muhimu zaidi kama ubatili ndani ya katiba yetu unaonyima haki Watanzania, watu wako kimya!, halafu issue ndogo hii ya Bandari kelele mpaka karibu mbinguni!.
  10. Nimalizie kwa lile swali la msingi la bandiko hili kuwa hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa zenye maswali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kisha majibu utayatoa wewe mwenyewe!.

Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo!, hili ni bandiko la swali na sio bandiko la statement!. "IGA ya DPW I
imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!. Umuhimu wa angalizo hili ni mimi mwenzenu huko nyuma niliwahi kuandika makala fulani kuulizia jambo fulani, Mhe. Mbunge kilaza mmoja, akaisoma makala yangu bila kuiona ile alama ya kuuliza na kunituhumu kuwa nimetoa statement fulani, Spika ikambidi kuniita Dodoma mbele ya kamati, nilipowaonyesha ile alama ya kuuliza, kesi ile iliishia pale, hivyo sitaki tena kuandika kitu kisha nikaitwa kujieleza ndio maana natoa angalizo kabla.

Mjadala wa IGA ya DPW na Bandari zetu bado umeshika kasi, huku ukijadiliwa kwenye fronts mbili kuu, front ya kwanza ni mijadala ya kisiasa, kwa wanasiasa mbalimbali kujitokeza kutoa hoja zao za kisiasa kwa kuita waandishi wa habari.

Front ya pili ni mijadala ya kisheria kwa wanasheria mbalimbali kujitokeza kutoa maoni yao ya kisheria, wakiongozwa na maoni ya Chama cha Wakili Tannganyika, TLS, wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama Prof. Issa Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, Jaji Sinde Warioba, Tundu Lissu na wanasheria mbalimbali

Wale wenye fedha zao, wataita waandishi ukumbi wa hoteli fulani na kuwakirimu waandishi wa habari, na wale wenzangu na mimi, akina Apeche Alolo, ama watawaita waandishi majumbani mwao, au kutoa maoni yao kupitia Club House.

Tangu sakata hili la IGA ya DPW liibuke, mimi msimamo wangu ni ule ule haujawahi kuyumba kwa tumeshindwa kuiendesha Bandari yetu kwa ufanisi, hivyo hakuna ubaya wowote kusaidiwa!.

Nikasisitiza kitu kilichohitajika ni uelimishaji umma na ushirikishwaji wa Watanzania, mambo ambayo hayakufanyika watu wakaona tuu MoU zinasainiwa Dubai wakati wa Expo Dubai ile February 2022, IGA ikasainiwa kimya kimya October 2022, kisha kuletwa Bungeni kuridhiwa June 2023!.

Juzi Ijumaa, Jukwaa la Wahariri wakawaalika wahusika wakuu wa IGA ile wakiongozwa na Waziri husika, akiandamana na wanasheria kutoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali, ndipo nami kwavile pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikashuhudia ukilaza wa ajabu kabisa kwenye tasnia yetu ya sheria!. Hii IGA imechambuliwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama TLS, na Prof. Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, ikakutwa ina matatizo lukuki, halafu wanatuletea wanasheria vilaza tuu waliofeli LST, hivyo wala sio mawakili, kutuongozea majadiliano ya hii IGA, wanaibuka na kusema hii IGA ni nzuri na haina matatizo yoyote!, kweli?!.

Kule nyuma niliwahi kuuliza
sasa ndio naanza kupata majibu, inawezekana kabisa Tanzania tuko hapa tulipo kwasababu ya wanasheria wa type hii, serikali yetu inaonekana ni serikali ya ajabu kwasababu ya wanasheria wa type hii!, na Bunge letu inaonekana ni Bunge la ajabu kwasababu ya wabunge wa type hii!.

Wakati wa kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Zanzibar ile mwaka 1984, kulikomuondoa Abdul Jumbe aliyekuwa rais wa Zanzibar na nafasi yake kuchukuliwa na Idris Abdul Wakili, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alisema, "Wanasheria ni watu wabaya sana" sikumbuki alimaliziaje, ila kwenye hili sakata la IGA ya DPW, mimi naungana na Baba wa taifa kwa kusema "Wanasheria Vilaza ni Watu Wabaya Sana", ndio wametufikisha hapa kwenye hili la hii IGA ya DPW!.

