Jemedari Kalundi
Member
- Feb 17, 2012
- 26
- 1
HayaJamani wan JF mambo yanakuwa hivi? maneno makali, je ungekuwa wewe mbunge ungecheza, ungegoma, ungepinga au ungekuwa wapi wakati mechi inaanza na ulikuwa umepangwa baki namba 5
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa ni Mzee kuliko Dr.SlaaHalafu mbona huyu yuko kama mzee. Mi nilikua najua ni kijana. Au sio kijana? Yaani uso na hicho kipara! Nilimuona laivu nikadhani na yeye kalishwa sumu kawa mzee. Hem nisaidieni
kulipwa milioni 7 ni hoja ya msingi? Hawa madaktari kwa ndiyo wanaotuibia madawa hospitalini. Hao ni wazushi tu wanaota ndoto ya kufanikiwa bila juhudi.
Kuna taarifa zisizo rasmi lakini zenye ushahidi kuwa onyesho la jana Uwanja wa Taifa ambalo kwa hakika lilifana sana hasa kwa mechi ya wabunge mashabiki wa Yanga na wabunge mashabiki wa Simba bila ya kujali itikadi zao! Mfano Zitto na Ngelejah walikuwa timu moja, wingi wa watu walihudhuria nk, liliandaliwa na CCM chini ya Idara ya Nape. Kwa ushahidi uliopo juu ya ushiriki wa Nape kwenye hili, SIAMINI TENA KAMA NAPE NI MJINGA KIASI HICHO KINACHOSEMWA.
[/QUOTE]sasa hapo ccm kaitangazaje huyu anapenda sifa tu si mwanaccm hata kidogo hajui alifanyalo aende arusha akafungue matawi yaliyofungwa tutamuona mwanamme kwa hili bado ni kigoli wa siasa hata ungo hajavunjaQUOTE=Freemanson;4197949]Kuna taarifa zisizo rasmi lakini zenye ushahidi kuwa onyesho la jana Uwanja wa Taifa ambalo kwa hakika lilifana sana hasa kwa mechi ya wabunge mashabiki wa Yanga na wabunge mashabiki wa Simba bila ya kujali itikadi zao! Mfano Zitto na Ngelejah walikuwa timu moja, wingi wa watu walihudhuria nk, liliandaliwa na CCM chini ya Idara ya Nape. Kwa ushahidi uliopo juu ya ushiriki wa Nape kwenye hili, SIAMINI TENA KAMA NAPE NI MJINGA KIASI HICHO KINACHOSEMWA.
Mkuu, please never generalise sensitive issues like that of doctors' strike. UNAWAUNGA MKONO PEKE YAKO, UGUA UONE NDO UTAIJUA ADHA YA HUO MGOMOkaka unaonekana hujausoma uzi niliyokupa link.
Naijua hofu ya magamba kama wazo langu lingefanyiwa kazi. Ingekuwa another M4C, wana-neutralize hisia za uungwaji mkono wa mgomo wa madaktari.
WANANCHI TWASEMA TUNAWAUNGA MKONO MADAKTARI.
Kwa hiyo kwa kuandaa hiyo mechi imedhihirisha yeye sio mjinga?
Mkuu, please never generalise sensitive issues like that of doctors' strike. UNAWAUNGA MKONO PEKE YAKO, UGUA UONE NDO UTAIJUA ADHA YA HUO MGOMO