WA MAMNDENII
JF-Expert Member
- Jun 5, 2010
- 344
- 57
welcooomeeee. enjoy the forum, keep intouch
Jana Makamu wetu Pius msekwa alituambia kuwa jamii forums inakipaka matope chama chetu.
Baada ya kuulizia kwa wafanyakazi wenzangu,jamiiforums ni kitu gani,,nimefanikiwa kuelezwa na kujiunga rasmi leo.
Nimesoma post zote, mbona sione uchochezi wowote?
Karibu sana Surprise. Kadiri utakavyokuwepo hapa ndivyo utakavyoielewa JF. Na bahati nzuri hapa sio kama kwenye maskani za CCM ambapo wakikujua si mwenzao wanakutimua moja kwa moja. Karibu jamvini tujenge taifa.Jana Makamu wetu Pius msekwa alituambia kuwa jamii forums inakipaka matope chama chetu.
Baada ya kuulizia kwa wafanyakazi wenzangu,jamiiforums ni kitu gani,,nimefanikiwa kuelezwa na kujiunga rasmi leo.
Nimesoma post zote, mbona sione uchochezi wowote?
haha mmh altak ujueJana Makamu wetu Pius msekwa alituambia kuwa jamii forums inakipaka matope chama chetu.
Baada ya kuulizia kwa wafanyakazi wenzangu,jamiiforums ni kitu gani,,nimefanikiwa kuelezwa na kujiunga rasmi leo.
Nimesoma post zote, mbona sione uchochezi wowote?