  1. Naomba nianze na Serikali yetu inajua kabisa kuwa Bandari ina falls kwenye sheria hii iliwazaje kuruhusu hii IGA yenye vipengele vinavyokwenda kinyume cha sheria zetu?.
  2. Sheria ikiishapitishwa ni ipo, kupitisha jambo lolote linanalokwenda kinyume cha sheria iliyopo, jambo hilo ni illegality, hivyo hii IGA hapo ilipo it's illegal!.
  3. Jambo ambalo lingepaswa kufanyika ni kwa serikali yetu kubadili kwanza sheria zetu kisha ndio kuipitisha hii IGA!.
  4. Kwenye hii IGA, serikali yetu imeingia makubaliano na Dubai, ambayo sio sovereign, kukitokea mgogoro wa kushitaki kimataifa, Tanzania tunaweza kushitakiwa kwa international instruments, kwasababu Tanzania ni member wa Geneva Convention, lakini kama DPW ndio watatukosea, Tanzania tutawashitaki wapi wakati Dubai sio member wa Geneva Convention, member kule ni UAE!. Kwenye ile IGA, hakuna popote UAE, imetoa Power of Attorney kwa Dubai!, hivyo Tanzania kama nchi, tumeingia mkataba na an entity which has no capacity to contract a treaty!. DPW wangesainiana tuu na TPA na kumalizana juu kwa juu!.
  5. Ile 2017 wakati tunapitisha sheria hii, mimi niliuliza humu humu kuwa Tanzania tutaweza?.
  6. Sasa nije kwa Bunge letu Tukufu, kwanye mikataba ya kimataifa, international treaties, the role of Bunge ni kuridhia tuu, yaani ratification, kui ratify ili kui domesticate kuwa sehemu ya sheria zetu.
  7. Hiki ndicho Bunge letu Tukufu limekifanya kwenye hii IGA!. Sasa uliita Bunge letu hili ni Bunge la vilaza, utakuwa unalionea?.
  8. Lilichofanya Bunge letu ni ku rubber stamp tuu hii IGA!, ukiliita Bunge letu Tukufu ni Bunge rubber stamp utakuwa unalionea?!.
  9. Kwa mujibu wa sheria hii, the role of Bunge sio ratification na ku rubber stamp, the role of Bunge ni ku revives na kutoa mapendekezo!.
  10. Kabla waheshimiwa wabunge wetu kujadili mkataba huu, sisi washauri wa bure tuliwashauri kabla!. Kwa vile walifanya kinyume, tuna haki ya kuwabalasa!.
  11. Hii sio mara ya kwanza kwa Bunge letu kupitisha vitu vya ajabu ajabu kitutusa!. Kwenye ule mgogoro wa CAG, Prof.Assad, Bunge letu lilipitisha Azimio batili, nikawaambia Azimio lile ni batili, Bunge wakakomaa wakapitisha kwa mbwembwe!.
  12. Baada ya kupitisha nikawaeleza kuwa ni lazima waipokee ripoti ya CAG wasipoipokea Bunge linavunjwa!.
  13. Ndipo lile Azimio lao batili wakaliondoa kimya kimya na wakaipokea Ripoti ya CAG kimya kimya!. Sasa Bunge la aina hii ukiliita Bunge full of vilazaz kwa lugha ya rafiki yangu Le Mutuz (RIP) Bunge la mbululaz!, tutakuwa tunawaonea waheshimiwa wabunge wetu?.
  14. Nimalizie kwa wanasheria wetu na wanasheria wenzangu. Prof. Shivji anasema hii IGA ina matatizo, TLS wanaainisha kabisa vifungu, halafu wewe mwanasheria kinda, unaibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo, with all illegality nilio ainisha hapa, bado unathubutu kuibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo?.
  15. Leo nimeandika makala kwenye gazeti la Nipashe, kwa kutoa rai kwa serikali, kuzijibu kisheria hoja za kisheria na tuufunge huu mjadala
Hitimisho
Uzalendo wa kweli ni nia ya dhati kuisaidia nchi yako, kumsaidia rais wako, kuisaidia serikali yako, unapona jambo halijakaa vizuri, unakosoa na kushauri the right thing to do. Mimi nimekosoa na pia nimeshauri. Nimalizie kwa lile swali la msingi la bandiko hili kuwa hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Pascal wewe hueleweki. Mimi huwa sikuamini! Ukiitwa kuteuliwa huwezi kuwa na msimamo......umesaka kuteuliwa muda mrefu. Kama ukatili wa magufuli wooote uliuunga mkono, hupashwi kuaminiwa. SAWA NA DR SLAA, SIWEZI KUMWAMINI KATU! HANA ANALOLISIMAMIA NI TUMBO. ANAPIGA KELEL SASA AKIPEWA UBALOZI ANGEUKA , MSIMWAMINI
 
Pascal wewe hueleweki. Mimi huwa sikuamini! Ukiitwa kuteuliwa huwezi kuwa na msimamo......umesaka kuteuliwa muda mrefu. Kama ukatili wa magufuli wooote uliuunga mkono, hupashwi kuaminiwa. SAWA NA DR SLAA, SIWEZI KUMWAMINI KATU! HANA ANALOLISIMAMIA NI TUMBO. ANAPIGA KELEL SASA AKIPEWA UBALOZI ANGEUKA , MSIMWAMINI
Wewe unawaamini wachagga wenzako tu 😃
 
Halafu badala ya kujibu hoja kwa hoja wa vipengele wao wanajibu kisiasa tu...

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Pascal Mayalla wanasheria kwasababu umeona hawana cha kukufanya ndio umewaita vilaza, lakini bunge lililowahi kukuita na kukuhoji unaliogopa huku ukijua fika nalo limejaa vilaza wa kutisha, kuanzia na Spika, akifuatiwa na kina Musukuma, serikali inayoongozwa na kilaza namba moja nayo umeogopa kuitaja kwasababu bado unategemea kupata chochote toka kwake..
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa zenye maswali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kisha majibu utayatoa wewe mwenyewe!.

Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo!, hili ni bandiko la swali na sio bandiko la statement!. "IGA ya DPW I
imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!. Umuhimu wa angalizo hili ni mimi mwenzenu huko nyuma niliwahi kuandika makala fulani kuulizia jambo fulani, Mhe. Mbunge kilaza mmoja, akaisoma makala yangu bila kuiona ile alama ya kuuliza na kunituhumu kuwa nimetoa statement fulani, Spika ikambidi kuniita Dodoma mbele ya kamati, nilipowaonyesha ile alama ya kuuliza, kesi ile iliishia pale, hivyo sitaki tena kuandika kitu kisha nikaitwa kujieleza ndio maana natoa angalizo kabla.

Mjadala wa IGA ya DPW na Bandari zetu bado umeshika kasi, huku ukijadiliwa kwenye fronts mbili kuu, front ya kwanza ni mijadala ya kisiasa, kwa wanasiasa mbalimbali kujitokeza kutoa hoja zao za kisiasa kwa kuita waandishi wa habari.

