Hata kama mjinga kiwango chake cha ujinga si kama kinavyoonyeshwa na baadhi ya great thinkers hapa! Ngoja uone watakavyomporomoshea matusi hapa. Lakini kufanikiwa kuwaleta hawa watu pamoja, msg iliyofikishwa kwa watanzania kupitia tamasha hili na michezo mbalimbali, hakika siamini kama ni mjinga kiasi hicho
kulipwa milioni 7 ni hoja ya msingi? Hawa madaktari kwa ndiyo wanaotuibia madawa hospitalini. Hao ni wazushi tu wanaota ndoto ya kufanikiwa bila juhudi.
Kuna taarifa zisizo rasmi lakini zenye ushahidi kuwa onyesho la jana Uwanja wa Taifa ambalo kwa hakika lilifana sana hasa kwa mechi ya wabunge mashabiki wa Yanga na wabunge mashabiki wa Simba bila ya kujali itikadi zao! Mfano Zitto na Ngelejah walikuwa timu moja, wingi wa watu walihudhuria nk, liliandaliwa na CCM chini ya Idara ya Nape. Kwa ushahidi uliopo juu ya ushiriki wa Nape kwenye hili, SIAMINI TENA KAMA NAPE NI MJINGA KIASI HICHO KINACHOSEMWA.
Iwapo mtoto wa Mnauye aliweza kucopy na kupaste kisha akaedit na mambo yakafana vile basi ana akili sana. Waswahili husema " Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni". Hivi wewe chuki zako binafsi zitakupeleka wapi? Haya tueleze wewe mwenye akili saaaana umefanya nini kuboresha maisha yako binafsi? Chuki zitakupalia buuure!https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/171218-mtanange-wabunge-wa-ccm-uso-kwa-uso-na-wabunge-wa-upinzani-2.html#post4179886
Kama ile shughuli aliihandisi nape tambua kuwa ali-copy na ku-paste aka-edit kidooogo!!!! fuata hiyo linki urudi na new perspective.
kwakuwa akili yako imeishia hapo sitakujibu sana lakini mchezo ule umethibitisha kuwa.......SIASA SI UGOMVI
Ama kweli wewe ni dudu mchochezi. Umejaa mawazo ya uchonganishi! Hupendi kuona watu wanashirikiana kwa amani, unapenda vita tu! Sasa wamecheza basi, kama una mtazamo wako wa chuki binafsi kaa nao na utakumaliza mwenyewe!TAHADHARI: Nimeshangaa kusikia akina Zitto (CHADEMA) nao walishirki bonanza la Nape la Simba na Yanga. Japo kwa haraka haraka inaweza kuonekana kuna "NIA NJEMA" lakini wawe makini kushiriki kwenye masuala kama haya yanayohusisha kuwagawa wananchi kimtazamo. Why, kuwe na mechi ya wabunge wa Simba Vs wa Yanga?
CHADEMA ni chama cha Umma (wananchi wote - Simba wote na Yanga wote).Hivi ikitokea kwa mfano tumefungwa bao na Mbunge wa CHADEMA unadhani hisia zitakuwaje? Tayari magamba wameshapata hoja.
Japo inadaiwa huo ndio ukomavu wa kisiasa kushirikiana na wapinzani wako katika masuala yasiyokuwa ya kisiasa, lakini hili la mechi ya Simba na Yanga sio miongoni mwa masuala yanayofaa kwa ushirikiano wa aina hiyo. Simba na Yanga ni miongoni mwa masuala very SENSITIVE nchini yasiyopaswa kufanyiwa mizaha.
Tujiepushe kwa kila namna na hila zozote za magamba. Kuna siku itaandaliwa mechi kati ya Waislamu na Wakristo kwa mtazamo huo huo wa "NIA NJEMA" halafu utaona magamba watakavyopanga timu yao ndio utashangaa. Tutilie shaka kila aina ya "NIA NJEMA" ya magamba.
umetumwa na Nape kuja kumsafisha...tunafahamu wewe ni kuhadi wa Nape,njaa hiyo.Kuna taarifa zisizo rasmi lakini zenye ushahidi kuwa onyesho la jana Uwanja wa Taifa ambalo kwa hakika lilifana sana hasa kwa mechi ya wabunge mashabiki wa Yanga na wabunge mashabiki wa Simba bila ya kujali itikadi zao! Mfano Zitto na Ngelejah walikuwa timu moja, wingi wa watu walihudhuria nk, liliandaliwa na CCM chini ya Idara ya Nape. Kwa ushahidi uliopo juu ya ushiriki wa Nape kwenye hili, SIAMINI TENA KAMA NAPE NI MJINGA KIASI HICHO KINACHOSEMWA.