Front ya pili ni mijadala ya kisheria kwa wanasheria mbalimbali kujitokeza kutoa maoni yao ya kisheria, wakiongozwa na maoni ya Chama cha Wakili Tannganyika, TLS, wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama Prof. Issa Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, Jaji Sinde Warioba, Tundu Lissu na wanasheria mbalimbali

Wale wenye fedha zao, wataita waandishi ukumbi wa hoteli fulani na kuwakirimu waandishi wa habari, na wale wenzangu na mimi, akina Apeche Alolo, ama watawaita waandishi majumbani mwao, au kutoa maoni yao kupitia Club House.

Tangu sakata hili la IGA ya DPW liibuke, mimi msimamo wangu ni ule ule haujawahi kuyumba kwa tumeshindwa kuiendesha Bandari yetu kwa ufanisi, hivyo hakuna ubaya wowote kusaidiwa!.

Nikasisitiza kitu kilichohitajika ni uelimishaji umma na ushirikishwaji wa Watanzania, mambo ambayo hayakufanyika watu wakaona tuu MoU zinasainiwa Dubai wakati wa Expo Dubai ile February 2022, IGA ikasainiwa kimya kimya October 2022, kisha kuletwa Bungeni kuridhiwa June 2023!.

Juzi Ijumaa, Jukwaa la Wahariri wakawaalika wahusika wakuu wa IGA ile wakiongozwa na Waziri husika, akiandamana na wanasheria kutoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali, ndipo nami kwavile pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikashuhudia ukilaza wa ajabu kabisa kwenye tasnia yetu ya sheria!. Hii IGA imechambuliwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama TLS, na Prof. Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, ikakutwa ina matatizo lukuki, halafu wanatuletea wanasheria vilaza tuu waliofeli LST, hivyo wala sio mawakili, kutuongozea majadiliano ya hii IGA, wanaibuka na kusema hii IGA ni nzuri na haina matatizo yoyote!, kweli?!.

Kule nyuma niliwahi kuuliza
sasa ndio naanza kupata majibu, inawezekana kabisa Tanzania tuko hapa tulipo kwasababu ya wanasheria wa type hii, serikali yetu inaonekana ni serikali ya ajabu kwasababu ya wanasheria wa type hii!, na Bunge letu inaonekana ni Bunge la ajabu kwasababu ya wabunge wa type hii!.

Wakati wa kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Zanzibar ile mwaka 1984, kulikomuondoa Abdul Jumbe aliyekuwa rais wa Zanzibar na nafasi yake kuchukuliwa na Idris Abdul Wakili, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alisema, "Wanasheria ni watu wabaya sana" sikumbuki alimaliziaje, ila kwenye hili sakata la IGA ya DPW, mimi naungana na Baba wa taifa kwa kusema "Wanasheria Vilaza ni Watu Wabaya Sana", ndio wametufikisha hapa kwenye hili la hii IGA ya DPW!.

  1. Naomba nianze na Serikali yetu inajua kabisa kuwa Bandari ina falls kwenye sheria hii iliwazaje kuruhusu hii IGA yenye vipengele vinavyokwenda kinyume cha sheria zetu?.
  2. Sheria ikiishapitishwa ni ipo, kupitisha jambo lolote linanalokwenda kinyume cha sheria iliyopo, jambo hilo ni illegality, hivyo hii IGA hapo ilipo it's illegal!.
  3. Jambo ambalo lingepaswa kufanyika ni kwa serikali yetu kubadili kwanza sheria zetu kisha ndio kuipitisha hii IGA!.
  4. Kwenye hii IGA, serikali yetu imeingia makubaliano na Dubai, ambayo sio sovereign, kukitokea mgogoro wa kushitaki kimataifa, Tanzania tunaweza kushitakiwa kwa international instruments, kwasababu Tanzania ni member wa Geneva Convention, lakini kama DPW ndio watatukosea, Tanzania tutawashitaki wapi wakati Dubai sio member wa Geneva Convention, member kule ni UAE!. Kwenye ile IGA, hakuna popote UAE, imetoa Power of Attorney kwa Dubai!, hivyo Tanzania kama nchi, tumeingia mkataba na an entity which has no capacity to contract a treaty!. DPW wangesainiana tuu na TPA na kumalizana juu kwa juu!.
  5. Ile 2017 wakati tunapitisha sheria hii, mimi niliuliza humu humu kuwa Tanzania tutaweza?.
  6. Sasa nije kwa Bunge letu Tukufu, kwanye mikataba ya kimataifa, international treaties, the role of Bunge ni kuridhia tuu, yaani ratification, kui ratify ili kui domesticate kuwa sehemu ya sheria zetu.
  7. Hiki ndicho Bunge letu Tukufu limekifanya kwenye hii IGA!. Sasa uliita Bunge letu hili ni Bunge la vilaza, utakuwa unalionea?.
  8. Lilichofanya Bunge letu ni ku rubber stamp tuu hii IGA!, ukiliita Bunge letu Tukufu ni Bunge rubber stamp utakuwa unalionea?!.
  9. Kwa mujibu wa sheria hii, the role of Bunge sio ratification na ku rubber stamp, the role of Bunge ni ku revives na kutoa mapendekezo!.
  10. Kabla waheshimiwa wabunge wetu kujadili mkataba huu, sisi washauri wa bure tuliwashauri kabla!. Kwa vile walifanya kinyume, tuna haki ya kuwabalasa!.
  11. Hii sio mara ya kwanza kwa Bunge letu kupitisha vitu vya ajabu ajabu kitutusa!. Kwenye ule mgogoro wa CAG, Prof.Assad, Bunge letu lilipitisha Azimio batili, nikawaambia Azimio lile ni batili, Bunge wakakomaa wakapitisha kwa mbwembwe!.
  12. Baada ya kupitisha nikawaeleza kuwa ni lazima waipokee ripoti ya CAG wasipoipokea Bunge linavunjwa!.
  13. Ndipo lile Azimio lao batili wakaliondoa kimya kimya na wakaipokea Ripoti ya CAG kimya kimya!. Sasa Bunge la aina hii ukiliita Bunge full of vilazaz kwa lugha ya rafiki yangu Le Mutuz (RIP) Bunge la mbululaz!, tutakuwa tunawaonea waheshimiwa wabunge wetu?.
  14. Nimalizie kwa wanasheria wetu na wanasheria wenzangu. Prof. Shivji anasema hii IGA ina matatizo, TLS wanaainisha kabisa vifungu, halafu wewe mwanasheria kinda, unaibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo, with all illegality nilio ainisha hapa, bado unathubutu kuibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo?.
  15. Leo nimeandika makala kwenye gazeti la Nipashe, kwa kutoa rai kwa serikali, kuzijibu kisheria hoja za kisheria na tuufunge huu mjadala
Hitimisho
Uzalendo wa kweli ni nia ya dhati kuisaidia nchi yako, kumsaidia rais wako, kuisaidia serikali yako, unapona jambo halijakaa vizuri, unakosoa na kushauri the right thing to do. Mimi nimekosoa na pia nimeshauri. Nimalizie kwa lile swali la msingi la bandiko hili kuwa hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Paskali, jana usiku ulipata Whiskey...umemsikia Tulia? anakataza watu ambao hawajawahi kuagiza fulana wasiongee kuhusu bandari
 