DUH!!!!!!
baada ya mshangao nakukumbusha utaujua upumbavu siku ukipatwa na fistula achilia mbali mumeo kupindwa ngiri!!!!
Akili yako inawalakini!Ni mpumbavu pekee ndie anaeweza kuwaunga mkono madaktari
Kuna taarifa zisizo rasmi lakini zenye ushahidi kuwa onyesho la jana Uwanja wa Taifa ambalo kwa hakika lilifana sana hasa kwa mechi ya wabunge mashabiki wa Yanga na wabunge mashabiki wa Simba bila ya kujali itikadi zao! Mfano Zitto na Ngelejah walikuwa timu moja, wingi wa watu walihudhuria nk, liliandaliwa na CCM chini ya Idara ya Nape. Kwa ushahidi uliopo juu ya ushiriki wa Nape kwenye hili, SIAMINI TENA KAMA NAPE NI MJINGA KIASI HICHO KINACHOSEMWA.
Kwani hawa wabunge huwa ni maadui?, mbona bungeni huwa wanakutana katika kamati mbalimbali za bunge? Cha ajabu hapo nini?Hata kama mjinga kiwango chake cha ujinga si kama kinavyoonyeshwa na baadhi ya great thinkers hapa! Ngoja uone watakavyomporomoshea matusi hapa. Lakini kufanikiwa kuwaleta hawa watu pamoja, msg iliyofikishwa kwa watanzania kupitia tamasha hili na michezo mbalimbali, hakika siamini kama ni mjinga kiasi hicho
siasa ni usanii wa jinsi ya kuamua, nini cha kupata, vipi upate, na lini upate. Katika siasa hakuna uhasama wa kudumu, ila kuna maslahi Ya kudumu; na mara nyingi bahati ya mtu huchukua nafasi. Soccer is something else, licha ya uhasama mkubwa uliopo kati ya Iran na Marekani, timu zao Za Taifa zilikutana katiamechi ya kombe la dunia '94 kule Marekani, na mechi ile ilikwisha kwa Iran kushinda 2-1 na baada ya filimbi ya mwisho wachezaji wa pande zote mbili walikumbatiana na kubadilishana jezi. Huo ndio uzuri wa soka.lakini mchezo ule umethibitisha kuwa.......SIASA SI UGOMVI
Kuna taarifa zisizo rasmi lakini zenye ushahidi kuwa onyesho la jana Uwanja wa Taifa ambalo kwa hakika lilifana sana hasa kwa mechi ya wabunge mashabiki wa Yanga na wabunge mashabiki wa Simba bila ya kujali itikadi zao! Mfano Zitto na Ngelejah walikuwa timu moja, wingi wa watu walihudhuria nk, liliandaliwa na CCM chini ya Idara ya Nape. Kwa ushahidi uliopo juu ya ushiriki wa Nape kwenye hili, SIAMINI TENA KAMA NAPE NI MJINGA KIASI HICHO KINACHOSEMWA.
Hata kama mjinga kiwango chake cha ujinga si kama kinavyoonyeshwa na baadhi ya great thinkers hapa! Ngoja uone watakavyomporomoshea matusi hapa. Lakini kufanikiwa kuwaleta hawa watu pamoja, msg iliyofikishwa kwa watanzania kupitia tamasha hili na michezo mbalimbali, hakika siamini kama ni mjinga kiasi hicho
Kuna taarifa zisizo rasmi lakini zenye ushahidi kuwa onyesho la jana Uwanja wa Taifa ambalo kwa hakika lilifana sana hasa kwa mechi ya wabunge mashabiki wa Yanga na wabunge mashabiki wa Simba bila ya kujali itikadi zao! Mfano Zitto na Ngelejah walikuwa timu moja, wingi wa watu walihudhuria nk, liliandaliwa na CCM chini ya Idara ya Nape. Kwa ushahidi uliopo juu ya ushiriki wa Nape kwenye hili, SIAMINI TENA KAMA NAPE NI MJINGA KIASI HICHO KINACHOSEMWA.
Iwapo mtoto wa Mnauye aliweza kucopy na kupaste kisha akaedit na mambo yakafana vile basi ana akili sana. Waswahili husema " Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni". Hivi wewe chuki zako binafsi zitakupeleka wapi? Haya tueleze wewe mwenye akili saaaana umefanya nini kuboresha maisha yako binafsi? Chuki zitakupalia buuure!