Pascal Mayalla Wanasheria kwasababu umeona hawana cha kukufanya ndio umewaita vilaza, lakini bunge lililowahi kukuita na kukuhoji unaliogopa huku ukijua fika nalo limejaa vilaza wa kutisha, kuanzia na Spika, akifuatiwa na kina Musukuma, serikali inayoongozwa na kilaza namba moja nayo umeogopa kuitaja kwasababu bado unategemea kupata chochote toka kwake..
Umemuuelezea vema kabisa, see also post #3 . asante sana

Hakumtaja samia ambaye anabariki upuuzi, wala hajaisema CCM inayoongoza huu upuuzi wala, bunge ambalo ni kikundi cha mchiriku....... anawashambulia mawakili, tena bila kuwataja nani walishiriki...
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa zenye maswali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kisha majibu utayatoa wewe mwenyewe!.

Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo!, hili ni bandiko la swali na sio bandiko la statement!. "IGA ya DPW I
imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!. Umuhimu wa angalizo hili ni mimi mwenzenu huko nyuma niliwahi kuandika makala fulani kuulizia jambo fulani, Mhe. Mbunge kilaza mmoja, akaisoma makala yangu bila kuiona ile alama ya kuuliza na kunituhumu kuwa nimetoa statement fulani, Spika ikambidi kuniita Dodoma mbele ya kamati, nilipowaonyesha ile alama ya kuuliza, kesi ile iliishia pale, hivyo sitaki tena kuandika kitu kisha nikaitwa kujieleza ndio maana natoa angalizo kabla.

Mjadala wa IGA ya DPW na Bandari zetu bado umeshika kasi, huku ukijadiliwa kwenye fronts mbili kuu, front ya kwanza ni mijadala ya kisiasa, kwa wanasiasa mbalimbali kujitokeza kutoa hoja zao za kisiasa kwa kuita waandishi wa habari.

Front ya pili ni mijadala ya kisheria kwa wanasheria mbalimbali kujitokeza kutoa maoni yao ya kisheria, wakiongozwa na maoni ya Chama cha Wakili Tannganyika, TLS, wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama Prof. Issa Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, Jaji Sinde Warioba, Tundu Lissu na wanasheria mbalimbali

Wale wenye fedha zao, wataita waandishi ukumbi wa hoteli fulani na kuwakirimu waandishi wa habari, na wale wenzangu na mimi, akina Apeche Alolo, ama watawaita waandishi majumbani mwao, au kutoa maoni yao kupitia Club House.

Tangu sakata hili la IGA ya DPW liibuke, mimi msimamo wangu ni ule ule haujawahi kuyumba kwa tumeshindwa kuiendesha Bandari yetu kwa ufanisi, hivyo hakuna ubaya wowote kusaidiwa!.

Nikasisitiza kitu kilichohitajika ni uelimishaji umma na ushirikishwaji wa Watanzania, mambo ambayo hayakufanyika watu wakaona tuu MoU zinasainiwa Dubai wakati wa Expo Dubai ile February 2022, IGA ikasainiwa kimya kimya October 2022, kisha kuletwa Bungeni kuridhiwa June 2023!.

Juzi Ijumaa, Jukwaa la Wahariri wakawaalika wahusika wakuu wa IGA ile wakiongozwa na Waziri husika, akiandamana na wanasheria kutoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali, ndipo nami kwavile pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikashuhudia ukilaza wa ajabu kabisa kwenye tasnia yetu ya sheria!. Hii IGA imechambuliwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama TLS, na Prof. Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, ikakutwa ina matatizo lukuki, halafu wanatuletea wanasheria vilaza tuu waliofeli LST, hivyo wala sio mawakili, kutuongozea majadiliano ya hii IGA, wanaibuka na kusema hii IGA ni nzuri na haina matatizo yoyote!, kweli?!.

Kule nyuma niliwahi kuuliza
sasa ndio naanza kupata majibu, inawezekana kabisa Tanzania tuko hapa tulipo kwasababu ya wanasheria wa type hii, serikali yetu inaonekana ni serikali ya ajabu kwasababu ya wanasheria wa type hii!, na Bunge letu inaonekana ni Bunge la ajabu kwasababu ya wabunge wa type hii!.

Wakati wa kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Zanzibar ile mwaka 1984, kulikomuondoa Abdul Jumbe aliyekuwa rais wa Zanzibar na nafasi yake kuchukuliwa na Idris Abdul Wakili, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alisema, "Wanasheria ni watu wabaya sana" sikumbuki alimaliziaje, ila kwenye hili sakata la IGA ya DPW, mimi naungana na Baba wa taifa kwa kusema "Wanasheria Vilaza ni Watu Wabaya Sana", ndio wametufikisha hapa kwenye hili la hii IGA ya DPW!.

  1. Naomba nianze na Serikali yetu inajua kabisa kuwa Bandari ina falls kwenye sheria hii iliwazaje kuruhusu hii IGA yenye vipengele vinavyokwenda kinyume cha sheria zetu?.
  2. Sheria ikiishapitishwa ni ipo, kupitisha jambo lolote linanalokwenda kinyume cha sheria iliyopo, jambo hilo ni illegality, hivyo hii IGA hapo ilipo it's illegal!.
  3. Jambo ambalo lingepaswa kufanyika ni kwa serikali yetu kubadili kwanza sheria zetu kisha ndio kuipitisha hii IGA!.
  4. Kwenye hii IGA, serikali yetu imeingia makubaliano na Dubai, ambayo sio sovereign, kukitokea mgogoro wa kushitaki kimataifa, Tanzania tunaweza kushitakiwa kwa international instruments, kwasababu Tanzania ni member wa Geneva Convention, lakini kama DPW ndio watatukosea, Tanzania tutawashitaki wapi wakati Dubai sio member wa Geneva Convention, member kule ni UAE!. Kwenye ile IGA, hakuna popote UAE, imetoa Power of Attorney kwa Dubai!, hivyo Tanzania kama nchi, tumeingia mkataba na an entity which has no capacity to contract a treaty!. DPW wangesainiana tuu na TPA na kumalizana juu kwa juu!.
  5. Ile 2017 wakati tunapitisha sheria hii, mimi niliuliza humu humu kuwa Tanzania tutaweza?.
  6. Sasa nije kwa Bunge letu Tukufu, kwanye mikataba ya kimataifa, international treaties, the role of Bunge ni kuridhia tuu, yaani ratification, kui ratify ili kui domesticate kuwa sehemu ya sheria zetu.
  7. Hiki ndicho Bunge letu Tukufu limekifanya kwenye hii IGA!. Sasa uliita Bunge letu hili ni Bunge la vilaza, utakuwa unalionea?.
  8. Lilichofanya Bunge letu ni ku rubber stamp tuu hii IGA!, ukiliita Bunge letu Tukufu ni Bunge rubber stamp utakuwa unalionea?!.
  9. Kwa mujibu wa sheria hii, the role of Bunge sio ratification na ku rubber stamp, the role of Bunge ni ku revives na kutoa mapendekezo!.
  10. Kabla waheshimiwa wabunge wetu kujadili mkataba huu, sisi washauri wa bure tuliwashauri kabla!. Kwa vile walifanya kinyume, tuna haki ya kuwabalasa!.
  11. Hii sio mara ya kwanza kwa Bunge letu kupitisha vitu vya ajabu ajabu kitutusa!. Kwenye ule mgogoro wa CAG, Prof.Assad, Bunge letu lilipitisha Azimio batili, nikawaambia Azimio lile ni batili, Bunge wakakomaa wakapitisha kwa mbwembwe!.
  12. Baada ya kupitisha nikawaeleza kuwa ni lazima waipokee ripoti ya CAG wasipoipokea Bunge linavunjwa!.
  13. Ndipo lile Azimio lao batili wakaliondoa kimya kimya na wakaipokea Ripoti ya CAG kimya kimya!. Sasa Bunge la aina hii ukiliita Bunge full of vilazaz kwa lugha ya rafiki yangu Le Mutuz (RIP) Bunge la mbululaz!, tutakuwa tunawaonea waheshimiwa wabunge wetu?.
  14. Nimalizie kwa wanasheria wetu na wanasheria wenzangu. Prof. Shivji anasema hii IGA ina matatizo, TLS wanaainisha kabisa vifungu, halafu wewe mwanasheria kinda, unaibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo, with all illegality nilio ainisha hapa, bado unathubutu kuibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo?.
  15. Leo nimeandika makala kwenye gazeti la Nipashe, kwa kutoa rai kwa serikali, kuzijibu kisheria hoja za kisheria na tuufunge huu mjadala
Hitimisho
Uzalendo wa kweli ni nia ya dhati kuisaidia nchi yako, kumsaidia rais wako, kuisaidia serikali yako, unapona jambo halijakaa vizuri, unakosoa na kushauri the right thing to do. Mimi nimekosoa na pia nimeshauri. Nimalizie kwa lile swali la msingi la bandiko hili kuwa hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Itoshe kusema tuna taifa la ajabu sana
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa zenye maswali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kisha majibu utayatoa wewe mwenyewe!.

Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo!, hili ni bandiko la swali na sio bandiko la statement!. "IGA ya DPW I
imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!. Umuhimu wa angalizo hili ni mimi mwenzenu huko nyuma niliwahi kuandika makala fulani kuulizia jambo fulani, Mhe. Mbunge kilaza mmoja, akaisoma makala yangu bila kuiona ile alama ya kuuliza na kunituhumu kuwa nimetoa statement fulani, Spika ikambidi kuniita Dodoma mbele ya kamati, nilipowaonyesha ile alama ya kuuliza, kesi ile iliishia pale, hivyo sitaki tena kuandika kitu kisha nikaitwa kujieleza ndio maana natoa angalizo kabla.

Mjadala wa IGA ya DPW na Bandari zetu bado umeshika kasi, huku ukijadiliwa kwenye fronts mbili kuu, front ya kwanza ni mijadala ya kisiasa, kwa wanasiasa mbalimbali kujitokeza kutoa hoja zao za kisiasa kwa kuita waandishi wa habari.

Front ya pili ni mijadala ya kisheria kwa wanasheria mbalimbali kujitokeza kutoa maoni yao ya kisheria, wakiongozwa na maoni ya Chama cha Wakili Tannganyika, TLS, wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama Prof. Issa Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, Jaji Sinde Warioba, Tundu Lissu na wanasheria mbalimbali

Wale wenye fedha zao, wataita waandishi ukumbi wa hoteli fulani na kuwakirimu waandishi wa habari, na wale wenzangu na mimi, akina Apeche Alolo, ama watawaita waandishi majumbani mwao, au kutoa maoni yao kupitia Club House.

Tangu sakata hili la IGA ya DPW liibuke, mimi msimamo wangu ni ule ule haujawahi kuyumba kwa tumeshindwa kuiendesha Bandari yetu kwa ufanisi, hivyo hakuna ubaya wowote kusaidiwa!.

Nikasisitiza kitu kilichohitajika ni uelimishaji umma na ushirikishwaji wa Watanzania, mambo ambayo hayakufanyika watu wakaona tuu MoU zinasainiwa Dubai wakati wa Expo Dubai ile February 2022, IGA ikasainiwa kimya kimya October 2022, kisha kuletwa Bungeni kuridhiwa June 2023!.

Juzi Ijumaa, Jukwaa la Wahariri wakawaalika wahusika wakuu wa IGA ile wakiongozwa na Waziri husika, akiandamana na wanasheria kutoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali, ndipo nami kwavile pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikashuhudia ukilaza wa ajabu kabisa kwenye tasnia yetu ya sheria!. Hii IGA imechambuliwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama TLS, na Prof. Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, ikakutwa ina matatizo lukuki, halafu wanatuletea wanasheria vilaza tuu waliofeli LST, hivyo wala sio mawakili, kutuongozea majadiliano ya hii IGA, wanaibuka na kusema hii IGA ni nzuri na haina matatizo yoyote!, kweli?!.

Kule nyuma niliwahi kuuliza
sasa ndio naanza kupata majibu, inawezekana kabisa Tanzania tuko hapa tulipo kwasababu ya wanasheria wa type hii, serikali yetu inaonekana ni serikali ya ajabu kwasababu ya wanasheria wa type hii!, na Bunge letu inaonekana ni Bunge la ajabu kwasababu ya wabunge wa type hii!.

Wakati wa kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Zanzibar ile mwaka 1984, kulikomuondoa Abdul Jumbe aliyekuwa rais wa Zanzibar na nafasi yake kuchukuliwa na Idris Abdul Wakili, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alisema, "Wanasheria ni watu wabaya sana" sikumbuki alimaliziaje, ila kwenye hili sakata la IGA ya DPW, mimi naungana na Baba wa taifa kwa kusema "Wanasheria Vilaza ni Watu Wabaya Sana", ndio wametufikisha hapa kwenye hili la hii IGA ya DPW!.

  1. Naomba nianze na Serikali yetu inajua kabisa kuwa Bandari ina falls kwenye sheria hii iliwazaje kuruhusu hii IGA yenye vipengele vinavyokwenda kinyume cha sheria zetu?.
  2. Sheria ikiishapitishwa ni ipo, kupitisha jambo lolote linanalokwenda kinyume cha sheria iliyopo, jambo hilo ni illegality, hivyo hii IGA hapo ilipo it's illegal!.
  3. Jambo ambalo lingepaswa kufanyika ni kwa serikali yetu kubadili kwanza sheria zetu kisha ndio kuipitisha hii IGA!.
  4. Kwenye hii IGA, serikali yetu imeingia makubaliano na Dubai, ambayo sio sovereign, kukitokea mgogoro wa kushitaki kimataifa, Tanzania tunaweza kushitakiwa kwa international instruments, kwasababu Tanzania ni member wa Geneva Convention, lakini kama DPW ndio watatukosea, Tanzania tutawashitaki wapi wakati Dubai sio member wa Geneva Convention, member kule ni UAE!. Kwenye ile IGA, hakuna popote UAE, imetoa Power of Attorney kwa Dubai!, hivyo Tanzania kama nchi, tumeingia mkataba na an entity which has no capacity to contract a treaty!. DPW wangesainiana tuu na TPA na kumalizana juu kwa juu!.
  5. Ile 2017 wakati tunapitisha sheria hii, mimi niliuliza humu humu kuwa Tanzania tutaweza?.
  6. Sasa nije kwa Bunge letu Tukufu, kwanye mikataba ya kimataifa, international treaties, the role of Bunge ni kuridhia tuu, yaani ratification, kui ratify ili kui domesticate kuwa sehemu ya sheria zetu.
  7. Hiki ndicho Bunge letu Tukufu limekifanya kwenye hii IGA!. Sasa uliita Bunge letu hili ni Bunge la vilaza, utakuwa unalionea?.
  8. Lilichofanya Bunge letu ni ku rubber stamp tuu hii IGA!, ukiliita Bunge letu Tukufu ni Bunge rubber stamp utakuwa unalionea?!.
  9. Kwa mujibu wa sheria hii, the role of Bunge sio ratification na ku rubber stamp, the role of Bunge ni ku revives na kutoa mapendekezo!.
  10. Kabla waheshimiwa wabunge wetu kujadili mkataba huu, sisi washauri wa bure tuliwashauri kabla!. Kwa vile walifanya kinyume, tuna haki ya kuwabalasa!.
  11. Hii sio mara ya kwanza kwa Bunge letu kupitisha vitu vya ajabu ajabu kitutusa!. Kwenye ule mgogoro wa CAG, Prof.Assad, Bunge letu lilipitisha Azimio batili, nikawaambia Azimio lile ni batili, Bunge wakakomaa wakapitisha kwa mbwembwe!.
  12. Baada ya kupitisha nikawaeleza kuwa ni lazima waipokee ripoti ya CAG wasipoipokea Bunge linavunjwa!.
  13. Ndipo lile Azimio lao batili wakaliondoa kimya kimya na wakaipokea Ripoti ya CAG kimya kimya!. Sasa Bunge la aina hii ukiliita Bunge full of vilazaz kwa lugha ya rafiki yangu Le Mutuz (RIP) Bunge la mbululaz!, tutakuwa tunawaonea waheshimiwa wabunge wetu?.
  14. Nimalizie kwa wanasheria wetu na wanasheria wenzangu. Prof. Shivji anasema hii IGA ina matatizo, TLS wanaainisha kabisa vifungu, halafu wewe mwanasheria kinda, unaibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo, with all illegality nilio ainisha hapa, bado unathubutu kuibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo?.
  15. Leo nimeandika makala kwenye gazeti la Nipashe, kwa kutoa rai kwa serikali, kuzijibu kisheria hoja za kisheria na tuufunge huu mjadala
Hitimisho
Uzalendo wa kweli ni nia ya dhati kuisaidia nchi yako, kumsaidia rais wako, kuisaidia serikali yako, unapona jambo halijakaa vizuri, unakosoa na kushauri the right thing to do. Mimi nimekosoa na pia nimeshauri. Nimalizie kwa lile swali la msingi la bandiko hili kuwa hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Sasa umekuwa P ninayemjua umeongea kwa Hoja nzuri sana Mungu akubariki
 
Pascal wewe hueleweki. Mimi huwa sikuamini! Ukiitwa kuteuliwa huwezi kuwa na msimamo......umesaka kuteuliwa muda mrefu. Kama ukatili wa magufuli wooote uliuunga mkono, hupashwi kuaminiwa. SAWA NA DR SLAA, SIWEZI KUMWAMINI KATU! HANA ANALOLISIMAMIA NI TUMBO. ANAPIGA KELEL SASA AKIPEWA UBALOZI ANGEUKA , MSIMWAMINI
Kweli nimeamini TICTS ,Kikwete ,Kinana Wana pesa za kutosha mpaka Pascal ameikana serikali?
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa zenye maswali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii, kisha majibu utayatoa wewe mwenyewe!.

Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo!, hili ni bandiko la swali na sio bandiko la statement!. "IGA ya DPW I
imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!. Umuhimu wa angalizo hili ni mimi mwenzenu huko nyuma niliwahi kuandika makala fulani kuulizia jambo fulani, Mhe. Mbunge kilaza mmoja, akaisoma makala yangu bila kuiona ile alama ya kuuliza na kunituhumu kuwa nimetoa statement fulani, Spika ikambidi kuniita Dodoma mbele ya kamati, nilipowaonyesha ile alama ya kuuliza, kesi ile iliishia pale, hivyo sitaki tena kuandika kitu kisha nikaitwa kujieleza ndio maana natoa angalizo kabla.

Mjadala wa IGA ya DPW na Bandari zetu bado umeshika kasi, huku ukijadiliwa kwenye fronts mbili kuu, front ya kwanza ni mijadala ya kisiasa, kwa wanasiasa mbalimbali kujitokeza kutoa hoja zao za kisiasa kwa kuita waandishi wa habari.

Front ya pili ni mijadala ya kisheria kwa wanasheria mbalimbali kujitokeza kutoa maoni yao ya kisheria, wakiongozwa na maoni ya Chama cha Wakili Tannganyika, TLS, wakiwemo wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama Prof. Issa Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, Jaji Sinde Warioba, Tundu Lissu na wanasheria mbalimbali

Wale wenye fedha zao, wataita waandishi ukumbi wa hoteli fulani na kuwakirimu waandishi wa habari, na wale wenzangu na mimi, akina Apeche Alolo, ama watawaita waandishi majumbani mwao, au kutoa maoni yao kupitia Club House.

Tangu sakata hili la IGA ya DPW liibuke, mimi msimamo wangu ni ule ule haujawahi kuyumba kwa tumeshindwa kuiendesha Bandari yetu kwa ufanisi, hivyo hakuna ubaya wowote kusaidiwa!.

Nikasisitiza kitu kilichohitajika ni uelimishaji umma na ushirikishwaji wa Watanzania, mambo ambayo hayakufanyika watu wakaona tuu MoU zinasainiwa Dubai wakati wa Expo Dubai ile February 2022, IGA ikasainiwa kimya kimya October 2022, kisha kuletwa Bungeni kuridhiwa June 2023!.

Juzi Ijumaa, Jukwaa la Wahariri wakawaalika wahusika wakuu wa IGA ile wakiongozwa na Waziri husika, akiandamana na wanasheria kutoa ufafanuzi wa hoja mbalimbali, ndipo nami kwavile pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, nikashuhudia ukilaza wa ajabu kabisa kwenye tasnia yetu ya sheria!. Hii IGA imechambuliwa na wanasheria manguli wabobezi na wabobevu kama TLS, na Prof. Shivji, Dr. Rugemeleza Nshala, ikakutwa ina matatizo lukuki, halafu wanatuletea wanasheria vilaza tuu waliofeli LST, hivyo wala sio mawakili, kutuongozea majadiliano ya hii IGA, wanaibuka na kusema hii IGA ni nzuri na haina matatizo yoyote!, kweli?!.

Kule nyuma niliwahi kuuliza
sasa ndio naanza kupata majibu, inawezekana kabisa Tanzania tuko hapa tulipo kwasababu ya wanasheria wa type hii, serikali yetu inaonekana ni serikali ya ajabu kwasababu ya wanasheria wa type hii!, na Bunge letu inaonekana ni Bunge la ajabu kwasababu ya wabunge wa type hii!.

Wakati wa kuchafuka kwa hali ya hewa ya kisiasa Zanzibar ile mwaka 1984, kulikomuondoa Abdul Jumbe aliyekuwa rais wa Zanzibar na nafasi yake kuchukuliwa na Idris Abdul Wakili, Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alisema, "Wanasheria ni watu wabaya sana" sikumbuki alimaliziaje, ila kwenye hili sakata la IGA ya DPW, mimi naungana na Baba wa taifa kwa kusema "Wanasheria Vilaza ni Watu Wabaya Sana", ndio wametufikisha hapa kwenye hili la hii IGA ya DPW!.

  1. Naomba nianze na Serikali yetu inajua kabisa kuwa Bandari ina falls kwenye sheria hii iliwazaje kuruhusu hii IGA yenye vipengele vinavyokwenda kinyume cha sheria zetu?.
  2. Sheria ikiishapitishwa ni ipo, kupitisha jambo lolote linanalokwenda kinyume cha sheria iliyopo, jambo hilo ni illegality, hivyo hii IGA hapo ilipo it's illegal!.
  3. Jambo ambalo lingepaswa kufanyika ni kwa serikali yetu kubadili kwanza sheria zetu kisha ndio kuipitisha hii IGA!.
  4. Kwenye hii IGA, serikali yetu imeingia makubaliano na Dubai, ambayo sio sovereign, kukitokea mgogoro wa kushitaki kimataifa, Tanzania tunaweza kushitakiwa kwa international instruments, kwasababu Tanzania ni member wa Geneva Convention, lakini kama DPW ndio watatukosea, Tanzania tutawashitaki wapi wakati Dubai sio member wa Geneva Convention, member kule ni UAE!. Kwenye ile IGA, hakuna popote UAE, imetoa Power of Attorney kwa Dubai!, hivyo Tanzania kama nchi, tumeingia mkataba na an entity which has no capacity to contract a treaty!. DPW wangesainiana tuu na TPA na kumalizana juu kwa juu!.
  5. Ile 2017 wakati tunapitisha sheria hii, mimi niliuliza humu humu kuwa Tanzania tutaweza?.
  6. Sasa nije kwa Bunge letu Tukufu, kwanye mikataba ya kimataifa, international treaties, the role of Bunge ni kuridhia tuu, yaani ratification, kui ratify ili kui domesticate kuwa sehemu ya sheria zetu.
  7. Hiki ndicho Bunge letu Tukufu limekifanya kwenye hii IGA!. Sasa uliita Bunge letu hili ni Bunge la vilaza, utakuwa unalionea?.
  8. Lilichofanya Bunge letu ni ku rubber stamp tuu hii IGA!, ukiliita Bunge letu Tukufu ni Bunge rubber stamp utakuwa unalionea?!.
  9. Kwa mujibu wa sheria hii, the role of Bunge sio ratification na ku rubber stamp, the role of Bunge ni ku revives na kutoa mapendekezo!.
  10. Kabla waheshimiwa wabunge wetu kujadili mkataba huu, sisi washauri wa bure tuliwashauri kabla!. Kwa vile walifanya kinyume, tuna haki ya kuwabalasa!.
  11. Hii sio mara ya kwanza kwa Bunge letu kupitisha vitu vya ajabu ajabu kitutusa!. Kwenye ule mgogoro wa CAG, Prof.Assad, Bunge letu lilipitisha Azimio batili, nikawaambia Azimio lile ni batili, Bunge wakakomaa wakapitisha kwa mbwembwe!.
  12. Baada ya kupitisha nikawaeleza kuwa ni lazima waipokee ripoti ya CAG wasipoipokea Bunge linavunjwa!.
  13. Ndipo lile Azimio lao batili wakaliondoa kimya kimya na wakaipokea Ripoti ya CAG kimya kimya!. Sasa Bunge la aina hii ukiliita Bunge full of vilazaz kwa lugha ya rafiki yangu Le Mutuz (RIP) Bunge la mbululaz!, tutakuwa tunawaonea waheshimiwa wabunge wetu?.
  14. Nimalizie kwa wanasheria wetu na wanasheria wenzangu. Prof. Shivji anasema hii IGA ina matatizo, TLS wanaainisha kabisa vifungu, halafu wewe mwanasheria kinda, unaibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo, with all illegality nilio ainisha hapa, bado unathubutu kuibuka na kusema hii IGA ni safi na haina matatizo?.
  15. Leo nimeandika makala kwenye gazeti la Nipashe, kwa kutoa rai kwa serikali, kuzijibu kisheria hoja za kisheria na tuufunge huu mjadala
Hitimisho
Uzalendo wa kweli ni nia ya dhati kuisaidia nchi yako, kumsaidia rais wako, kuisaidia serikali yako, unapona jambo halijakaa vizuri, unakosoa na kushauri the right thing to do. Mimi nimekosoa na pia nimeshauri. Nimalizie kwa lile swali la msingi la bandiko hili kuwa hii IGA ya DPW imetusaidia sana Watanzania kujitambua!, kumbe tuna wanasheria manguli, wabobezi na wabobevu wa kutosha!, lakini at the same time, pia tuna wanasheria vilaza wa ajabu sana!. Swali ni Je Bunge letu nalo pia ni Bunge la ajabu? na Serikali yetu pia ni Serikali ya Ajabu?, hii IGA ya DPW ilipita pita vipi kote huko ikiwa na vipengele so defective bila kuwa noted?!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Leo nimeanza kumwona yule Mayala wa enzi za JK.

Sent from my Infinix X689F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom